This time i hope watafidiwa
Mkuu GENTAMYCINE mbona sijalaumu wala kulalamika.
Naunga mkono TANROAD kuboresha hiyo barabara na nina imani keroza wanaohama zimetatuliwa. Nawasilisha
Lakini naikia Mama mshirikina balaaYeah bi mkubwa ni kondoo ila amezungukwa na kundi la simba! Wabara wanawaza upigaji hawana ethics kazini wao wako ili kujijenga kimaisha by any means watajirike 😅😅😅
Nmecheka sanaaaaaaMama anaupiga mwingi kweri-kweri.
Angalia kichwa cha habari!! Kimekaa ki taarabu taarabu[emoji23][emoji2]
Mama anaupiga mwingi katika KATIBAMama anaupiga mwingi kweri-kweri.
Kujua kua tumepigwa hakuna jipyaAkirembua huwa inakusaidia nini[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Sasa umeandika niniNILIKUWA nacheki na jaamaa Mmoja anaishi kmr mwisho akanicuekesha Sana
Anasema br umashangaa...
Mwandishi ni mzee Yusuph 😃😃😃Angalia kichwa cha habari!! Kimekaa ki taarabu taarabu[emoji23][emoji2]
Mama ameupiga mwigi kaibuka na soko la KariakooKariakoo imewashinda
Ukiamka uje ufafanue ulichoandikaNILIKUWA nacheki na jaamaa Mmoja anaishi kmr mwisho akanicuekesha Sana
Anasema br umashangaa..
Hili linasemwa sana mitaani,lakini Wabunge wapo kimya!!Hahaaaaa yaan nikimwangalia SAMIA namuonea huruma tu maana hajui lolote maskini ye anajipigia tu misele hajui kuwa kuna wenzie wanamchonganisha na wanachi kwa makusudi kabisa...
Kumbe Kmr ndiyo Kimara. Kidogo nisielewe...NILIKUWA nacheki na jaamaa Mmoja anaishi kmr mwisho akanicuekesha Sana
Anasema br umashangaa...
Kwani sheria inasemaje kuhusu kujenga kwenye hifadhi ya barabara? Siyo kila kitu kulalama tu, wabongo bana, hatunaga jema.