HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Una hela ya kujitibu?Walipwe fidia sawa ila ukifanyika ule uhuni wa jiwe watu waingie barabarani
Una uhakika hawajalipwa fidia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una hela ya kujitibu?Walipwe fidia sawa ila ukifanyika ule uhuni wa jiwe watu waingie barabarani
Kwenye hizo nyumba kuna umeme wa TANESCO?Kwani sheria inasemaje kuhusu kujenga kwenye hifadhi ya barabara? Siyo kila kitu kulalama tu, wabongo bana, hatunaga jema
Unaushahidi na haya unayoyasema hapa!?Siyo kila Maamuzi tu ni ya Kuilaumu Serikali Mkuu. Na bahati nzuri wakati Wewe ukitaka 'Kuichongea' Serikali kwa Wakazi wa huko ila Wananchi wenyewe wanajua na walishajiandaa kwa hayo Maamuzi baada ya hata Wao wenyewe Kugundua kuwa Wamejenga Kiholela japo kuna ambao wamejenga Kihalali na hao ama Wameshalipwa au Watalipwa Fidia na Mamlaka ( Serikali ) husika.
Wanafidiwa vipi wakati sheria ipo toka 1937 kuhusu hilo eneo?This time i hope watafidiwa
Hizo nyumba hazikuwepo 1937 maana sheria hiyo ni ya 37 kuhusu eneo tajwaSheria ya mita 90 as road reserve ilizikuta baadhi ya nyumba , hapo mwanzo road reserve ilikuwa mita 30.
Sheria hairuhusu kuwalipaWalipe fidia sasa sio kujivunjia kiboya tu
Dialo anakusalimu kwa jina la mirembeMkuu GENTAMYCINE mbona sijalaumu wala kulalamika.
Naunga mkono TANROAD kuboresha hiyo barabara na nina imani keroza wanaohama zimetatuliwa. Nawasilisha
Mama anachoweza ni kula urojo na kusikiliza taarabu asiliKAZI IENDELEE
Mama anachoweza ni kula urojo na kusikiliza taarabu asili
Mkuu unajidanganya Sana.Huyo Mama anajua kila kitu kinachoendelea na kinafanyika kwa Haraka zake.Hao unaofikiri wanabadilisha tone ni ujinga wako kuamini hivyo maana hawana uwezo wa kumuondoa mama.Kuna jamaa zako walitaka kumuondoa Mama Unajua waliomuweka Mama hapo?.Hahaaaaa yaan nikimwangalia SAMIA namuonea huruma tu maana hajui lolote maskini ye anajipigia tu misele hajui kuwa kuna wenzie wanamchonganisha na wanachi kwa makusudi kabisa
walianza umeme, wamekuja mafuta, haya makato ya line za simu, bado hapo makato ya luku haya sasa bomoa bomoa karibu kila mkoa yeye yupo yupo tu haelewi lolote maskini mzanzibari wawatu, hazijui fitna za wabara huku yeye anaamini wapo pamoja wanaimba wimbo mmoja kumbe wenzie wana hama tune taratibu kwa ustadi mkubwa.
Yaan wananchi huku hawamwelewi kabisaa na wamesha anza kumchukia kwa sasa maana tangu ashike nchi vitu vya msingi tena vinavyo gusa wananch moja kwa moja vimeanza kupanda bei
Hii id imekua HACKED au...😳😳😳😳
Mbona unaandika kwa staha sana, sio kawaida yako!😀😀😀😀
Nampendea anavyorembua tuNa kuwa Rais wako Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
Hamna namna
Heheheh walisema JPM katili kavunja nyumba zao! Sasa Mama anaupiga mwingi sana na atatuvusha[emoji28]
Nadhani ungeandika uzi wa kutaka serikali itunze maeneo yake.wangebomoa mita 45 Tu bana! tisini wanabakiza pori kati watu wanabakwa na kunya vichakan
Mpwa mpwa mpwaaWAENDE WAKAWAWEKEE ALAMA YA INAPOISHIA HIO MT ZAOO WASIWAFANYE WATZ WAJINGA ....UWEZI MWAMBIA MTU UKO TISINI AMA 120 WEKA ALAMA ISOME HAPA.MTU AJUE ANAISHIA WAPI KUVUNJA.........
HAPO NDIO MTAELEEWA WIMBO WA TUONANEEE PARADISOOO TUONANEEE PARADISOOO X3 KWENYE MJI WA RAHA KWANN INAIMBWA MSIBA NI TU..
hawa walishabomolewa na alama za x ziliwekwa kama walirudi ni kosa lao maana tanroads waliwawekea x toka mwaka 2017