Kumekucha bomoabomoa Ubungo-Kimara ndani ya 90m za hifadi ya barabara

Kumekucha bomoabomoa Ubungo-Kimara ndani ya 90m za hifadi ya barabara

Magufuli asingeruhusu upuuzi wa aina hii, watu walikuwa wanaogopa kupeleka proposal za kipumbavu maana angezipiga chini tu😅!

Watamkumbuka sana tu maana sahizi wapigaji hawatakuwa wanawajibishwa zaidi ya kuandikishwa barua tu
Ninacho shangaa wanadai kupeleka umeme vijijini yaan mawazo ya mwigulu anadhan watanzania bado wajinga miaka yote tunachangia REA sasa hiki walicho leta cha kazi gani
 
Ninacho shangaa wanadai kupeleka umeme vijijini yaan mawazo ya mwigulu anadhan watanzania bado wajinga miaka yote tunachangia REA sasa hiki walicho leta cha kazi gani
Maji tyr kwani?

Sola zinatosha kijijini Nani anatumia friji?
 
Hawapewi hata mia maana inasemekana huko nyuma walishapewa wengine wakajauzia hao waliopo sa hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa yetu alishawahi kutuambia alilipwa mara ya kwanza lakini hakuhama aliendelea kuishi hapo tena, baadhi ya majirani walihama na kuuza maeneo yao kwa watu wengine. Ukapita muda mrefu ikaja tathimini nyingine wakalipwa tena baadhi ya majirani wakauza tena maeneo yao. Asilimia kubwa ya watu waliokuwa wanaishi maeneo hayo kabla ya bomoa bomoa ni wale waliouziwa yale maeneo kutoka kwa watu ambao waliokwisha kulipwa.
 
Jamaa yetu alishawahi kutuambia alilipwa mara ya kwanza lakini hakuhama aliendelea kuishi hapo tena, baadhi ya majirani walihama na kuuza maeneo yao kwa watu wengine. Ukapita muda mrefu ikaja tathimini nyingine wakalipwa tena baadhi ya majirani wakauza tena maeneo yao. Asilimia kubwa ya watu waliokuwa wanaishi maeneo hayo kabla ya bomoa bomoa ni wale waliouziwa yale maeneo kutoka kwa watu ambao waliokwisha kulipwa.
Hilo wengi hawajui kama wale wazee wa mwanzo washakulaga hela

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama inampasa apate mtu kama Sabaya na ubaya wake wote ili amsaidie.kuna vitu vya kuhoji kizalendo.
Hizi wiki mbili za kumalizia mafungu kwa morogoro nimeshuhudia barabara ya old dsm road ikiwekwa changalawe za kutosha juu ya rami na baadhi ya maeneo yakitanuluwa kwa kumwagiwa lami nyepesi kama maji huku ikiachwa barabara ya mjimpya ambayo ina mashimo na ilijengwa ndani ya miaka 10 iliyopita.barabara ya mjimpya haikuwa na lami nzito na imebanduka banduka na kuacha mishimo halafu leo hii sehemu ambayo ina lami kama mkeka ina mwagiwa tena changalawe.
Kuna mawili inawezekana wanataka kumgombanisha mama na wananchi au wanaopanga hizi kazi hawapiti maeneo husika bali wana letewa na maofisa ambao wao wana waza 10 %kutokana na mishahara yao midogo.
Morogoro barabara ya kihonda manyuki nayo ni mbovu,yepsa ukiwa na gari ndogo unajuta,
Kwa nini mnakimbilia kusema wanataka kumgombanisha na Raisi? Yeye so aingilie kato? Na kama unakumbuka wote humu tulikuwa tunamsifu kwa kuunda timu yake, kama hao watendaji hawamheshimu huo uraisi atauweza vipi tena?
 
Wakati mwingine watanzania hatufuati taratibu, kuna wakati fulani nilienda Tabata nikakuta watu wengi wamejenga nyumba juu ya bomba kubwa la maji. Bomoa bomoa ikipita watu hao watakuwa wa kwanza kulalamika na wanasiasa watatumia hiyo fursa.
 
Nimegundua humu watu huwa hawasomi habari bali wanachangia tuuu.... ukisoma hiyo barua utagundua hakuna ubomoaji mpya bali ni ule ule na mita ni zile zile 90 kwa sababu toka ya enzi za JPM WALISHABOMOLEWA labda kama walirudi kwenye hifadhi ya barabara tena..... kimsingi waliobomolewa kipindi kile ndio hao hao wanaambiwa tena kwenye hii barua kuwa kama walirudi wajua wenye eneo wanataka kulitumia.
 
Pamoja na kuwa Barabara ya Ubungo—Kimara (stop over) zimepigwa X jioni hii hadi usiku huu. Wananchi wamepewa siku 30 waondoke kupisha upanuzi wa barabara.

Pia kuanzia Kimara Bucha mpaka Kimara resort wamepewa Notisi ya kobomoa na kuvacate kwa walio ndani ya Mita 90 za hifadhi ya barabara kama barua inavyoonesha.

Hii yote ni kwa ajili ya kuendelezwa kwa barabara hiyo na wakala wa barabara TANROADS. Nakala ya notisi hiyo ni kama inavyoonekana hapo chini:


View attachment 1847872
Gwajima anaondoka
 
WAENDE WAKAWAWEKEE ALAMA YA INAPOISHIA HIO MT ZAOO WASIWAFANYE WATZ WAJINGA ....UWEZI MWAMBIA MTU UKO TISINI AMA 120 WEKA ALAMA ISOME HAPA.MTU AJUE ANAISHIA WAPI KUVUNJA.........

HAPO NDIO MTAELEEWA WIMBO WA TUONANEEE PARADISOOO TUONANEEE PARADISOOO X3 KWENYE MJI WA RAHA KWANN INAIMBWA MSIBA NI TU..
hawa walishabomolewa na alama za x ziliwekwa kama walirudi ni kosa lao maana tanroads waliwawekea x toka mwaka 2017
 
Back
Top Bottom