Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Mungu amejibu maombi ya upinzani.Eeh nchi inafunguliwa bwana toka kwa dhalimu jiwe [emoji28]!!!
Dhalimu ambaye hajawahi kuwalaza gizani zaidi ya masaa 24 katika siku zote ambazo alikuwa madarakani! Maji hayakuwahi kukatika katika namna yeyote isioeleweka[emoji28]
“Sote tu watu wazima haina haja ya kufatiliana na kutumbuana kila mtu afanye majukumu yake kwa moyo”~Amiri jeshi
Ha ha ha ha ha ha! Wacha nifike mlimani nikajipooze na AC za umma kwanza[emoji28] hii joto ya huku uswahilini haifai!
Hii nchi punguani ni wengi mkuu, utakauka mate kuwaelimisha. Wanasahau anayeteseka ni mtu wa hali ya chini kabisa kuna watu hata maji yauzwe 5000 dumu moja kwake sio issue.Sawa aliwa wa nyamazisha wasema ukweli ila maji yalikuwa yana patikana.
Tatizo mnapenda kusimuliwa, ila mwisho wa siku legacy Magu ina lindwa na uhalisia ninepita kariakoo mida ya saa kumi na moja jioni ni kelele za majenereta mtindo mmoja nafika karibia na home naiona kirukuu imejaza madumu ya kutosha inakula vichwa nimechukua yangu matano, kwa buku 5 maisha yana endelea.
Ila ninacho shangaa sasa hivi hamja nyamazishwa, ila mgao wa maji na umeme kila kona, mwengine anakuja tn 1.5,ukimwambia akupe paragraph au hata page kutoka ktk repoti ya CAG hajui, ila ndio kalikuta huko nae kalibeba kama lilivyo, wewe maji zamani dumu 100,sasa hivi 1000 sijui huko mbele litakuwa kiasi gani.
Ushamba utakuua huko magufuli alipoingia kulikua na visima vyao maji yanatoka kila siku sema tuu kuna mijusi huwa wanakata kwasababu wanapenda karaisha wanadamu wenzaoKuna wilaya haziguswi na DAWASA kabisa wilaya ya Kigamboni, Ubungo, Temeke na Ukonga wao wamejizoelea kunywa maji ya madimbwi wanayojichimbia na Maji ya mvua.
Ukiwaangalia hata muonekano wa sura wanaotoka maeneo hayo yasiyo na ratiba wako tofauti na huko kwenye ratiba ya Dawasa sura zao zimekakamaa hasa
Ratiba haiwahusu
Wanasema hapakuwa na marekebisho [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ya muda mrefu kipara ndio anatuelezsa hayaTangu huyu bibi yenu achukue nchi, basi kila kitu kimekua cha hovyo kama yeye alivyo wa hovyo.
Hahaha hii ngumi jiwe ulompiga tunaomba refa aingilie kati kumuokoa
Mungu amejibu maombi ya upinzani.
Jiwe amekufa,Wapinzani wana amani sasa na wanakula bata,,nchi imefunguka.
Huyo jamaa atakua anaishi na kimba.. Huna maji kimba utaflashi vipi afu inasema bora kukosa maji
Unajifunza ku-troll endelea na somo Ongeza bidii.Umetokea huko maporini,mlikua mnaenda kuchota maji km 15 huko,kutawaza mnajifuta kwa kutumia majani.Mbona haujafa mpk leo?
Muhimu sana, gutter zinasaidia sana kuvuna maji na ukiweka kakisima ka kujengewa chini lita zako Iet say thirty thousands to fifty sio mbaya….Mkiwa mnajenga nyumba msisahau kuweka system ya kuvuna maji ya mvua.
Wenye visima wala hawalalamikiMuhimu sana, gutter zinasaidia sana kuvuna maji na ukiweka kakisima ka kujengewa chini lita zako Iet say thirty thousands to fifty sio mbaya….
Deni limeongezeka kwasababu ya riba ya madeni ya nyuma[emoji1][emoji1] hebu tuwekee hapa alikuta Deni la nchi Ni kiasi gani na ameacha Deni la nchi Ni kiasi gani?
[emoji1][emoji1][emoji1] Jamani tunanunua ndege kwa hela zetu za ndani,sisi ni matajiriiii au Nasema uongo ndg zangu?[emoji1][emoji1][emoji1]
Imeandikwa amelaaniwa amtegemeae mwanadamu, serikali bila mwanadamu haipo, tatizo most of the people can’t read between the lines.Wenye visima wala hawalalamiki
Mliomtusi jiwe haiwahusu hiiMamlaka ya maji safi na maji taka Dar es Salaam imetangaza mgao wa maji jiji la Dar es Salaam kanda ya Kinondoni ili kupunguza kero kwenye maeneo yanayotajwa kuwa na msukumo mdogo. Katika ratiba hiyo wakaazi wa Masaki, Mikocheni na Obey wameula, watapata maji saa 24 siku saba za wiki. Baadhi ya maeneo sijayaona kabisa pia tangazo halina mwanzo wala ukomo wa mgao.
Anyways tunawasubiri Tanesco nao watoe ratiba badala ya kwenda kimya kimya pia wasisahau majenereta ya IPTL, tuko tayari kuchangia akaunti ya Tegeta Escrow..