Kumekucha: Israel yatangaza ipo tayari kwa vita na yeyote Middle East na mbaya wake yeyote. Mbwai Mbwai tu

Kumekucha: Israel yatangaza ipo tayari kwa vita na yeyote Middle East na mbaya wake yeyote. Mbwai Mbwai tu

Kuna wakati watu kukudharau si kwamba wanakuogopa, mwambia Israel ajaribu tu kwa Saud Arabia, wachana na Egypt

Algeria, Egypt, Morocco, Yemen hawa number ingine, afu Iran
Israel hajawahi anzisha vita kwa tarifa yako... vitabu vya Mosomo vya elimu za kiarabu zinawafundisha waarabu wawe na chuki dhidi ya Wayahudi.. so hii dhima wakikua wanashangaa sana kuona Israel hachokozi mtu ila ukimtisha anakuchapa tu... Hii imefanya nchi za kiarabu kugundua ujinga wa Maalim zao madrassa kuwa waliwadanganya.... Muslim in the Middle east wanaaminishwa Jews wana mikia kama nguruwe, Jews walimuua Mtume wao, kila jambo baya linasababishwa na Jews.. Even Saudia Arabia kasema mpango wa ushirikiano na Israel bado haujaisha.. Jeshi la Israel ni for Defence only.. Nitakuja na Nakala from Ben Shapiro ndio mtajua mnaichukia bure Israel kuhusu Palestina... Nchi ile last time i checked ilikuwa chini ya Uingereza na raia walikuwa ni Arabs na Jews.. Uingereza alitaka awape nchi yote ambayo ilikuwa ni Palestine na Trans Jordan.. Baadae wakaigawa arabs na jews so Arabs waliokuja kujiita Palestina wote wanatakiwa kuishi upande wa Jordan but Israel ni eneo lote la Jordan na haifa Gaza.
 
Jamaa wana mikwara balaa wakati hamas wanatumia rocket za kienyeji kutengeneza uwani wanahangaika nao mwezi huu unaenda wa pili eneo lao hata dsm kubwa halafu wanaongea hvyo ,waangalie na hao pichani zinapgwa rocket watu wanajinyeaView attachment 2815939
Tatizo hujawahi enda Jeshini.. hapo ungekuwa ushaelewa nini cha kufanya... kacheze rede na Dadako achana na Mijadara wa Wajeda
 
Kuna wakati watu kukudharau si kwamba wanakuogopa, mwambia Israel ajaribu tu kwa Saud Arabia, wachana na Egypt

Algeria, Egypt, Morocco, Yemen hawa number ingine, afu Iran
Algeria, Yemen na Moroco wananini air force ya kupigana na myahudi? Hata Iran ana airforce ya kupigana na Israel?
 
Unaenda mwezi wa pili hawajapata mateka wala Hamas, jeshi la kienyeji makombora yakutengezea uani Israel mwanajeshi mmoja ana silaha mwilini kibao mgongoni Laptop mara kipuyu cha maji lakini hamna kitu.
IMG_6272.jpeg
 
FORCE OF IRON

Major General Tomer Bar made the chilling warning in an TV address today
Pichani :Meja Generali Tomer Bar ametoa Onyo kwenye Televisheni leo

Israel vows they are ready to bomb across ‘entire Middle East’ in major warning to Iran and Hezbollah
Israel wanajivunia kuwa wapo Tayari kulipua 'eneo lolote la mmashariki ya kati' ikiwa ni onyo kali kwa Nchi Wapiga mikwara mingi bila vitendo Iran na Wanamgambo hovyo wa Hezbollah.

In a TV address today, Major General Tomer Bar, said: “We are hitting Hamas on the ground and below the ground.

Alipokuwa akielezea kwenye runinga leo hii Meja Tomer Bar, alisema 'tunawapiga Hamas ardhini na chini ya ardhi.

"We have hit thousands of terrorists, and we will reach all of them."
Tumewaua maelfu ya magaidi, and tutawafikia woteeeee.

He added: “The Air Force as the strategic arm of the State of Israel is prepared and operates all over the Middle East, in every required arena, anywhere."

Aliongezea, ''Jeshi la Anga la Israel limejipanga kwa mipango kabambe na imejiandaa haswa kutoa dozi Mashariki ya kati yote, kwa kila mjengo, popote pale Dozi tu.

Since Israel declared war on Hamas following their bloody October 7 cross-border killing spree, Iran-backed terror groups in Lebanon and Yemen have repeatedly threatened to open up new fronts in the conflict.
Tokea Israel ilipotangaza vita na Mgambo wa Hamas kufuatia umwagaji damu Tarehe 7 mwezi oktoba kuvamiwa ndani ya mpaka wake na kuuliwa kwa raia wake, Magaidi wanaoungwa mkono na Iran nchini Lebanon na Yemen walianza kuitishia kuingia nao vitani mstari wa mbele kwenye huo mgogolo wa kivita.

Lebanon's Hezbollah and Yemen's Houthi rebels are part of Iran's self-styled "Axis of Resistance" against Israel and have been striking both Israeli and US targets in "solidarity" with Hamas.

Hezbollah wa Lebanon na Mgambo Wahouthi wa Yemen wamo kwenye mipango binafsi wa ushirikiano ulioundwa na nchi ya Irani unaioitwa Axis of Resistance ' Uzuizi dhidi ya Israel and wamesha tuma makombora ya vilipukizi nchini Israel na Makambi ya jeshi la Marekani huko Iraq, ili kuonesha dhana yaa kuwa wapo pamoja kwa Hamas.

Hezbollah in particular has been pounding Israeli military positions in the country's north with mortar fire and suicide drones, while Israel has retaliated with warplanes, helicopters and missiles.

Kwa upande wa Hezbollah wao washaishambulia maeneo ya kijeshi yaliyopo kaskazini mwa Isreal kwa kutumia maroketi na ndege zisizo na rubani, pia Israel amekuwa akijibu maipo kwa ndege, Helikopta na maroketi pia yenye Shabaha.

The border skirmishes have further fuelled fears that the conflict may spiral into an all-out war across the Middle East.

Mapambano ya Mipakani yameendelea sana hadi kuna wasiwasi kuwa yanaweza yakaongezeka na kuja kuwa vita kamili mashariki ya kati yote ambako Meja huyo ameshasema Israel ipo tayari Nia ipo na uwezo wanao. alioongezea kuwa amesikia kuwa kuna Shekh Tanzania anajiita Ponda nae watakuja kumponda sababu nia za watu wanaopinga ni kutaka Taifa la Israel lipotee na hii ni vita kwa uhai wao na watashinda tu kwani washamuomba Mungu wao Aliye hai na sio Jiwe jeusi kwa majirani zao. Bwai mbwai tu

On November 3, Iran's leader Hassan Nasrallah broke his silence to warn Israel that against attacking Lebanon.
Tarehe 3 Mwezi Novemba, Mgambo mkuu anayeungwa mkono na Iran Hassan Nasrallah alivunja ukimya na kuionya Israel kama itaishambulia nchi yao ya Lebanon. kisha akapotea hewani maana anaongea akiwa kwenye Handaki akiogopa kuuliwa na Israel.
Takbirrrr, kazi iendelee. Mungu ibariki Israel.
 
Shekhe Ponda naye anatafutwa?

Iziail tuwaacheni hao watu, wako mbele kama mshale wa saa!
Huyo sio wa kumfikiria,sniper mmoja tu anakuja maliza hiyo kazi.
Au atapewa tende na biryani kwaheri.
 
K
Jamaa wana mikwara balaa wakati hamas wanatumia rocket za kienyeji kutengeneza uwani wanahangaika nao mwezi huu unaenda wa pili eneo lao hata dsm kubwa halafu wanaongea hvyo ,waangalie na hao pichani zinapgwa rocket watu wanajinyeaView attachment 2815939
Kwa hisani ya Photoshop ya Mbagala kwa Mfuga Nyoka.
 
Wanadharauliana; simple. Hamas watulie wataumia.
We wacha kusikiliza propoganda za Israel, wenzako leo tu vifaru na magari 21 yamemalizwa atatoka Gaza very soon atake asitake, mimi nataka aendelea kukataa kusimamisha vita kama anavyo jidai 😄

Hi ndio Time ya kuimaliza Israel, sababu dunia nzima imeisha anza kufahamu hao Israel jeshi lao ni zero kabisa hawana zaidi ya kufanya genocide kwa kutumia silaha za bure wanaza pewa na America pamoja na Europe na Canada


Hamasi jeshi Lake liko fit kabisa We huoni missiles zinaruka kama kawaida afu hao vifaru vyao vimebaki vingapi pale Gaza na walingia navyo vingapi 😄
 
Dah; mbona kama ni tangazo la vita kwa Iran! Hamkani si shwari! Jana Xi alikuwa Washington akibadilishana mawazo na Biden!
Walipovamiwa waisrael walisambaa duniani nzima na kipindi hicho walishika nafasi kubwa kwenye mataifa mengine.
Israel ilipotangaza vita, meli za kijeshi, silaha, ndege na wanajeshi wa Marekani walienda kupiga kambi karibu na Israel hiyo kwa maana kwamba hiyo vita hakuna wa kuingilia. Hautamuona Iran kasogeza pua pale.
Ataingilia atakiona ndiyo maana haujaona mataifa mengine yamesogeza pua zao pale Israel
Unaijua familia ya kitajiri ya Lost child family ya Marekani?
 
Kama Iran atamshindwa islaer katika kipindi hiki,basi akae akijua kabisa kwamba siku inakuja hambapo raia wa Iran wataanza kuishi kama wapalestina wa westbank

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Kwamba hajipendi? Gaza iko karibu sana ndo maana Israel inashindwa tumia mabomu makubwa makubwa
 
We wacha kusikiliza propoganda za Israel, wenzako leo tu vifaru na magari 21 yamemalizwa atatoka Gaza very soon atake asitake, mimi nataka aendelea kukataa kusimamisha vita kama anavyo jidai 😄

Hi ndio Time ya kuimaliza Israel, sababu dunia nzima imeisha anza kufahamu hao Israel jeshi lao ni zero kabisa hawana zaidi ya kufanya genocide kwa kutumia silaha za bure wanaza pewa na America pamoja na Europe na Canada


Hamasi jeshi Lake liko fit kabisa We huoni missiles zinaruka kama kawaida afu hao vifaru vyao vimebaki vingapi pale Gaza na walingia navyo vingapi 😄
Naona unajipa matumaini hewa. Kamuulize shekh ponda alivyoandaa maandamano, hali ni mbaya.
Mtaandamana lini au mtaandamana ndani ya msikiti?
Unajua kitakachotokea hapo hospitalini? Lile tukio la octoba 7 linaenda kitokea hapo
 
Kuna wakati watu kukudharau si kwamba wanakuogopa, mwambia Israel ajaribu tu kwa Saud Arabia, wachana na Egypt

Algeria, Egypt, Morocco, Yemen hawa number ingine, afu Iran
Algeria, Egypt, Saud Arabia Jordan, Yemen Hawa wote wananunua silaha marekani. Ambapo watengenezaji was izo silaha ni wayahudi awo awo, Sasa wanashindaje iyo vita
 
Kuna wakati watu kukudharau si kwamba wanakuogopa, mwambia Israel ajaribu tu kwa Saud Arabia, wachana na Egypt

Algeria, Egypt, Morocco, Yemen hawa number ingine, afu Iran
Uwezo wa medani haudanganyi bro, kila kitu kinatokana historia leo tunasema russia ana uwezo kutokana na historia ya ww2 alivyomtwanga hitler. Haya mambo hayataki uwe emotional kuyajua israel na ushenzi wake wote kwenye medani ni moto wa kuotea mbali. Misri, syria na majirani wengine wanamjua vizuri tu.
 
FORCE OF IRON

Major General Tomer Bar made the chilling warning in an TV address today
Pichani :Meja Generali Tomer Bar ametoa Onyo kwenye Televisheni leo

Israel vows they are ready to bomb across ‘entire Middle East’ in major warning to Iran and Hezbollah
Israel wanajivunia kuwa wapo Tayari kulipua 'eneo lolote la mmashariki ya kati' ikiwa ni onyo kali kwa Nchi Wapiga mikwara mingi bila vitendo Iran na Wanamgambo hovyo wa Hezbollah.

In a TV address today, Major General Tomer Bar, said: “We are hitting Hamas on the ground and below the ground.

Alipokuwa akielezea kwenye runinga leo hii Meja Tomer Bar, alisema 'tunawapiga Hamas ardhini na chini ya ardhi.

"We have hit thousands of terrorists, and we will reach all of them."
Tumewaua maelfu ya magaidi, and tutawafikia woteeeee.

He added: “The Air Force as the strategic arm of the State of Israel is prepared and operates all over the Middle East, in every required arena, anywhere."

Aliongezea, ''Jeshi la Anga la Israel limejipanga kwa mipango kabambe na imejiandaa haswa kutoa dozi Mashariki ya kati yote, kwa kila mjengo, popote pale Dozi tu.

Since Israel declared war on Hamas following their bloody October 7 cross-border killing spree, Iran-backed terror groups in Lebanon and Yemen have repeatedly threatened to open up new fronts in the conflict.
Tokea Israel ilipotangaza vita na Mgambo wa Hamas kufuatia umwagaji damu Tarehe 7 mwezi oktoba kuvamiwa ndani ya mpaka wake na kuuliwa kwa raia wake, Magaidi wanaoungwa mkono na Iran nchini Lebanon na Yemen walianza kuitishia kuingia nao vitani mstari wa mbele kwenye huo mgogolo wa kivita.

Lebanon's Hezbollah and Yemen's Houthi rebels are part of Iran's self-styled "Axis of Resistance" against Israel and have been striking both Israeli and US targets in "solidarity" with Hamas.

Hezbollah wa Lebanon na Mgambo Wahouthi wa Yemen wamo kwenye mipango binafsi wa ushirikiano ulioundwa na nchi ya Irani unaioitwa Axis of Resistance ' Uzuizi dhidi ya Israel and wamesha tuma makombora ya vilipukizi nchini Israel na Makambi ya jeshi la Marekani huko Iraq, ili kuonesha dhana yaa kuwa wapo pamoja kwa Hamas.

Hezbollah in particular has been pounding Israeli military positions in the country's north with mortar fire and suicide drones, while Israel has retaliated with warplanes, helicopters and missiles.

Kwa upande wa Hezbollah wao washaishambulia maeneo ya kijeshi yaliyopo kaskazini mwa Isreal kwa kutumia maroketi na ndege zisizo na rubani, pia Israel amekuwa akijibu maipo kwa ndege, Helikopta na maroketi pia yenye Shabaha.

The border skirmishes have further fuelled fears that the conflict may spiral into an all-out war across the Middle East.

Mapambano ya Mipakani yameendelea sana hadi kuna wasiwasi kuwa yanaweza yakaongezeka na kuja kuwa vita kamili mashariki ya kati yote ambako Meja huyo ameshasema Israel ipo tayari Nia ipo na uwezo wanao. alioongezea kuwa amesikia kuwa kuna Shekh Tanzania anajiita Ponda nae watakuja kumponda sababu nia za watu wanaopinga ni kutaka Taifa la Israel lipotee na hii ni vita kwa uhai wao na watashinda tu kwani washamuomba Mungu wao Aliye hai na sio Jiwe jeusi kwa majirani zao. Bwai mbwai tu

On November 3, Iran's leader Hassan Nasrallah broke his silence to warn Israel that against attacking Lebanon.
Tarehe 3 Mwezi Novemba, Mgambo mkuu anayeungwa mkono na Iran Hassan Nasrallah alivunja ukimya na kuionya Israel kama itaishambulia nchi yao ya Lebanon. kisha akapotea hewani maana anaongea akiwa kwenye Handaki akiogopa kuuliwa na Israel.
Kelele nyingi wakati Yemen kila siku anajipigia miji ya Israel wamekaa kimya kama uwoga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom