Kumekucha: Israel yatangaza ipo tayari kwa vita na yeyote Middle East na mbaya wake yeyote. Mbwai Mbwai tu

Kumekucha: Israel yatangaza ipo tayari kwa vita na yeyote Middle East na mbaya wake yeyote. Mbwai Mbwai tu

NETANYAHU amesema kuwa kuna member wa jamiiforum na wao wanastahili kupigwa kiberiti kutokana na ushabiki wao wa kijinga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wazayuni wapigwe mawe wafe
IMG_20231114_122901.jpg
 
FORCE OF IRON

Major General Tomer Bar made the chilling warning in an TV address today
Pichani :Meja Generali Tomer Bar ametoa Onyo kwenye Televisheni leo

Israel vows they are ready to bomb across ‘entire Middle East’ in major warning to Iran and Hezbollah
Israel wanajivunia kuwa wapo Tayari kulipua 'eneo lolote la mmashariki ya kati' ikiwa ni onyo kali kwa Nchi Wapiga mikwara mingi bila vitendo Iran na Wanamgambo hovyo wa Hezbollah.

In a TV address today, Major General Tomer Bar, said: “We are hitting Hamas on the ground and below the ground.

Alipokuwa akielezea kwenye runinga leo hii Meja Tomer Bar, alisema 'tunawapiga Hamas ardhini na chini ya ardhi.

"We have hit thousands of terrorists, and we will reach all of them."
Tumewaua maelfu ya magaidi, and tutawafikia woteeeee.

He added: “The Air Force as the strategic arm of the State of Israel is prepared and operates all over the Middle East, in every required arena, anywhere."

Aliongezea, ''Jeshi la Anga la Israel limejipanga kwa mipango kabambe na imejiandaa haswa kutoa dozi Mashariki ya kati yote, kwa kila mjengo, popote pale Dozi tu.

Since Israel declared war on Hamas following their bloody October 7 cross-border killing spree, Iran-backed terror groups in Lebanon and Yemen have repeatedly threatened to open up new fronts in the conflict.
Tokea Israel ilipotangaza vita na Mgambo wa Hamas kufuatia umwagaji damu Tarehe 7 mwezi oktoba kuvamiwa ndani ya mpaka wake na kuuliwa kwa raia wake, Magaidi wanaoungwa mkono na Iran nchini Lebanon na Yemen walianza kuitishia kuingia nao vitani mstari wa mbele kwenye huo mgogolo wa kivita.

Lebanon's Hezbollah and Yemen's Houthi rebels are part of Iran's self-styled "Axis of Resistance" against Israel and have been striking both Israeli and US targets in "solidarity" with Hamas.

Hezbollah wa Lebanon na Mgambo Wahouthi wa Yemen wamo kwenye mipango binafsi wa ushirikiano ulioundwa na nchi ya Irani unaioitwa Axis of Resistance ' Uzuizi dhidi ya Israel and wamesha tuma makombora ya vilipukizi nchini Israel na Makambi ya jeshi la Marekani huko Iraq, ili kuonesha dhana yaa kuwa wapo pamoja kwa Hamas.

Hezbollah in particular has been pounding Israeli military positions in the country's north with mortar fire and suicide drones, while Israel has retaliated with warplanes, helicopters and missiles.

Kwa upande wa Hezbollah wao washaishambulia maeneo ya kijeshi yaliyopo kaskazini mwa Isreal kwa kutumia maroketi na ndege zisizo na rubani, pia Israel amekuwa akijibu maipo kwa ndege, Helikopta na maroketi pia yenye Shabaha.

The border skirmishes have further fuelled fears that the conflict may spiral into an all-out war across the Middle East.

Mapambano ya Mipakani yameendelea sana hadi kuna wasiwasi kuwa yanaweza yakaongezeka na kuja kuwa vita kamili mashariki ya kati yote ambako Meja huyo ameshasema Israel ipo tayari Nia ipo na uwezo wanao. alioongezea kuwa amesikia kuwa kuna Shekh Tanzania anajiita Ponda nae watakuja kumponda sababu nia za watu wanaopinga ni kutaka Taifa la Israel lipotee na hii ni vita kwa uhai wao na watashinda tu kwani washamuomba Mungu wao Aliye hai na sio Jiwe jeusi kwa majirani zao. Bwai mbwai tu

On November 3, Iran's leader Hassan Nasrallah broke his silence to warn Israel that against attacking Lebanon.
Tarehe 3 Mwezi Novemba, Mgambo mkuu anayeungwa mkono na Iran Hassan Nasrallah alivunja ukimya na kuionya Israel kama itaishambulia nchi yao ya Lebanon. kisha akapotea hewani maana anaongea akiwa kwenye Handaki akiogopa kuuliwa na Israel.
Watu wanao jiamini nawakubali sana, Netanyahu, Putin, Magufuli, Gaddafi..... Yaani ni mbaya mbaya
 
Kama Iran atamshindwa islaer katika kipindi hiki,basi akae akijua kabisa kwamba siku inakuja hambapo raia wa Iran wataanza kuishi kama wapalestina wa westbank

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Waisrael wenyewe ndio Hawa wanaojinyea nyea kama Wanamgambo wasiokua na zana wamewatoa kinyesi Iran si anakwenda kuichoma miji yote....
IMG_20231105_185104.jpg
 
Kama Iran atamshindwa islaer katika kipindi hiki,basi akae akijua kabisa kwamba siku inakuja hambapo raia wa Iran wataanza kuishi kama wapalestina wa westbank

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
kwa bahati mbaya, muda si mrefu iran atakuja kuishi kama iraq, vuruvuru. kwasababu yupo kwenye radar miaka mingi sana. Uturuki ana jeshi kubwa lakini hana uwezo kupigana na israel kwasababu amewashindwa hata waasi wa Kurdi wanaomsumia miaka nenda rudi na wale wanaishi tu kawaida hawana hata mahandaki kama hamas na wala hawajajificha kwenye makazi ya watu.
 
Israel majenerali wake wala huwa hawavai nishati kibao kama majenerali wa North Korea na wa Urusi. Wa NK wale Jenerali anaweza vaa nishani za kuzidi kilo moja, zimejaa kifuani hadi tumboni na hawajawahi pigana vita. Israel almost kila kizazi cha mwanajeshi kabla hajastaafu kuna vita Israel itaingia. Hata 2030s si ajabu Israel ikaingia vita au operation nyingine.
Majenerali wa Israel sio ndio Hawa wanatangaza ushoga wengi wao mabwabwa wananuka mafuta ya nazi
 
Sijaelewa; kwani Sheikh Ponda aliteleza ulimi dhidi ya wana wa Yakobo? Anaingiaje kwenye huo mtanange Israel vs magaidi?
Dini imekuathiri mno. Upo brainwashed kabisa hata uelezwe uhalisia wa mambo hutoelewa.
 
Iran isipoangalia inaweza kuwa ndiyo inatafutwa! Kuwepo kwa manowari za Marekani Mediterenian siyo ishara nzuri kwa Irani.
Lakini hata hivyo, Mpaka dakika hii Irani na Hezibollah wameshaanza kunywea! Irani imeshabadili lugha, inasema haina nia ya kupanua mzozo huu kwingine kwa ajili ya huu mgogoro wa Gaza!
 
Iran isipoangalia inaweza kuwa ndiyo inatafutwa! Kuwepo kwa manowari za Marekani Mediterenian siyo ishara nzuri kwa Irani.
Lakini hata hivyo, Mpaka dakika hii Irani na Hezibollah wameshaanza kunywea! Irani imeshabadili lugha, inasema haina nia ya kupanua mzozo huu kwingine kwa ajili ya huu mgogoro wa Gaza!
Unameza propaganda za Israel na Marekani jana hiyo Hezibollah kapiga kombora watu wanalia huko.
27 hours w/o electricity in Shomera in Israel: Settlers say it's unbelievable that Lebanon has electricity but we don't!
😂
 

Attachments

  • twidown.mp4
    1.9 MB
FORCE OF IRON

Major General Tomer Bar made the chilling warning in an TV address today
Pichani :Meja Generali Tomer Bar ametoa Onyo kwenye Televisheni leo

Israel vows they are ready to bomb across ‘entire Middle East’ in major warning to Iran and Hezbollah
Israel wanajivunia kuwa wapo Tayari kulipua 'eneo lolote la mmashariki ya kati' ikiwa ni onyo kali kwa Nchi Wapiga mikwara mingi bila vitendo Iran na Wanamgambo hovyo wa Hezbollah.

In a TV address today, Major General Tomer Bar, said: “We are hitting Hamas on the ground and below the ground.

Alipokuwa akielezea kwenye runinga leo hii Meja Tomer Bar, alisema 'tunawapiga Hamas ardhini na chini ya ardhi.

"We have hit thousands of terrorists, and we will reach all of them."
Tumewaua maelfu ya magaidi, and tutawafikia woteeeee.

He added: “The Air Force as the strategic arm of the State of Israel is prepared and operates all over the Middle East, in every required arena, anywhere."

Aliongezea, ''Jeshi la Anga la Israel limejipanga kwa mipango kabambe na imejiandaa haswa kutoa dozi Mashariki ya kati yote, kwa kila mjengo, popote pale Dozi tu.

Since Israel declared war on Hamas following their bloody October 7 cross-border killing spree, Iran-backed terror groups in Lebanon and Yemen have repeatedly threatened to open up new fronts in the conflict.
Tokea Israel ilipotangaza vita na Mgambo wa Hamas kufuatia umwagaji damu Tarehe 7 mwezi oktoba kuvamiwa ndani ya mpaka wake na kuuliwa kwa raia wake, Magaidi wanaoungwa mkono na Iran nchini Lebanon na Yemen walianza kuitishia kuingia nao vitani mstari wa mbele kwenye huo mgogolo wa kivita.

Lebanon's Hezbollah and Yemen's Houthi rebels are part of Iran's self-styled "Axis of Resistance" against Israel and have been striking both Israeli and US targets in "solidarity" with Hamas.

Hezbollah wa Lebanon na Mgambo Wahouthi wa Yemen wamo kwenye mipango binafsi wa ushirikiano ulioundwa na nchi ya Irani unaioitwa Axis of Resistance ' Uzuizi dhidi ya Israel and wamesha tuma makombora ya vilipukizi nchini Israel na Makambi ya jeshi la Marekani huko Iraq, ili kuonesha dhana yaa kuwa wapo pamoja kwa Hamas.

Hezbollah in particular has been pounding Israeli military positions in the country's north with mortar fire and suicide drones, while Israel has retaliated with warplanes, helicopters and missiles.

Kwa upande wa Hezbollah wao washaishambulia maeneo ya kijeshi yaliyopo kaskazini mwa Isreal kwa kutumia maroketi na ndege zisizo na rubani, pia Israel amekuwa akijibu maipo kwa ndege, Helikopta na maroketi pia yenye Shabaha.

The border skirmishes have further fuelled fears that the conflict may spiral into an all-out war across the Middle East.

Mapambano ya Mipakani yameendelea sana hadi kuna wasiwasi kuwa yanaweza yakaongezeka na kuja kuwa vita kamili mashariki ya kati yote ambako Meja huyo ameshasema Israel ipo tayari Nia ipo na uwezo wanao. alioongezea kuwa amesikia kuwa kuna Shekh Tanzania anajiita Ponda nae watakuja kumponda sababu nia za watu wanaopinga ni kutaka Taifa la Israel lipotee na hii ni vita kwa uhai wao na watashinda tu kwani washamuomba Mungu wao Aliye hai na sio Jiwe jeusi kwa majirani zao. Bwai mbwai tu

On November 3, Iran's leader Hassan Nasrallah broke his silence to warn Israel that against attacking Lebanon.
Tarehe 3 Mwezi Novemba, Mgambo mkuu anayeungwa mkono na Iran Hassan Nasrallah alivunja ukimya na kuionya Israel kama itaishambulia nchi yao ya Lebanon. kisha akapotea hewani maana anaongea akiwa kwenye Handaki akiogopa kuuliwa na Israel.
Unaleta mipasho tu mateka wamekombolewa hata mmoja?
 
Tarehe 3 Mwezi Novemba, Mgambo mkuu anayeungwa mkono na Iran Hassan Nasrallah alivunja ukimya na kuionya Israel kama itaishambulia nchi yao ya Lebanon. kisha akapotea hewani maana anaongea akiwa kwenye Handaki akiogopa kuuliwa na Israel.
Kwamba aliongea huku kajificha.. kelele mingi afu waoga
 
Unaleta mipasho tu mateka wamekombolewa hata mmoja?
Yes Mmoja alipatikana muda mchache tu walipo ingia Gaza.. vipi ulikuwa umelala au Pombe hazijakuisha kichwani?

Israeli forces rescue captured soldier; Hamas releases video of 3 other hostages​

Israeli government and military did not elaborate on circumstances of Ori Megidish's release​

The Associated Press · Posted: Oct 30, 2023 2:35 PM EDT | Last Updated: October 31
Five people are seen standing in a line for a photo. A young woman with curly hair wearing a white T-shirt is in the middle.
 
Dah; mbona kama ni tangazo la vita kwa Iran! Hamkani si shwari! Jana Xi alikuwa Washington akibadilishana mawazo na Biden!
Irani hatakuja kuvamiwa kijeshi hata siku moja, Bali anaweza kupigwa kwa teknolojia za kutisha zilizopo pale area 51 Nevada marekani, Kama tetemeko la ardhi n.k ambazo zitampelekea kusarender. Hivyo hawa wayahudi feki wa kizungu hawana huo uwezo wa kuishambulia kijeshi Irani maana wanajua fika ni kujitafutia kifo na anguko lao la mapema kabla ya kukamilisha malengo yao ya kishetani.
 
FORCE OF IRON

Major General Tomer Bar made the chilling warning in an TV address today
Pichani :Meja Generali Tomer Bar ametoa Onyo kwenye Televisheni leo

Israel vows they are ready to bomb across ‘entire Middle East’ in major warning to Iran and Hezbollah
Israel wanajivunia kuwa wapo Tayari kulipua 'eneo lolote la mmashariki ya kati' ikiwa ni onyo kali kwa Nchi Wapiga mikwara mingi bila vitendo Iran na Wanamgambo hovyo wa Hezbollah.

In a TV address today, Major General Tomer Bar, said: “We are hitting Hamas on the ground and below the ground.

Alipokuwa akielezea kwenye runinga leo hii Meja Tomer Bar, alisema 'tunawapiga Hamas ardhini na chini ya ardhi.

"We have hit thousands of terrorists, and we will reach all of them."
Tumewaua maelfu ya magaidi, and tutawafikia woteeeee.

He added: “The Air Force as the strategic arm of the State of Israel is prepared and operates all over the Middle East, in every required arena, anywhere."

Aliongezea, ''Jeshi la Anga la Israel limejipanga kwa mipango kabambe na imejiandaa haswa kutoa dozi Mashariki ya kati yote, kwa kila mjengo, popote pale Dozi tu.

Since Israel declared war on Hamas following their bloody October 7 cross-border killing spree, Iran-backed terror groups in Lebanon and Yemen have repeatedly threatened to open up new fronts in the conflict.
Tokea Israel ilipotangaza vita na Mgambo wa Hamas kufuatia umwagaji damu Tarehe 7 mwezi oktoba kuvamiwa ndani ya mpaka wake na kuuliwa kwa raia wake, Magaidi wanaoungwa mkono na Iran nchini Lebanon na Yemen walianza kuitishia kuingia nao vitani mstari wa mbele kwenye huo mgogolo wa kivita.

Lebanon's Hezbollah and Yemen's Houthi rebels are part of Iran's self-styled "Axis of Resistance" against Israel and have been striking both Israeli and US targets in "solidarity" with Hamas.

Hezbollah wa Lebanon na Mgambo Wahouthi wa Yemen wamo kwenye mipango binafsi wa ushirikiano ulioundwa na nchi ya Irani unaioitwa Axis of Resistance ' Uzuizi dhidi ya Israel and wamesha tuma makombora ya vilipukizi nchini Israel na Makambi ya jeshi la Marekani huko Iraq, ili kuonesha dhana yaa kuwa wapo pamoja kwa Hamas.

Hezbollah in particular has been pounding Israeli military positions in the country's north with mortar fire and suicide drones, while Israel has retaliated with warplanes, helicopters and missiles.

Kwa upande wa Hezbollah wao washaishambulia maeneo ya kijeshi yaliyopo kaskazini mwa Isreal kwa kutumia maroketi na ndege zisizo na rubani, pia Israel amekuwa akijibu maipo kwa ndege, Helikopta na maroketi pia yenye Shabaha.

The border skirmishes have further fuelled fears that the conflict may spiral into an all-out war across the Middle East.

Mapambano ya Mipakani yameendelea sana hadi kuna wasiwasi kuwa yanaweza yakaongezeka na kuja kuwa vita kamili mashariki ya kati yote ambako Meja huyo ameshasema Israel ipo tayari Nia ipo na uwezo wanao. alioongezea kuwa amesikia kuwa kuna Shekh Tanzania anajiita Ponda nae watakuja kumponda sababu nia za watu wanaopinga ni kutaka Taifa la Israel lipotee na hii ni vita kwa uhai wao na watashinda tu kwani washamuomba Mungu wao Aliye hai na sio Jiwe jeusi kwa majirani zao. Bwai mbwai tu

On November 3, Iran's leader Hassan Nasrallah broke his silence to warn Israel that against attacking Lebanon.
Tarehe 3 Mwezi Novemba, Mgambo mkuu anayeungwa mkono na Iran Hassan Nasrallah alivunja ukimya na kuionya Israel kama itaishambulia nchi yao ya Lebanon. kisha akapotea hewani maana anaongea akiwa kwenye Handaki akiogopa kuuliwa na Israel.
Hamna kitu anamtegemea US kwa kila kitu, sasa ngoja ashughulikiwe
 
Back
Top Bottom