KUMEKUCHA! JNHPP Kuanza kujazwa maji Disemba 15, 2022

KUMEKUCHA! JNHPP Kuanza kujazwa maji Disemba 15, 2022

Kama ulikuwa na shaka kuhusu ujenzi wa Bwawa la JNHPP kwamba litaanza lini kufanya kazi ya kuzalisha umeme, basi wakati wa kumaliza kabisa shaka zako umefikia tamati.

Serikali imesema kwamba kuanzia Disemba 15, 2022 itaanza kujaza maji kwenye bwawa hilon ambapo maji hayo yatajazwa hadi Aprili mwaka 2023 ili kufikia kiwango ambacho kinatosha kuzalisha umeme.

Hadi sasa ujenzi wa mradi huo umefikia 77.15% ambapo hadi kufikia tarehe 15, 2022 ambayo ni siku ya kuanza kujaza maji bwawani, ujenzi unatazamiwa kufikia 80% huku uzalishaji wa umeme ukitarajiwa kuanza rasmi Aprili 2024.

Ujenzi wa Bwawa la JNHPP ni wa teknolojia ya kisasa na uimara wake bwawa hilo litadumu kwa miaka 100 ijayo.
Mradi huu umeleta ajira nyingi sana kwa Watanzania. Mradi umeajiri watu 12,298 huku 11,190 sawa na 90.99% ni Watanzania na 1,108 sawa na asilimia 11.01% wakiwa ni raia wa kigeni.

Kubwa jingine kuhusu bwawa hili ni kwamba hata kuwe na ukame utakaodumu kwa miaka mitatu bwawa hili halito acha kuzalisha umeme kwani lina uwezo mkubwa sana wa kutunza maji.

Nimependa sana namna vile Mheshimiwa Rais Samia Suluhu alivyoweza kusimamia vizuri kabisa miradi iliyoachwa na mtangulizi wake. Mama anafanya kazi kubwa sana na kwa hili anapaswa kupewa pongezi za dhati kabisa. Hongera sana Rais Samia Suluhu.

Afadhali kabisa pongezi kwamama
 
Vipi Shughuli Ishaanza ?!!!!

Au bado hapajakucha ?
 
JNHPP ni Agenda 2025 hivo lazima ianze kuzalisha umeme na Dkt SSH akigombea ni Urais atafanya rejea kwa kufanikiwa kulamilisha Mradi, CHAWA wanabaki kutekeleza ajenda ya kumnamga Mtangulizi wake (JPM).
Kufa Kufaana.
 
Wewe unafikiri Mto Rufiji unategemea chanzo kimoja?. Kuna mito mingi mikubwa inaingia Rufiji hasa kutoka Morogoro. Kilombero, Luwegu, Mbarangandu, Kihansi na mingine ambayo inatoka kwenye hari ya hewa inayotofautiana(Mingine milimani au mingine misituni). Kwahiyo kama Ruaha kuna ukame basi Kilombero au luwegu inarisha.View attachment 2447247
Ruaha kuna ukame basi Kilombero au luwegu!
 
Ni wapi huko bwashee? Ebu tuambie na sisi tujiridhishe! Kama maji yamezuiwa kuingia huko kwa ajili ya jnhpp wakati hata ujazaji maji jnhpp haujaanza maana yake ni kwamba hayo maji yanatiririka bure kwenda baharini. Makes no sense.
Mosi, inaelekea hata Jiografia ya Tanzania huijui vinginevyo wala usingepata taabu kufahamu ni mto upi unaweza kukosa maji kwa ajili ya JNHPP...

Pili, kusema maji yanatirirka bure kwenda baharni kwa mara nyingine unaonesha hata wazi hufahamu kabisa what's going on...

...na kama unafahamu basi itakuwa unasumbuliwa na JPM Paranoia, ambapo watu aina yenu mkiona maelezo kama hayo mnadhani anasemangwa JPM

Mwisho, unatakiwa kufahamu ili maji yajazwe kwenye bwawa yanatakiwa kwanza kuwa reserved. That being said, kutojazwa maji hadi sasa haimaanishi hakuna maji yaliyokuwa reserved kwa ajili hiyo...

...HINT: Jikumbushe angalau Jiografia ya O-Level kuhusu Dams and Reservoirs!
 
Ni wapi huko bwashee? Ebu tuambie na sisi tujiridhishe! Kama maji yamezuiwa kuingia huko kwa ajili ya jnhpp wakati hata ujazaji maji jnhpp haujaanza maana yake ni kwamba hayo maji yanatiririka bure kwenda baharini. Makes no sense.
Mosi, inaelekea hata Jiografia ya Tanzania huijui vinginevyo wala usingepata taabu kufahamu ni mto upi unaweza kukosa maji kwa ajili ya JNHPP...

Pili, kusema maji yanatirirka bure kwenda baharni kwa mara nyingine unaonesha hata wazi hufahamu kabisa what's going on...

Mwisho, unatakiwa kufahamu ili maji yajazwe kwenye bwawa yanatakiwa kwanza kuwa reserved. That being said, kutojazwa maji hadi sasa haimaanishi hakuna maji yaliyokuwa reserved kwa ajili hiyo...

...HINT: Jikumbushe angalau Jiografia ya O-Level kuhusu Dams and Reservoirs!
 
Kama ulikuwa na shaka kuhusu ujenzi wa Bwawa la JNHPP kwamba litaanza lini kufanya kazi ya kuzalisha umeme, basi wakati wa kumaliza kabisa shaka zako umefikia tamati.

Serikali imesema kwamba kuanzia Disemba 15, 2022 itaanza kujaza maji kwenye bwawa hilon ambapo maji hayo yatajazwa hadi Aprili mwaka 2023 ili kufikia kiwango ambacho kinatosha kuzalisha umeme.

Hadi sasa ujenzi wa mradi huo umefikia 77.15% ambapo hadi kufikia tarehe 15, 2022 ambayo ni siku ya kuanza kujaza maji bwawani, ujenzi unatazamiwa kufikia 80% huku uzalishaji wa umeme ukitarajiwa kuanza rasmi Aprili 2024.

Ujenzi wa Bwawa la JNHPP ni wa teknolojia ya kisasa na uimara wake bwawa hilo litadumu kwa miaka 100 ijayo.
Mradi huu umeleta ajira nyingi sana kwa Watanzania. Mradi umeajiri watu 12,298 huku 11,190 sawa na 90.99% ni Watanzania na 1,108 sawa na asilimia 11.01% wakiwa ni raia wa kigeni.

Kubwa jingine kuhusu bwawa hili ni kwamba hata kuwe na ukame utakaodumu kwa miaka mitatu bwawa hili halito acha kuzalisha umeme kwani lina uwezo mkubwa sana wa kutunza maji.

Nimependa sana namna vile Mheshimiwa Rais Samia Suluhu alivyoweza kusimamia vizuri kabisa miradi iliyoachwa na mtangulizi wake. Mama anafanya kazi kubwa sana na kwa hili anapaswa kupewa pongezi za dhati kabisa. Hongera sana Rais Samia Suluhu.

Leo ni Disemba 15,2022 tuwekee hizo video za kuingiza maji tuone
 
Isije kuwa wanajaza bila matengezo kutengemaa ili iharibike waseme tulisema this project is doomed from the scratch...I know Africans
 
Mosi, inaelekea hata Jiografia ya Tanzania huijui vinginevyo wala usingepata taabu kufahamu ni mto upi unaweza kukosa maji kwa ajili ya JNHPP...

Pili, kusema maji yanatirirka bure kwenda baharni kwa mara nyingine unaonesha hata wazi hufahamu kabisa what's going on...

Mwisho, unatakiwa kufahamu ili maji yajazwe kwenye bwawa yanatakiwa kwanza kuwa reserved. That being said, kutojazwa maji hadi sasa haimaanishi hakuna maji yaliyokuwa reserved kwa ajili hiyo...

...HINT: Jikumbushe angalau Jiografia ya O-Level kuhusu Dams and Reservoirs!
Kumbe ni porojo tu!
 
Kumbe ni porojo tu!
It says a lot kwa mtu asiyefahamu hata kutoka Bwawa la Nyerere maji yanaeelekea wapi!

It says a lot kwa mtu asiyefahamu kwamba lazima kuwe na reservoirs ili maji yaweze kuingizwa kwenye bwawa!

And the best way to handle mtu wa aina hiyo ni kumpuuz!
 
Back
Top Bottom