It says a lot kwa mtu asiyefahamu hata kutoka Bwawa la Nyerere maji yanaeelekea wapi!
It says a lot kwa mtu asiyefahamu kwamba lazima kuwe na reservoirs ili maji yaweze kuingizwa kwenye bwawa!
And the best way to handle mtu wa aina hiyo ni kumpuuz!
..ukipata muda naomba utumegee elimu kuhusu jiografia na ekolojia ya maeneo ambako huu mradi unatekelezwa.
..pia utueleze jinsi kunavyofikika. Nina jamaa zangu waliwahi kuniambia kuwa Mwalimu Nyerere alilenga kujenga mradi wa umeme pamoja na barabara ya kuelekea kusini ktk mradi wa Stieglers.
..natanguliza shukrani.