KUMEKUCHA! JNHPP Kuanza kujazwa maji Disemba 15, 2022

KUMEKUCHA! JNHPP Kuanza kujazwa maji Disemba 15, 2022

Halijazwi kwa maji ya mvua inayonyesha kipindi cha msimu huu! Litajazwa na maji ya mto Rufiji. Kumbuka wakati wa kuanza Kuchimba bwawa, mto ulipitishwa sehemu nyingine. Sasa utarudishwa ujaze maji bwawani. Mto Rufiji haukauki wakati wa Ukame.

Ila huu mto inabidi ulindwe kwa udi na uvumba. Nadhani RUBADA iwe Jeshi Usu kama ilivyo watu wa misitu, tanapa, n.k.
 
Watu maskini akili zao hazijai kwenye kijiko cha chai! Tusubiri watasema tusubiri mvua inyeshe ijaze bwawa hadi 2026 litajaa badala ya kuchimba mitaro ya maji toka Ziwa victoria hadi bwawani kwa mwezi mmoja tu!!

Nyerere Dam ni mradi wa Magufuli mama Samia ni Rais mwenye vision anaumalizia ila ingependeza nayeye abuni mradi mwingine mkubwa wa kufua umeme kuzidi Nyerere Dam maana kwasasa kuna tozo zitamsaidia.

Amalize pia SGR haraka na kutandaza reli za kuunganisha mikoa yote kwa reli Iringa, Manyara, Musoma nk

Aondoe kiswahili kuwa lugha ya kufundishia mashuleni iwe English watoto waongee English shuleni nyumbani na mitaani tupate wawekezaji

Akifanya hayo Tanzania itapaa kiuchumi yenyewe tu nasisi binadamu na ndege tutamuimbia Mama Samia na kumpepea!

I pray for her😊
 
Ila huu mto inabidi ulindwe kwa udi na uvumba. Nadhani RUBADA iwe Jeshi Usu kama ilivyo watu wa misitu, tanapa, n.k.
Kila kitu jeshi. Zimamoto, uhamiaji, misitu, wanyamapori, nk nk na unatakw RUBADA. Si afya kwa nchi.
 
Kila kitu jeshi. Zimamoto, uhamiaji, misitu, wanyamapori, nk nk na unatakw RUBADA. Si afya kwa nchi.

Kwa sasa, inaweza kuonekana hivyo, lakini miaka 50 au 100+ ijayo watakao kuwepo watatushukuru sana.
 
Back
Top Bottom