Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Ni leo!Sawa disemba 15 si mbali tutarudi kukumbushana
Tukumbushane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni leo!Sawa disemba 15 si mbali tutarudi kukumbushana
Wewe unafikiri Mto Rufiji unategemea chanzo kimoja?. Kuna mito mingi mikubwa inaingia Rufiji hasa kutoka Morogoro. Kilombero, Luwegu, Mbarangandu, Kihansi na mingine ambayo inatoka kwenye hari ya hewa inayotofautiana(Mingine milimani au mingine misituni). Kwahiyo kama Ruaha kuna ukame basi Kilombero au luwegu inarisha.Leo 15 12 2022 nimewahi siti kwenye mawe ndani ya mto mkavu Ruaha niyaone vizuri maji yanayokwenda kulijaza bwawa la umeme la Julius Nyerere.
Yaani ni nchi ya hovyo snLabda aliyeleta uzi yupo busy anatafuta nini cha kusifia kwa sasa anasahau kuleta mrejesho wa aliyosema mwanzo...
Au bado hapajakucha....
Kubwa jingine kuhusu bwawa hili ni kwamba hata kuwe na ukame utakaodumu kwa miaka mitatu bwawa hili halito acha kuzalisha umeme kwani lina uwezo mkubwa sana wa kutunza maji.
Mimi nimetega masikio kama rada, hii ni habari kubwa nitaitafuta hata kwenye media za nie!.🥴Ni leo!
Tukumbushane
Watakuja na Bra bra braTuleteeni updates leo ni 15Dec22
kama waziri wa umeme atakuwa huyu huyu mtoto wa mropokaji si ajabu ikawa vinginevyoKama ulikuwa na shaka kuhusu ujenzi wa Bwawa la JNHPP kwamba litaanza lini kufanya kazi ya kuzalisha umeme, basi wakati wa kumaliza kabisa shaka zako umefikia tamati.
Serikali imesema kwamba kuanzia Disemba 15, 2022 itaanza kujaza maji kwenye bwawa hilon ambapo maji hayo yatajazwa hadi Aprili mwaka 2023 ili kufikia kiwango ambacho kinatosha kuzalisha umeme.
Hadi sasa ujenzi wa mradi huo umefikia 77.15% ambapo hadi kufikia tarehe 15, 2022 ambayo ni siku ya kuanza kujaza maji bwawani, ujenzi unatazamiwa kufikia 80% huku uzalishaji wa umeme ukitarajiwa kuanza rasmi Aprili 2024.
Ujenzi wa Bwawa la JNHPP ni wa teknolojia ya kisasa na uimara wake bwawa hilo litadumu kwa miaka 100 ijayo.
Mradi huu umeleta ajira nyingi sana kwa Watanzania. Mradi umeajiri watu 12,298 huku 11,190 sawa na 90.99% ni Watanzania na 1,108 sawa na asilimia 11.01% wakiwa ni raia wa kigeni.
Kubwa jingine kuhusu bwawa hili ni kwamba hata kuwe na ukame utakaodumu kwa miaka mitatu bwawa hili halito acha kuzalisha umeme kwani lina uwezo mkubwa sana wa kutunza maji.
Nimependa sana namna vile Mheshimiwa Rais Samia Suluhu alivyoweza kusimamia vizuri kabisa miradi iliyoachwa na mtangulizi wake. Mama anafanya kazi kubwa sana na kwa hili anapaswa kupewa pongezi za dhati kabisa. Hongera sana Rais Samia Suluhu.
Wanafungua njia walizoziba ili kujenga Bwawa.Nyie...sa maji wanayatoa wapi?