Kumekucha Madawa ya Kulevya: Kina 'Masogange' wawataja waliowatuma!

.......Mimi hadi sasa hivi nazeeka kila siku nasikia sikia kuhusu mtoto wa raisi, hivi nae hajatajwa au katika mzigo huo hausiki yake anapeleka China tu?
unazeeka??? basi wewe ni mtoto wa <5 yrs. manake huyu katajwa zaid ndani ya hii miaka 5 na kuhusu china katajwa this yr.
 
japo siamini habar iliyopo hapo juu kwasababu ya chanzo na jinsi ilivyoandkwa lakin watanzania haya madawa tuyaangalie zaid, tushrkiane kwa pamoja bila kujali tofauti zetu za aina yoyote..Tanzania yetu itapotea, haya maziwa na asali tunayojivunia yatapotea, hii nguv kazi tunayoijenga itapotea na mwsho Tanzania itapotea. Hakutakuwa na viongoz na wananch bali watawala na watawaliwa...
 
Mmmmh kweli watu balaa wamegundua mbinu mpya ya kwamba ukitaka kuzima moto ni kupambana na moshi.kamwe hiyo kazi haitofanikiwa hata siku moja.wawaachie wakina masogange warudi kwenye chanzo kwa kina kinje na wengineo kazi itafanikiwa.
 
masogange waachiwe huru. Hawana hatia katika hili. Watakuwa wamewaonea kama wakiwahukumu. Hii nchi kila kitu ruksa. Wakubwa huwa hawaguswi kamwe! Pambafuuu!

hakuna kuachiwa sindo hao wanajifanya kuigiza tu mamilionea ------- zao funga miaka mia, si tunaangaika wao wanalala lkn wanaela
 
mtu wa kuulizwa hapo ni mkuu wa kaya je? waliotajwa ni sawasawa? maana yeye anawajua
 
Mi sioni kipya hp yote yasemwayo yanajulikana,Police,Tiss wote wanajua wauza unga wakubwa.Hawawezi kuwafanya lolote,wamo miongoni.
 
Yaani hapa inabidi wenye ma boutique wote wachunguzwe na wale wenye kampuni za clearing and forwarding wachunguzwe pia kwani wengi wao asilimia 98.9 ni wazungu wa sembe.
 
Biashara ya sembe imeshika kasi ya hatari,punda wamekuwa wengi balaa.
 

Sio mbaya sana kwan wakishugulikiwa ipasavyo wengine wanaosafirisha wataogopa. Hivyo biashara itadorora vigogo hawawezi kusafirisha mzigo. Na hakuna dogo mwingine atakayekuwa tayari kubeba hiyo cargo.
 
Mi sioni kipya hp yote yasemwayo yanajulikana,Police,Tiss wote wanajua wauza unga wakubwa.Hawawezi kuwafanya lolote,wamo miongoni.

Mkuu kuna wakati tunalaumu sana bila kuangalia. Hata hapa anatajwa Kinje, huenda yeye ni msimamizi tu wa biashara lakini kuna mfanyabiashara mwenyewe, angekuwa Kinje bila shaka angekamatwa. Polisi TISS na wengine wanajua kuliko tunayojua sisi, ni hadi wakubwa watakapoamua ndipo watu wa chini watatekeleza wanachoambiwa. vinginevyo tutaendelea kulalama tu kila kukicha.

As usual hakuna atakayekamtwa, sana sana wabebaji ndio watasumbuliwa kidogo, wataachiwa.
 
Hawa wanaosafirisha wanyongwe kabisa. Hii itasaidia hawa vigogo kukosa watu wa kuwabebea cargo zao....
 
kama serikali inataka kukomesha biashara hii haramu ya madawa ya kulevya, basi ismuonee aibu mtu kwa sababu ya umaarufu wake au nafasi yake katika serikali. Lazima itangulize usalama wa nchi kwanza na ihakikishe wahusika wote wanachukuliwa hatua stahiki.
 
Hivi huyo kinje pesa zote za Parking System za Dar city hazimtoshi hadi awafanye raia wengine Punda wa kubeba dawa za Kulevya? Mijitu iliyozaliwa kwa kula vya dezo ndio hadi ikikua inakuwa hivyo hivyo kupenda Dezo.....
 
mtu wa kuulizwa hapo ni mkuu wa kaya je? waliotajwa ni sawasawa? maana yeye anawajua

yaaan daaamie naichikia sana serikali yetu kwa kufumbia macho kwann wasiwajibishwe mapema hao wote wanotajwa mara moja sasa utashangaa eti tuunde tume iwachunguze wakat wametajwa daaa
PONGEZ ZANGU ZA DHAT ZIMWENDEE NDUGU MWAKYEMBE KWA HARAKAT NZITO ANAYOIFANYA BG UP JEMBEEE
 
Chini ya utawala wa hawa ma CCM,tutaendelea kucheza huu music wa watoto wa vigogo mpaka mwisho,hakuna yeyote atakayechukuliwa hatua kwa sababu ndo wafadhili wakubwa kwao;JK ana list ya wauza unga mda mrefu,lakini hakuna hatua yeyote ya kisheria iliyochukuliwa,tutakwisha,bora hata wameanza kudakwa na ukweli umeanza kujulikana taratibu,kuliko majina waliyoya'hold' kwenye meza zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…