Mbona mambo yako wazi kabisa??
Mwenye Mzigo ni Kinje Ngombale Mwiru. Huyu anajulikana na narudia kusema tena ndiye aliyetumika kumuharibu mtoto wa Sitta ALIYEMZAA kwa mkewe mkubwa aitwaye Valeria(rip).
Huyu tena anashirikiana na Shomar Kimbau sijui kwanini watu wanawaonea aibu hawa watu.
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Mkuu Zogwale una maana huyo jamaa hapo katikati?
Pumbav zao ikiwezekana wanyongwe kabisa mbwa hao, na serikali yetu nayo ishirikiane na Afrika Kusini ktk kuhakikisha kwamba hao wanaotajwa nao wanafikishwa kunakohusika. Tumechoka kuona watu wajingawajinga dizain yao malaya wanaichafua nchi yetu.
Siku ndugu yako atakuwa mhanga wa madawa, wa either punda au mtumiaji basi utafanya kila juhudi kupata mchawi!!!! Mkuu Nyani Ngabu, lisemalo lipo na kama halipo laja? Mbona hawajakutaja wewe kuwa ni mshirika wa madawa? Haya mambo yako mitaani na usalama unafahamu!!!! Kama haufahamu basi ni budi wafunge ofisi tuanze recruitment upya!!! Udhaifu na ulegelege kila kona.Hivi kuna ushahidi kwamba Kinje anajihusisha na hiyo biashara au ni maneno tu ya watu yasiyo na ukweli wowote?
Siku ndugu yako atakuwa mhanga wa madawa, wa either punda au mtumiaji basi utafanya kila juhudi kupata mchawi!!!! Mkuu Nyani Ngabu, lisemalo lipo na kama halipo laja? Mbona hawajakutaja wewe kuwa ni mshirika wa madawa? Haya mambo yako mitaani na usalama unafahamu!!!! Kama haufahamu basi ni budi wafunge ofisi tuanze recruitment upya!!! Udhaifu na ulegelege kila kona.
Zamani alikuwa na kashfa nyingi za kuua watu kwa kugona na gari,ameua wengi sana.Sasa hivi amekuja na version mpya ya kubebesha watu unga,siku zake zinahesabika.huyu kinje toka niko nakua namsikia akitajwa tajwa sijui kwanini huwa watu wanamunea aibu kumuadabisha
Mkuu ushahidi anao Rais wako na nina hakika jina la Kinje halitakosa!!! Nzowa naye anaju drugs lords wote!!! Ha ha ha!!! Kwa kifupi, the syndicate, well known!!!! Sasa unataka tuweke ushahidi wa risiti kwani ni bidhaa halali au kuwa amekamatwa? Lord kumkamata ni ngumu, sana sana atakamatwa punda na yule jirani yake punda tu!!!!Mambo ya lisemwalo sijui lipo au kama halipo laja hayahusiki hapa.
Leteni ushahidi ulio zaidi na maneno yenu tu.
Kinje nomaaa ndio maana mara vogue mara porsche kumbe ngada mie nlijua ubungo taminale.
Kinje katajwa, wala sio siri
Mkuu ushahidi anao Rais wako na nina hakika jina la Kinje halitakosa!!!
Nzowa naye anaju drugs lords wote!!! Ha ha ha!!! Kwa kifupi, the syndicate, well known!!!! Sasa unataka tuweke ushahidi wa risiti kwani ni bidhaa halali au kuwa amekamatwa?
Lord kumkamata ni ngumu, sana sana atakamatwa punda na yule jirani yake punda tu!!!!
Huyu shomari kimbau leo ametangazwa kwenye magazeti kamtosa bondia italy nazani atakuwa kamtuma akauze unga huko kwanini asikamatwe
Au ndo Mintanga na sakata la sembe Mauritius? Mwee!
Ngumu kivipi? Hakuna wiretapping technology bongo? Hakuna undercover agents wa ku-bust hizo drug rings?
ni shomari kimbau au omari kimbau?wanaotaka ubunge wa mafia kwa hali na mali!wanaishi majirani ni kingunge ngombale mwiru pale viktoria makumbusho!wamewaharibu vijana wote mwananyamala