Kumekucha Madawa ya Kulevya: Kina 'Masogange' wawataja waliowatuma!

Mafian fish itafungwa! Huwa wana maringo sana, kumbe wanawageuza wenzao mapunda!
 
asante kwa ufafanuzi..mtoto mhuni wa mzee kimbau wa victoria tunayemjua ni omary...tundu toka utoto wake
si ndio kazaa na verna kwa sasa?? Yule dada naye pale hatoki, akale vumbi kwao kinondoni?? Aache maronyaronya ya pale??
 
Masogange waachiwe huru. Hawana hatia katika hili. Watakuwa wamewaonea kama wakiwahukumu. Hii nchi kila kitu RUKSA. Wakubwa huwa hawaguswi kamwe! Pambafuuu!
 

Kinje ndiyo nani Tanzania??

Kinje yupo juu ya sheria hakuna mtu anaeweza kumshika hata siku moja huyo shomari anawatu kibao wapo keko na segerea wamekamatwa kwamakosa ya sembe wapo ndani
 

Huyu jamaa alishapiga mtu risasi na kuua lakini akaja kuachiwa huru! Kuwa mtoto wa "mkubwa" Tanzania ni raha sana! Shomari Kimbau alishadakwa Zimbabwe na unga!
 

shomi kimbau mbona naskia ashakamatwa,ila nae ni punda tu boss wake ni Aurora
 

Jamii forum bana wana lugha zao aisee hiyo code nomaaaa
 
uandishi wa kidaku kabisa. wako wapi waliotajwa. ni bora habari za namna hii zibaki kwenye magazeti ya shigongo.
 
Wabanwe hadi wawaseme na wauseme mtandao wao wote
 
Naanza ku connect dots. Inawezekana kabisa kuwa shomari kimbau ndio aliyembebesha mzigo mmbwana matumla ambae kakamatwa huko hispania.

he!kumbe Mbwana kakamatwa?tobaaa!kweli niko bize hata hili limenipita?kha!makubwa!
 

Manshirooo nimeipenda hiiii, eti jina kapuni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…