Kumekucha Madawa ya Kulevya: Kina 'Masogange' wawataja waliowatuma!

Mswalie mtume/yesu kaka
 
Hapa ni street justice tu ndio inaweza kukomesha hawa mafia...

Maana kama ni kwa mahakama lazima washinde kwa kuwa wako smart; mapunda hawawezi kuwa link dealers....hapa ni kuchukua mawe tu mitaani Baaasi....

maana watoto wetu na ndugu zetu wanaangamia
 

- He! he! yaani this is incredible kumbe walikuwa hawajataja? Mbona tuliambiwa wameshawataja siku nyingi? ha1 ha! ha! ha!

Le Mutuz
 
- He! he! yaani this is incredible kumbe walikuwa hawajataja? Mbona tuliambiwa wameshawataja siku nyingi? ha1 ha! ha! ha!

Le Mutuz

Ni mtoto wa mwana CCM mwenzetu....Kinje Ngombale Mwiru na Juma Pinto marafiki zako, you know kama vipi na wewe ujipange....Supar sana..

One Love
 
HUKO CCM kumejaa wahuni na wauza madawa ya kulevya na ndio maana wengine wamelewa milele kam NDUGAI.
 
Naanza ku connect dots. Inawezekana kabisa kuwa shomari kimbau ndio aliyembebesha mzigo mmbwana matumla ambae kakamatwa huko hispania.

mkuu unahoji hilo?? huwez amini hata sasa kuna mwana masumbwi mmoja kakamatwa Italy na sembe, na huyu kachana live kwamba mzigo ni wa shomari. huyu jamaa ni balaa sana hata sisi kufungiwa kwenye shirikisho la ngumi sababu ni yeye.
 
Yaan magamba kishne.......si unaona bendera ina nyundo kwa ajili ya kuvunja,jembe kuzika???

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Huyu jamaa alishapiga mtu risasi na kuua lakini akaja kuachiwa huru! Kuwa mtoto wa "mkubwa" Tanzania ni raha sana! Shomari Kimbau alishadakwa Zimbabwe na unga!
Shomari ni mshenzyy tu na huyu anashirikiana na Kinje katika hili. Kama unaweza kukonnect dots wakati anamiliki tenda ya ubungo bus terminal aliwah kusafirisha madawa na baus ta taqwa kwenda SA. AKIDAI ni tiket za getini a ubungo eti zimekosewa namba so anarudisha kwa supplier.
 
Wabanwe hadi wawaseme na wauseme mtandao wao wote

mimi nasema hapana , wakitajwa watatikisa chama ! Bwa ha! Ha! Ha! Ha! Ifweero bhana ! Kuna mmoja alikuwa diwani wa ccm hapo , sijui kama unalitambua hilo ! Tutaua chama jamani .
 
Kina nani sasa hao waliowatuma? mbona hadithi ndeeefu lkn hajatajwa mtu? hapa ni jamiiforums bana
 
huyu kinje toka niko nakua namsikia akitajwa tajwa sijui kwanini huwa watu wanamunea aibu kumuadabisha

.......Mimi hadi sasa hivi nazeeka kila siku nasikia sikia kuhusu mtoto wa raisi, hivi nae hajatajwa au katika mzigo huo hausiki yake anapeleka China tu?
 
Achen zenu nyie,kila mtu na starehe yake,cocktail ndo yatufanya tuwe watu mjin hapa na tufanikishe mishe ming,achek kuhukumu akat n starehe kwetu,kikubwa jitahdin kutuombea mabaya yasitukute na hao mwewe wasikamatwe kitu kifike salama.shikamoo Ngunga boy en Kinje baby
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…