Kumekucha: Marekani yakiri kutuma makombora maalumu ya kutungua rada Ukraine

Ukraine angekuwa anarusha makombora mengi kwa mfululizo badala ya kurusha mara moja moja sasa hivi Russia tayari wangekuwa nje ya Ukraine kwa sababu wanajeshi wengi wa Russia tayari wameanza kuchoka na kuanza kuomba likizo.
Hana hayo makombora, anategemea apewe na USA
 
Source: Sky news, daily news - mtu unategemea nini kutoka kwenye sources kama hizo, kazi zao ni scare mongering and make believe stories that is all halafu walivyo wa ajabu wanazungumza vitu technical ambavyo watu wenye elimu ya kutosha katika masuala haya wanaona kwamba maelezo yenyewe ni highly flawed technical wise that is - mimi nimeliona hilo,je,Warusi si ndio wanaona kwamba jamaa wanazungumza kufurahisha baraza kwa kuwachota akili laypersons but not Russian scientists/engineers.

FYI, Warusi wamekwisha anza kuzitungua kwa wingi roketis zinazo rushwa na HIMARS launchers - habari hizo uwezi kuzisikia zikitangazwa na: Sky News, Daily News,BBC,VoA wala CNN wako kimya kabisa, wanacho kazania ni kutangaza jinsi Warusi wanavyo pata kipigo kikali kutoka kwa Ukraine forces lakini Ukraine haipati hasara au wanajeshi wake kuuwawa wanao kufa ni Warusi tu.
 
Na hapo anapambana na Ukraine. Angepambana na France, Italy, German, UK au Japan si angeshika adabu Mrusi?
 
Tuache utana na story za vijiweni USA Yuko mbali sana kisilaha.... Tatzo hapa ni ushabiki tu. Lakn ukweli mchungu ni kua USA Yuko mbali sana

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Asilimia kubwa ya Tec tunazotumia sasa, US tec zake ndio zinaongoza kwa ubora. Ndiye anarun dunia kwa Tec.
 
Rivet Joint, hatari nyingine hii, kazi yake ni kukusanya intelligenc za adui ikiwa ngapi, ina uwezo wa kukusanya taarifa za adui akiwa umbali wa zaidi ya kilomita 240.

Mbona awamu hii tutazijua kila aina ya silaha.
 
Rivet Joint, hatari nyingine hii, kazi yake ni kukusanya intelligenc za adui ikiwa ngapi, ina uwezo wa kukusanya taarifa za adui akiwa umbali wa zaidi ya kilomita 240.

Mbona awamu hii tutazijua kila aina ya silaha.
Sasa kutoka Romania mpaka Donbas ni kilometer ngapi? Ni zaidi ya 700km hata kama propaganda mnazidi
 
Mshangao mwingine, kambi ya Jeshi iliyo Crimea imeshambuliwa hivi punde,
Mshangao mwingine ni Je Marekani imepeleka Silaha za kufika KM 200+ kutoka Frontline ya Ukraine?
Kama hiyo ni kweli, basi amepania kuanzisha WW3 ambavyo hataweza kuvishinda badala yake Dunia itakuwa destroyed in totality - binadamu huyu ni hatari kuliko maelezo watu hawajui tu!! Na nimuonapo Biden wakati mwingine anazubaa zubaa na wakati mwingine anasalimiana na hewa huwa naogopa sana nabaki najiuliza maswali mengi: hivi huyu ni binadamu wa kupewa briefcase yenye code za ku-launch thermonuclear ICBMs towards Russia - tumuombe Mungu tu atusalimishe dhidi ya uwekano mkubwa wa WW3 kuanzishwa aidha kwa kutokana na miscalculation/bahati mbaya au kimakusudi - dalili sio nzuri kusema kweli unless Biden akiondolewa ofisini kwa uwezo/nguvu za Mungu la sivyo tumekwisha - sitanii.
 
Maana yake Poland au Romania kapeleka hizo Mig kisiri, maana nakumbuka walitaka peleka ndege kwa kupata assurance kutoka Marekani kuwa watapewa ndege zingine
Hizi migs si mwanzoni mwa hii vita Russia alikuwa anazizima sababu alihack mifumo yake? Bila shaka hizi sasa zimefanyiwa maboresho kwa sehemu kubwa.
 
Huko Ukraine ambako US anafanya field ya silaha zake vijana 16-35 yrs wa Ukraine wanaisha kila siku kwa makombora ya mwamba PUTIN
Ni kweli mkuu, yaani Zelensky ana roho ngumu kama ya paka, he doesn't seem to be bothered by astronomical numbers of Ukrainian Soldiers loosing their lives in a futile war against Russia -Anacho jali yeye ni kukubali aridhi ya Ukraine itumiwe na USA kufanya majaribio ya silaha mpya kushambulia majeshi ya Russia, hiki ndicho kinacho endelea huko Ukraine.
 
Yale ma hima yamefeli duh aendelee kuleta machuma chuma yake ya kipumbavu tuyaharibu
Yamefeli?.... Muulize Russia analijua hilo dude vizuri ndo maana unaona Russia iko kimya anajambajamba tu HIMARS ni zaidi ya shetani mamaee[emoji1787][emoji1787]zipo 20 sasa hivi zinamtoa mavi vip zingekuwa 100 Russia si kungewaka moto
 
Kwahiyo ulitaka Zelenksy akae kimya Russia achukue maeneo ya nchi yake?!

Hakuna Rais mpumbafu dunia hii anaweza kubali huo upuuzi hata Tanzania haikukubali huo upuuzi tukaingia vitani na Uganda japo nchi yetu ilikua taabani kiuchumi. Ingekua Nyerere ana mawazo kama yako Leo hii Kagera ingekua sehemu ya Uganda.
 
Kitu kibaya zaidi kwenye hii Operation huwezi kusikia Russia ikisonga mbele na kufanya mashambulizi yoyote ya kuizidi Ukraine. Ikiwa mashambulizi ya Russia yakitangazwa ujue kashambulia makazi ya watu, shule, hospitali, supermarket na kuua watu.

Kwa mtu mwerevu mwenye ufahamua wenye afya njema ni lazima ajiulize kwa viulizo vingi.

Na kila Ukraine anposhindwa na kurudi nyuma kabisa wataalamu wa Sky news wanasema ni mbinu za kivíta za kujipanga zaidi na kufanya mashambulizi zaidi. Lakini kila zikochunguliwa habari taarifa zinaonesha kadri Ukraine anavyozidi kufanya mbinu za kivita kurudi nyuma kwa kujipanga vizuri ndivyo anavyozidi kurudi nyuma zaidi na maeneo yake kukamatwa na kuwa chini ya Russia.

Zelenski kwenye interviews zake anasema kwa siku Ukraine wanakufa si chini ya wanajeshi 100. Kwa siku Russia inarusha makombora zaidi 20,000 na kwa idadi hii anadiriki kusema imewazidi wao zaidi ya mara 3.

Nazidi kujiuliza kwa nukta hizi chache inasemwa Russia inapigwa kwenye uwanja wa vita. Lakini uwioano wa habari ni tofauti. Pengine kuna nukta naikosa siielewi, Russia inapigwa wapi kwenye hii Operation na Ukraine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…