😂😂Bora! Hapa ndo nataka nipime uwezo kamili wa Allah! Kwa sababu Iran yanampata yote haya sababu ya kumpigania Allah kupitia Hezbollah na Hamas
Wavae kama mashog,a wa magharibi yaani mapaja wazi?Wapigwe hao magaidi wa Persia... natamani nchi yao irudi kama zamani, watu waishi kwa uhuru, siyo kulazimishana kuvaa kininja
Bora! Hapa ndo nataka nipime uwezo kamili wa Allah! Kwa sababu Iran yanampata yote haya sababu ya kumpigania Allah kupitia Hezbollah na Hamas
Hii habari umetoa wapi mkuu?Mlipuko Watokea Iran Kwenye Mji Wa Isfahan Ambako Kuna Kinu Cha Nyuklia. Iran wakanusha mji huo kushambuliwa...
Hizi propaganda za mashog,a buana. Iran kamimina vyima hadharani dunia nzima ikashuhudia wewe unaleta habari za kimbea.
Mwanaume anafanya mambo hadharani sio kificho ni uoga huo. Israel hana uwezo wa kuishambulia Iran ipo hivyo yaani.
Maana ndani ya Iran kuna community kubwa sana ya Wayahudi katika jiji la Isfahan na Tehran na hawa ndio macho (Spies) ya Wayahudi waliopo Palestine.Sasa nimeelewa kwa nini Netanyahu alisema hakuna sehemu yeyote ndani ya Iran mkono wa Israel hauwezi fika
Kule Israel hakuna Mungu wa Yakobo wala nani, kule kuna Mungu US na Umoja wa ulayaBora! Hapa ndo nataka nipime uwezo kamili wa Allah! Kwa sababu Iran yanampata yote haya sababu ya kumpigania Allah kupitia Hezbollah na Hamas