Necromancer
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 3,187
- 3,138
Umeeleza vizuri lakini ulivyoweka hako ka stori ka kusadikika nikakudharauMaana ndani ya Iran kuna community kubwa sana ya Wayahudi katika jiji la Isfahan na Tehran na hawa ndio macho (Spies) ya Wayahudi waliopo Palestine.
on the authority of Anasthe Prophet, sallallaahu ‘alayhi wa sallam, said that the Antichrist will emerge from Yahoodiyyah in Isfahan (IRAN) and that seventy thousand Jews would be with him. [Ahmad]
Umeandika Kwa uchungu sanaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Endelea kuota hukatazwi kuota nilisha wambia Israel hawezi kugusa Iran. Watu wanasherekea harusi eti mlipuko we bora lala wacha kusumbua akili zako. Mimi nilisha wambia Israel maneno mengi kwa Iran ni mtoto mdogo sana.
Umeandika Kwa uchungu sanaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣Hizi propaganda za mashog,a buana. Iran kamimina vyima hadharani dunia nzima ikashuhudia wewe unaleta habari za kimbea.
Mwanaume anafanya mambo hadharani sio kificho ni uoga huo. Israel hana uwezo wa kuishambulia Iran ipo hivyo yaani.
HIO PICHA NI YA 2021 WACHA KUDANGANYA WATUMlipuko Watokea Iran Kwenye Mji Wa Isfahan Ambako Kuna Kinu Cha Nyuklia. Iran wakanusha mji huo kushambuliwa.
Mytake: Huenda Mazayuni wameshafanya yao 🤔
---
🚨Just In - Initial reports of explosions heard near the cities of Isfahan and Tehran in Iran.
Iranian media has denied any violation tonight of Iran’s airspace by hostile aircraft.
Pro-IRGC, Sabereen news denies an attack on Iran. There are some claims about military exercises happening in the area.
Isfahan is home to many sensitive sites, including defense industries and parts of the nuclear program.
View attachment 3118299
Allah hana uwezo wowote boss.Bora! Hapa ndo nataka nipime uwezo kamili wa Allah! Kwa sababu Iran yanampata yote haya sababu ya kumpigania Allah kupitia Hezbollah na Hamas
Kweli mmeshikwa pabaya habari haina chanzo na 😜😜😜Unaambiwa kobazi huko wameangamia hahahahaha tukiwaambia sisi hao wayahudi sio watu wazuri🤣🤣🤣🤣🤣
Ikiwa serikali tukufu ya dola ya kiislamu ya watu wa iran wamekanusha basi hakuna ukweli hao sio watu wa propaganda kama mazayuni wanauwawa wanazuga wamejeruhiwa!Mlipuko Watokea Iran Kwenye Mji Wa Isfahan Ambako Kuna Kinu Cha Nyuklia. Iran wakanusha mji huo kushambuliwa.
Mytake: Huenda Mazayuni wameshafanya yao 🤔
---
🚨Just In - Initial reports of explosions heard near the cities of Isfahan and Tehran in Iran.
Iranian media has denied any violation tonight of Iran’s airspace by hostile aircraft.
Pro-IRGC, Sabereen news denies an attack on Iran. There are some claims about military exercises happening in the area.
Isfahan is home to many sensitive sites, including defense industries and parts of the nuclear program.
View attachment 3118299
Jamaaa muongo sana Israel ndio alikuwa anawasapot isis na Israel anataka kuondosha mashia apo Syria sababu imekuwa njia nyeupe y kwa Iran kutumia barabara kupeleka siraaa Lebanon tofaut na uko nyuma wakat w Salam useem japo Iran alishindwa kupitisha apo Iraq sasa njia nyeupe kwa Iran. Israel kwasasa rafiki zake wakuunni sunni,, not Shia shia ndio wanaongoza kumpelekea moto tena awataki ugaid awataki mtu kujiripua utosikia hezbollah kajirupua awataki izo mambo wao wanakutandika asubui asubui ukiwa macho awakuvizii wao sio waoga anaevizia ni muoga. Acha kudanganya watuWayahudi baada ya kuuawa na Nebukadreza wengi walikimbilia katika Persian empire. IRAN imehifadhi mayahudi kwa maelfu ya miaka.
Kamwe haitatokea Mashia wa Iran wakapambana vita na Wayahudi.
Israel anawahitaji sana Mashia (IRAN) Ili kuzuia waislam (Sunni) wasitangaze vita kupambana na Wayahudi. Hamkuona vita dhidi ya ISIS jinsi Iran alivyokuwa akishirikiana na Israel na marekani bega kwa bega kuhakikisha hawa sunni hawatawali Syria na Iraq?
Ukiona dini yoyote ile waamini wake wanampigania mungu wao basi ujue hamna kitu hapo.Bora! Hapa ndo nataka nipime uwezo kamili wa Allah! Kwa sababu Iran yanampata yote haya sababu ya kumpigania Allah kupitia Hezbollah na Hamas
Muumba apiganiwi ,yeye ana Kila KITU,uwezo ,nguvu vyote vya kwake iweje Hamas na hazbollah ndo wampiganie?Bora! Hapa ndo nataka nipime uwezo kamili wa Allah! Kwa sababu Iran yanampata yote haya sababu ya kumpigania Allah kupitia Hezbollah na Hamas
Na ukiona dini inamtolea Mungu wao fungu la kumi na sadaka ya kuteketeza basi jua huyo Mungu wao hana hela na anapenda nyama choma, Mungu anajengewa nyumba ya ibada badala ya kushuka mwenyewe kujenga na wafuasi kumuabudu!!Ukiona dini yoyote ile waamini wake wanampigania mungu wao basi ujue hamna kitu hapo.
💩💩💩💩Mtume Muhammad (s.a.w) amesema kuwa Masih Dajjal ( Anti-christ/ masihi wa uongo) atatokea upande wa Mashariki mwa Arabia kwenye mji wa Isfahan (iran ya leo) akiongozana na jeshi la Mayahudi 70000 kuelekea Jerusalem.
Hizi ni nyakati za Mwisho