Ramesses II
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,710
- 5,054
Soma ramani yako vizuri kama Iran ipo Mashariki mwa Arabia na kama Iran inaweza kuwa na Wayahudi wanaoweza kufikia 70,000 katika Jeshi lake.Mtume Muhammad (s.a.w) amesema kuwa Masih Dajjal ( Anti-christ/ masihi wa uongo) atatokea upande wa Mashariki mwa Arabia kwenye mji wa Isfahan (iran ya leo) akiongozana na jeshi la Mayahudi 70000 kuelekea Jerusalem.
Hizi ni nyakati za Mwisho
Mkongwe!Awa wazungu na Israel walibugi kimkakat kumtoa sadam hussen pale Iraq. Kweli nayy sadam alikuwa anasapot Israel kushambuliwa nakumbuka alitangaza offers kila mpalestina akijilipua uko Israel yy sadam analipa family yake dola10000 kwaiyo ipo shida alikuwa akifanya. Israel na nch za West wakaona atoke pale kwamaslai y Israel ukijumlisha n vita uko nyuma alikuwa akipiga Israel na scad. Lkn kwasasa wanajitia ujinga wao mana apo Iraq idala y usalama nikama imeundwa na Iran moyo wa serikali y Iraq awakujua km Iran anaushawishi w kiwango kipi vile sadam na Iran walikuwa awaivi kabisa. Sasa imekuwa njia mkuu ya Iran kupeleka viuma Syria Lebanon mana kuna mjue uko pia kuna usafiri km kwetu maabood bm yakataka nchi kwa nchi , ndio mkaona vita vya Syria wazungu baada y kuona wamebugi kumtoa sadam hussen ambaye ni msunni wkt ichi y Iraq mashia ndio wengi 75% y wairaq so sadam vile sunni ilikuwa rais kukaanae kumaliza tofaut zao na west ili nae apunguze uwasama na Israel kuliko kumtoa. Wazungu wakaona wamejichanganya sasa iweje tukate njia kule Syria nako mjue sunn ndio wengi apo Syria 80% lkn nchi imeshikwa na mshia Assad so tuanzinshe tibwili sunn wajingawajinga zaid tutawaidi wataongoza wao nch lkn mpango wao wazungu ulikuwa kuigawanya Syria vipande vipande na kuwachochea ivyo vipande visielawane kabisa. Wazungu wamekao kikao vyao kufanikisha uho mpango ili huu mgogolo ufadhiliwe na warabu wenyewe kwa kila namna uku wao wazungu target njia. wakaja na wazo bomba la ges kutoka Qatar ipite Saudi Arabia Jordan ije Syria adi uturuki ndudu zangu wazungu tuwaeshim japo kidogo wakipanga mpango awakurupuki embu ona mcholo wao ulivokuwa bomba la.ges walipopangq walikuwa wanajua Syria atokubali huu mpango sababu asingeweza kutoa uwamuzi sawa pitisheni juu ya ili lazima apate ushauri w urusi na Iran nch kubwa ikimbukwe Russia ndio namba moja kwa ges na yapili Iran yatatu ndio Qatar wkt Syria mshilika wa Russia na Iran wangeweza kukubali kweli atakama niww ungekataa au wangekataa mzungu nyoko kaa nae mbali upande w pili kampuni iliopewa iyo kazi kandalasi iliwekewa mzigo pesa zakutosha ili ianze kulipa fidia seem bomba litapita kwanzia Qatar Saudi Jordan kazi ikawa imeanza kama kweli kumbe ni mpango wakuwaingiza warabu ktk vita wanajua jibu la kule litakuwa no lkn uku wanaanza kulipa fidia uku inchi zikiaidiwa mipesa mingi kila.ujazo w ges ukipita ktk nchi yake. Kwaiyo Syria aligoma wazungu wakawashawishi warabu wao wanaweza mtoa Assad ila tutatakaka ufadhili Saudi Arabia na Qatar kimbelembele vile pesa wanazo wskajaaa vile wakiona Assad ni Shia n pale sunni wengi nawao sunni wakaona yess kazi ikaanza tumeona kama sio Russia Iran na hezbollah Leo Assad asingekuwepo na pengine msiba mkubwa ungeendea adi na Leo Qatar ilikuja kushtuka lkn imechelewa sana ni Russia ndio walienda Qatar kuwatonya kuwa Acha ufara shida yao sio ges shida yao hi ile Qatar akatubu alaka kwa Iran 🤣🤣🤣🤣
Wewe nani kakwambia Mungu anapiganiwa katika uislam!?Muumba apiganiwi ,yeye ana Kila KITU,uwezo ,nguvu vyote vya kwake iweje Hamas na hazbollah ndo wampiganie?
Neno mashoga mbona limekukaa sana kichwaniWavae kama mashog,a wa magharibi yaani mapaja wazi?
Wale wamestaraabika sio malay,a na mashog,a kama Israel ushog,a hadi jeshini na kwasasa ndiyo makao makuu ya ushog,a duniani.
Usitake mambo ya Ufirauni yaenee hadi nchi zilizostarabika.
Du,kumbe dunia ya leo kuna akili za namna hii bado.Kweli safari tunayo.Bora! Hapa ndo nataka nipime uwezo kamili wa Allah! Kwa sababu Iran yanampata yote haya sababu ya kumpigania Allah kupitia Hezbollah na Hamas
Tatizo we ni shoga upo hapa ku created Multiple user's huna lolote zaidi ya ujinga. Mimi nilisha kuchora zamani hata uwe unatumia Multiple user's nakunasa tu. Sababu harufu ya shoga akikusogelea tu unamjua ananuka mavi tu.Umeandika Kwa uchungu sanaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
kwani kuna sehemu ndani ya israeli iran mkono wake hauwezi fika,si juzi tu hapa benja gay alijificha kwenye mahandaki kunusuru roho yakeSasa nimeelewa kwa nini Netanyahu alisema hakuna sehemu yeyote ndani ya Iran mkono wa Israel hauwezi fika
Hizo nchi zote za kisuni ni vibaraka wa marekani na ulaya, halafu unategemeaje waje kupambana na Israel?Mji wa Isfahan una mayahudi wengi sana waishio ndani ya Iran.
Na Anti-christ (Masih Dajjal) anayesubiriwa na kama mfalme/Masihi wa Wayahudi atatokea huko akiambatana na mayahudi 70,000 kuelekea Jerusalem.
Iran (Mashia) na Israel (wayahudi) hawawezi kuingia katika vita hata kidogo. Adui mkubwa wa Wayahudi ni Waislam (Sunni). Hawa ndio wanaoogopwa na Mayahudi na ikitokea wakiamka kama walivyoamka ISIS mwaka 2012 basi ulimwengu mzima pamoja na Mashia wa Iran watakusanyika na kupambana nao bila ya kuangalia tofauti zao za kidini na kisiasa.
Russia,Iran,Lebanon,Israel,USA,UK n.k wote waliungana katika vita yao dhidi ya ISIS.
Unajua vitu vingine huwa mnajitoa akili sana! Allah ni neno la kiarabu lenye maana ya Mungu.Bora! Hapa ndo nataka nipime uwezo kamili wa Allah! Kwa sababu Iran yanampata yote haya sababu ya kumpigania Allah kupitia Hezbollah na Hamas
Na utagundua huyo Allah ni hana msaada wowote ni imani za watu tu.Bora! Hapa ndo nataka nipime uwezo kamili wa Allah! Kwa sababu Iran yanampata yote haya sababu ya kumpigania Allah kupitia Hezbollah na Hamas.
Russia,Iran,Lebanon,Israel,USA,UK n.k wote waliungana katika vita yao dhidi ya ISIS.
Yalikuwa ni majaribio ya air defense systems riheso ya namna ya kuilinda site dhidi ya ndege na missiles za mayahudiMlipuko Watokea Iran Kwenye Mji Wa Isfahan Ambako Kuna Kinu Cha Nyuklia. Iran wakanusha mji huo kushambuliwa.
Mytake: Huenda Mazayuni wameshafanya yao 🤔
---
🚨Just In - Initial reports of explosions heard near the cities of Isfahan and Tehran in Iran.
Iranian media has denied any violation tonight of Iran’s airspace by hostile aircraft.
Pro-IRGC, Sabereen news denies an attack on Iran. There are some claims about military exercises happening in the area.
Isfahan is home to many sensitive sites, including defense industries and parts of the nuclear program.
View attachment 3118299
Kwahiyo unamanisha mashia sio waislam?Mji wa Isfahan una mayahudi wengi sana waishio ndani ya Iran.
Na Anti-christ (Masih Dajjal) anayesubiriwa na kama mfalme/Masihi wa Wayahudi atatokea huko akiambatana na mayahudi 70,000 kuelekea Jerusalem.
Iran (Mashia) na Israel (wayahudi) hawawezi kuingia katika vita hata kidogo. Adui mkubwa wa Wayahudi ni Waislam (Sunni). Hawa ndio wanaoogopwa na Mayahudi na ikitokea wakiamka kama walivyoamka ISIS mwaka 2012 basi ulimwengu mzima pamoja na Mashia wa Iran watakusanyika na kupambana nao bila ya kuangalia tofauti zao za kidini na kisiasa.
Russia,Iran,Lebanon,Israel,USA,UK n.k wote waliungana katika vita yao dhidi ya ISIS.
Kwani nimekushika tako kukulazimisha uamini?Umeeleza vizuri lakini ulivyoweka hako ka stori ka kusadikika nikakudharau
Kwanini USA-ISRAEL walikuwa wakiwashambulia ISIS kwa drones na airstrikes? Kwanini hawakuwaacha wapambane na serikali ya Bashar ,IRGC na Hezbollah ikiwa kweli wao ndio walikuwa wafadhili wa ISIS?Jamaaa muongo sana Israel ndio alikuwa anawasapot isis na Israel anataka kuondosha mashia apo Syria sababu imekuwa njia nyeupe y kwa Iran kutumia barabara kupeleka siraaa Lebanon tofaut na uko nyuma wakat w Salam useem japo Iran alishindwa kupitisha apo Iraq sasa njia nyeupe kwa Iran. Israel kwasasa rafiki zake wakuunni sunni,, not Shia shia ndio wanaongoza kumpelekea moto tena awataki ugaid awataki mtu kujiripua utosikia hezbollah kajirupua awataki izo mambo wao wanakutandika asubui asubui ukiwa macho awakuvizii wao sio waoga anaevizia ni muoga. Acha kudanganya watu
Hawako kabisa katika uislam kutokana na itikadi zao zenye kufru.Kwahiyo unamanisha mashia sio waislam?