Kumekucha: Mlipuko Watokea Iran Kwenye Mji Wa Isfahan Ambako Kuna Kinu Cha Nyuklia

Mtume Muhammad (s.a.w) amesema kuwa Masih Dajjal ( Anti-christ/ masihi wa uongo) atatokea upande wa Mashariki mwa Arabia kwenye mji wa Isfahan (iran ya leo) akiongozana na jeshi la Mayahudi 70000 kuelekea Jerusalem.

Hizi ni nyakati za Mwisho
Soma ramani yako vizuri kama Iran ipo Mashariki mwa Arabia na kama Iran inaweza kuwa na Wayahudi wanaoweza kufikia 70,000 katika Jeshi lake.
 
Mkongwe!
😑😑😑

Kwa huu mtindo wako wa uandishi, sidhani kama kuna mtu anasoma michango yako.

Kama unafanya makusudi badilika.
 
Daaa nimecheka yani mungu ana ela afu anapenda nyama choma😆😆😆😆😆😆 japo tupunguze mambo yakiimani yatatutoo ktk kufikisha jumbe zetu. Atuwezi kusimamia hoja zetu adi tuwaguse miungu yetu. Mtu akikosa pwent anaona amdhalilishe mungu wa mwenzie apana sio sawa. Jua nayy atajibu kile ulicho andika so ww wakwanza kumtumia mungu vibaya w mwenzio ndio umesababisha mungu wako atukanwe. Tuogope dhambi.
 
Wavae kama mashog,a wa magharibi yaani mapaja wazi?

Wale wamestaraabika sio malay,a na mashog,a kama Israel ushog,a hadi jeshini na kwasasa ndiyo makao makuu ya ushog,a duniani.

Usitake mambo ya Ufirauni yaenee hadi nchi zilizostarabika.
Neno mashoga mbona limekukaa sana kichwani
Wewe ni shoga?
 
Sasa nimeelewa kwa nini Netanyahu alisema hakuna sehemu yeyote ndani ya Iran mkono wa Israel hauwezi fika
kwani kuna sehemu ndani ya israeli iran mkono wake hauwezi fika,si juzi tu hapa benja gay alijificha kwenye mahandaki kunusuru roho yake
 
Wanairudia. Ilitoka kipindi kile IRAN alipoishambulia Israel kwa mara ya kwanza.
 
Hizo nchi zote za kisuni ni vibaraka wa marekani na ulaya, halafu unategemeaje waje kupambana na Israel?
ISIS walifadhiriwa na nchi moja tu ya kisuni wala haikuwa mpango wa nchi za kisuni.
 
Uzuri wa walokole na wagalatia ni rahisi sana kuwadanganya ndiyo maana kina Kakobe, Mwabosa wanatajirika kwa ujinga wao😀 mleta huu uzi yeye mwenyewe kasema hana uhakika lakini wagalatia wanashangilia bila kuhoji.
 
Bora! Hapa ndo nataka nipime uwezo kamili wa Allah! Kwa sababu Iran yanampata yote haya sababu ya kumpigania Allah kupitia Hezbollah na Hamas
Unajua vitu vingine huwa mnajitoa akili sana! Allah ni neno la kiarabu lenye maana ya Mungu.

God- Kiingereza
Allah - Kiarabu
Mungu- Kiswahili
Gott- Kijeruman

Hivo usije ukahisi unapoona Allah ama kusikia basi ni Mungu wa waislam hapana! Pale Misri kuna makanisa na hayo makanisa yana biblia zao pia ambazo zina jina la Allah.
 
Hii habari haikuwa ya kweli cos hakuna chombo chochote kilicho report
 
Bora! Hapa ndo nataka nipime uwezo kamili wa Allah! Kwa sababu Iran yanampata yote haya sababu ya kumpigania Allah kupitia Hezbollah na Hamas.
Na utagundua huyo Allah ni hana msaada wowote ni imani za watu tu.
 
Yalikuwa ni majaribio ya air defense systems riheso ya namna ya kuilinda site dhidi ya ndege na missiles za mayahudi
 
Kwahiyo unamanisha mashia sio waislam?
 
Kwanini USA-ISRAEL walikuwa wakiwashambulia ISIS kwa drones na airstrikes? Kwanini hawakuwaacha wapambane na serikali ya Bashar ,IRGC na Hezbollah ikiwa kweli wao ndio walikuwa wafadhili wa ISIS?
 
Kwahiyo unamanisha mashia sio waislam?
Hawako kabisa katika uislam kutokana na itikadi zao zenye kufru.

Wanawatukana,wanawakufurisha na kuwalaani wake wa Mtume Muhammad (pbuh) na maswahaba (wanafunsi wa Mtume Muhammad).

Wana itikadi nyingi za kikafiri na chimbuko la Ushia ni Myahudi aliyeitwa Abdallah ibn Sabai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…