Kumekucha sasa Irani yaiomba Marekani Iwaondolee Vikwazo

Nyukila ni za nn? Tuna tishio la viumbe kutoka sayari nyingine kuvamia dunia? Kuwe na utaratibu wa kutengeneza hizi silaha.
 
MKUU UMEMALIZA MJADALA, HAWA WAMAREKANI WEUSI FEKI NAOMBA WAPITIE HII COMMENT YAKO
Always trust yr self.
 
Ni kwa sababu ya "Cheap Labour" hamna sababu nyingine
Naona unazunguka mbuyu tu, hujatwambia mamilioni ya waafrika waliopelekwa utumwani na hao waarabu wenu uzao wao uko wapi.

Je, unajua wanaume wote walihasiwa na wanawake wanaume wa kiaarabu waliwabaka na pale walipozaa watoto wa kiume waliuwawa.

Hao ndio waarabu mnaoasujudia kwa kuwaletea dini utafikiri kabla hawajaja mababu zenu walikuwa hawamuabudu Mungu. Bure kabisa.
 
nchi zingine pumbavu kabisa yaani walikua wanapesa wanaishia kutenegeneza mabomu na missle defense system ...fucvk them
 
Corona inatibiwa kulingana na dalili za mgonjwa sasa wataidhibiti vipi kama hawatakuwa na chanjo cause America hawezi kuwapa kabisa mtu aliyebarikiwa kabarikiwa tu
Kwan chanjo inazuka yenyewe si inatengenezwa basi ngojea uone kama wataitengeneza ama laah

Wale watoto wapapa pale milan hawajabarikiwa [emoji16][emoji16] maana naona wanapukutika kama majani yakiangazi......

Sent using My COVID-19
 
Hivi katika hiyo list wanayoiomba Iran Nyinyi watanzania mnazo hizo dawa na idadi hiyo au ndio issue za kuwait hadi hali iwe tete kama Iran?

hapo sasa.
hatna vikwazo lakini hatuna hata moja hapo.
tunasubiri msaada wa JACK MA
 
Nyukila ni za nn? Tuna tishio la viumbe kutoka sayari nyingine kuvamia dunia? Kuwe na utaratibu wa kutengeneza hizi silaha.
Waulize Wamagaribi Wanaozimiliki Kwa wingi Za nn

Utaratibu wakazi gan kwan kilataifa silina haki yakujilinda kama ukiwekwa utaratibu wakumiliki silaha inabidi US Wasimikiki Hata Baruti

Sent using My COVID-19
 
Waulize Wamagaribi Wanaozimiliki Kwa wingi Za nn

Utaratibu wakazi gan kwan kilataifa silina haki yakujilinda kama ukiwekwa utaratibu wakumiliki silaha inabidi US Wasimikiki Hata Baruti

Sent using My COVID-19
Dunia ni sehemu ya amani, hatujaja hapa kuonyeshana nani anaweza kuua binadamu wenzake kwa idadi kubwa. Endeleeni kushabikia tugeuke mars. Kama sababu ni tishio la maadui nje ya sayari tuweke utaratibu sio sisi tuuane kwa vigezo vya dini au mali. Pigania hilo hata kwa kuandika tu.
 
Kamrushia miguu nani[emoji23][emoji23][emoji23]

US Kutegemea Kupigiwa Magoti Na IRAN Asahau Yeye Ndio Anapiga Magoti Nandio Sababu Alisaini Dili 2015 alokuja Kujitoa 2018

Sent using My COVID-19
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwan Iran hakusaini?! Vp urusi naye alipiga magoti[emoji1787][emoji1787][emoji1787], uingereza na China je?
Acha kujitoa ufahamu wewe, unaujua ukweli Iran kabisa Iran ndo aliufyata akasaini deal na akakubali kuachana na kutengeneza nuclear weapons, kilichotokea ni baada ya regime change pale Washington akaingia mzee mzima Trump akaitoa US katika hiyo deal, unajua Ni kwa sababu gani? Ni kwa sababu Israel haikufurahishwa na hiyo kitu, kingine hata Saudi Arabia pia hakurahishwa kuona mashia yakuwa karibu na mabwana akihofia mashia yatamzidi ushawishi, kwa kuwa Iran alikuwa anatekeleza masharti ndo maana nchi nyingine zilizosaini makataba wakiwemo washirika wa US walishangaa kujitoa kwa US na wao wakaamua kubaki kwenye mkataba. Ila sasa mwenye nguvu muite Power, kajitoa mmoja tu kati ya sita lakin utafikiri wamejitoa watano, make jamaa aliweka bit uchague either kufanya biashara na Iran au US[emoji1787][emoji1787][emoji1787] najua wajua chaguo walilochagua. Bas ndo hivyo Iran akaanza kupata tabu upya kiasi kwamba sasa anapiga mayowe viondolewe na haelewi afanyeje ili viondolewe, make kama kuchana na siraha za nyuklia alishasaini hadi mkataba wa kuacha lakin bado akalimwa vikwazo upya.


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Bora umempa ukweli mkuu,,,jamaa chuki zimezidi
 
Itakuwa waliuawa maana miarabu ni mijitu ya kishenzi sana yani mibinafsi sana aisee. Nilikulaga kitoto chao kimoja yani huwezi amini hii mijitu ilivyonisaka iniuwe kisa mimi ni mtu mweusi!!!

Sent using Jamii Forums mobile app


Migalatia bwana 😁😁 mkishindwa hoja mnaandika madudu tu 😁😁 ,,,mnawachukia sanaa waarabu/waislamu kwa ujumla. Waarabu ni ndugu ze2 wewe galatia mtake mctake huo ndio ukweri wenyewe,,,waarabu wame2letea uislamu,,amani,,ustaarabu n.k. Alhamdulilah 2nawashukuru sana sana waarabu.


Michuki yenu aitawasaidia enyi migalatia,,,Muisilamu ndugu yake Muisilamu,,,
 
Dini imefuata nn ss [emoji16][emoji16]

inatakiwa kusiwe na utaratibu wakuzimiliki inatakiwa ziondolewe kabisa unaposema kuwe na utaratibu wakuzimiliki lazima wanaozimiliki walete ubabe dhidi yawasio zimiliki refer US vs JAPAN

ikitokea kama baadhi wanatakiwa wawe nazo nabaadhi wasiwe nazo kama unavyotaka wewe US Hatakiwi Kumiliki Hata Shibri Moja Muuaji Namba Moja Wa WAJAPAN.....

Sent using My COVID-19
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] RUSSIA na CHINA Wapo sahihi maana hawajawahi kusema IRAN Isitishe Mpango wake wa ATOMIC WESTERN Namashost zake waulaya ndio wanataka IRAN Waachane Namipango Yake Ya ATOMIC Ila Mpaka Ss IRAN Wamekaza


Ipo siku US Atakuja Kuiomba Msamaha IRAN

Sent using My COVID-19
 
Beberu ni Mbuzi dume, Akiwa jike anaitwa nani. Mana Iran ni Mbuzi jike.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwan chanjo inazuka yenyewe si inatengenezwa basi ngojea uone kama wataitengeneza ama laah

Wale watoto wapapa pale milan hawajabarikiwa [emoji16][emoji16] maana naona wanapukutika kama majani yakiangazi......

Sent using My COVID-19
Wewe unazungumza habari za kusubiri kuona kama itatengenezwa are you mad?
Chanjo ya Corona imetengenezwa kwa kirusi cha Corona kilichokufa ipo tayari na imejaribiwa kinachosubirisha ni kuona matokeo ya side effects zake.

Italy wanakufa kwa sababu waitaliano ni travellers wazuri sana na kufa kwao si jambo la ajabu kwa sababu serikali yao haitoi data za uongo.
Kwa mashia wenzio Iran WHO wanasema kila baada ya dk 3 kuna new case ya maambukizi serikali yao inasema every 10 minutes uone upuuzi wa mashia wenzio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…