Kumfanyisha Interview Medical Doctor aliyethibitishwa na Baraza la Madaktari (MCT) ni dharau kubwa sana

Kumfanyisha Interview Medical Doctor aliyethibitishwa na Baraza la Madaktari (MCT) ni dharau kubwa sana

Sasa nimekuelewa.
Wewe itakuwa ndio wale somasoma ambao wanategemea numbers za kwenye vyeti vyao ndio Ziwatoe kimaisha.
Mwajili yetote mwenye akili hawezi kamwe kutumia kigezo cha ufaulu mkubwa kwenye cheti kukupa ajira, toa hilo akilini dogo.
Tena waajiri wengine wakiona una marks kubwa kwenye cheti hakupi kazi anajua wewe ni somasoma hauna skills out of your books.
Tayari nishakuwa dogo,,

Hoja yangu nikuwa, hiyo assessment waliyokufanyia kwenye interview ni sawa na ile waliokufanyia TCU na NECTA sasa kuna haja gani ya kurudia rudia
 
Just imagine kijana kapata division one ya 7 au 10 form four kaenda high school kupiga PCB. Kapambana sana kachakaa kajitesa kajinyima kapata division one form six ya point tatu au tano.

Kaaply Muhimbili University kapitia mchujo katoboa akaanza masomo ya udaktari.

Kasoma miaka mitano bila kudisco tena kwa mateso makubwa bila kula bata mpaka kamaliza chuo.

Kabla hajaingia intern kafanyishwa mtihani wa MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA katoboa kaanza interniship.

Kapiga intern kwa mwaka mmoja kisha kamaliza kisha kapigishwa pepa lingine la MCT katoboa.

Kasajiliwa na kutambulika kama MEDICAL DOCTOR na MCT.

Kijana huyu wa kitanzania aliyesoma kwa kujinyima na kujitesa tangu kidato cha kwanza leo hii anafanyishwa interview tena written interview sio prectical interview ili iweje?

Huyu kijana akikosa nafasi mnajua stress atakazopata mtaani na jamii inayomzunguka?

Hiyo michujo yote alopitia akipata ajira mnamlipa milioni moja na laki mbili ukitoa makato anabeba laki tisa bado mnampigisha interview ya nini sasa?

Hamuoni kama mnakatisha tamaa vijana waliopo shuleni na vyuoni?

Wadau
Hii nchi ina mambo ya ajabu sana
 
Tayari nishakuwa dogo,,

Hoja yangu nikuwa, hiyo assessment waliyokufanyia kwenye interview ni sawa na ile waliokufanyia TCU na NECTA sasa kuna haja gani ya kurudia rudia
Kwahiyo unataka na mwajili aajili mtu kwa uwezo wake wa kukalili vitini na vitabu na kuhamishia kwenye karatasi ya mtihani?
Kama uliji sacrifice maisha yako ili upate marks za juu kwenye vyeti ukijua ndio itakuwa ticket yako kupata kazi pole sana, inaonekana hata social skills ulikosa kwa kutumia maisha yako yote kukalili vitini kwa sababu mambo ya kuajiliwa kwa kuangalia ukubwa wa marks kwenye cheti hayapopo tena, yalikufa zamani sana baada ya waajiri kujua kuwa mtu kuwa na marks nyingi kwenye vyeti hakumfanyi kuwa competent kwenye kazi.
 
Kwahiyo unataka na mwajili aajili mtu kwa uwezo wake wa kukalili vitini na vitabu na kuhamishia kwenye karatasi ya mtihani?
Kama uliji sacrifice maisha yako ili upate marks za juu kwenye vyeti ukijua ndio itakuwa ticket yako kupata kazi pole sana, inaonekana hata social skills ulikosa kwa kutumia maisha yako yote kukalili vitini kwa sababu mambo ya kuajiliwa kwa kuangalia ukubwa wa marks kwenye cheti hayapopo tena, yalikufa zamani sana baada ya waajiri kujua kuwa mtu kuwa na marks nyingi kwenye vyeti hakumfanyi kuwa competent kwenye kazi.
Mkuu mimi sikufanya usaili wowote mbona unanigeukia

Hoja yako ilikuwa wanafanya usaili ili kuchuja idadi na sio ubora asaivi unasema wanafanya usaili kuchuja ubora na sio idadi tena hebu kuwa na msimamo
 
Just imagine kijana kapata division one ya 7 au 10 form four kaenda high school kupiga PCB. Kapambana sana kachakaa kajitesa kajinyima kapata division one form six ya point tatu au tano.

Kaaply Muhimbili University kapitia mchujo katoboa akaanza masomo ya udaktari.

Kasoma miaka mitano bila kudisco tena kwa mateso makubwa bila kula bata mpaka kamaliza chuo.

Kabla hajaingia intern kafanyishwa mtihani wa MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA katoboa kaanza interniship.

Kapiga intern kwa mwaka mmoja kisha kamaliza kisha kapigishwa pepa lingine la MCT katoboa.

Kasajiliwa na kutambulika kama MEDICAL DOCTOR na MCT.

Kijana huyu wa kitanzania aliyesoma kwa kujinyima na kujitesa tangu kidato cha kwanza leo hii anafanyishwa interview tena written interview sio prectical interview ili iweje?

Huyu kijana akikosa nafasi mnajua stress atakazopata mtaani na jamii inayomzunguka?

Hiyo michujo yote alopitia akipata ajira mnamlipa milioni moja na laki mbili ukitoa makato anabeba laki tisa bado mnampigisha interview ya nini sasa?

Hamuoni kama mnakatisha tamaa vijana waliopo shuleni na vyuoni?

Wadau
Interview ni muhimu…..

You need to know tabia ya mtu kabla ya kuajiri
 
Kozi za Sayansi, sioni umuhimu wa interview, iwe Oral au written.
Ila kunae wengine wamepita kwa njia za panyaa, hakuna namnaa.
Lol
Ni muajiri mjinga tu ndio anaweza kutoa ajira ya kitaaluma bila kufanya interview

Tena kozi za sayansi ndio inapaswa kuwe na interview zaidi ya mbili. zinapaswa kuwa tatu, written, practical na oral
 
Hata engineers wamesajiliwa na ERB lakini wanafanya interviews, wahasibu na CPA wanafanya, nini MCT?

Ilikua ajabu sana kada ya afya watu kuajiriwa bila interview.
 
Hao

wahasibu wamesoma miaka mitano?

Hivi unaujua mziki wa medical school?
Hujui kwanini zamani walikuwa wanaajiliwa moja kwa moja?

By the way mimi ninla saba B ninabobea kwenye uchawi nilichokifanya ni kuwasemea hawa watu tu mkuu

Nisamehe bure
Miaka mitano ndio nn? Architects wanasoma pia miaka mitano, mbona ajira zao miaka yote wanafanyiwa interview

Hapa unataka kulinganisha ugumu wa kozi? Ukiona umeenda kusoma kozi flani na ikawa ngumu kwako basi ww hukustahili kwenda kusoma hiyo kozi. Kila mtu huchagua kile anachokimudu
 
Sasa serikali mna somesha madaktari kwa pesa nyingi, kumbuka hii kada Ina wapungufu wa waataalumu wa afya kila idara.

Doctor amethibitishwa na MCT. Lakini Tena kufanyiwa interview kwenye hospital ya wilaya TU, jamani.

Mimi na shauri interview wafanyiwe kwenye hospital kubwa ( mzena). kwa ajili ya kuwaandaa ma doctors bingwa TU.

Hivi tunavyo jadili tayari kimeshaumana huko kwenye interview.
Ma doctors tz ni wachache , wanatakiwa wote waajiriwe ili kuboresha huduma za afya kwa wananchi wetu.
Hakuna eneo linatosha wala usitake kuongopa. Pia kuna uhaba wa engineers, Kuna uhaba wa wataalamu wa ICT, Kuna uhaba wa walimu n.k

Ilikua ajabu kuajiri mtu bila interview
 
Mass unemployment. Baada ya kukosa ubunifu, unaona interview ndio suluhisho la hiyo mass unemployment mkuu??
Usinipigie kelele mimi ,kampigie mama yako samia mwambie afute sahili ili wewe upite tu na kupata kazi bila sahili na wengine maelfu walioomba kama wewe wanyimwe kazi .
Boya wewe

Mbona watu wa afya na elimu ni viazi hivi ?
Hivi huko kwenye hizo course zenu mnasomea ujinga ?
Hata logic ndogo kama hizo hamuwezi ,nini mnaweza ninyi ?
 
Mass unemployment. Baada ya kukosa ubunifu, unaona interview ndio suluhisho la hiyo mass unemployment mkuu??
Usinipogie kelele mimi ,kampigie mama yako samia mwambie afute sahili ili wewe upite tu na kupata kazi bila sahili na wengine wanyimwe
Boya wewe

Mbona watu wa afya na elimu ni viazi hivi ?
Hivi huko kwenye hizo course zenu mnasomea ujinga ?
Hata logic ndogo kama hizo hamuwezi ,nini mnaweza ninyi
Chief, sipingi usaili ila naomba nikuswalike swali

Hivi lengo la usaili ni kuchuja idadi au ubora?

Kama ni idadi vipi mtihani wakifaulu wote watatumia kigezo gani kingine kupata hao 20 out of 200

Mkuu hadi hapa sina swali kwako nimeridhika na hoja zako

Interview haina maana kama wanahitaji kuchuja idadi kwa kuangalia marks nawatumie kigezo cha GPA wenye gpa kubwa waanze kuajiriwa wenye ndogo waachwe kwani assessment wanayoifanya ni sawa na ile iliyofanywa na NECTA na TCU
Aisee we jamaa ni mwehu , hivi ni wapi huko ambapo huwa mnapata ajira bila interviews ?
Acha ujinga wewe .
Au ndio ninyi wazee wa hongo za pesa na ngono na kujuana kwenye kupata kazi ?
Kipigwe kipute kwa uwazi ,anayefaulu apate kazi na si mambo ya gizani na kuendekeza ukilaza kama inavyotaka ninyi ,wewe kama una GPA kubwa basi GPA yako kubwa na ireflect umahiri wako kwenye interviews pia .
 
Usinipogie kelele mimi ,kampigie mama yako samia mwambie afute sahili ili wewe upite tu na kupata kazi bila sahili na wengine wanyimwe
Boya wewe

Mbona watu wa afya na elimu ni viazi hivi ?
Hivi huko kwenye hizo course zenu mnasomea ujinga ?
Hata logic ndogo kama hizo hamuwezi ,nini mnaweza ninyi



Aisee we jamaa ni mwehu , hivi ni wapi huko ambapo huwa mnapata ajira bila interviews ?
Acha ujinga wewe .
Au ndio ninyi wazee wa hongo za pesa na ngono na kujuana kwenye kupata kazi ?
Kipigwe kipute kwa uwazi ,anayefaulu apate kazi na si mambo ya gizani na kuendekeza ukilaza kama inavyotaka ninyi ,wewe kama una GPA kubwa basi GPA yako kubwa na ireflect umahiri wako kwenye interviews pia .
Huwa sijadiliani na mtu kwa lugha za matusi na kebehi nafanya majadiliano kwa hoja mkuu

Kama una hoja toa tuijadili na kama umeona hoja yangu dhaifu ipinge kwa hoja strong wala haihitaji kutumia lugha za matusi na kebehi

Ahsante
 
Just imagine kijana kapata division one ya 7 au 10 form four kaenda high school kupiga PCB. Kapambana sana kachakaa kajitesa kajinyima kapata division one form six ya point tatu au tano.

Kaaply Muhimbili University kapitia mchujo katoboa akaanza masomo ya udaktari.

Kasoma miaka mitano bila kudisco tena kwa mateso makubwa bila kula bata mpaka kamaliza chuo.

Kabla hajaingia intern kafanyishwa mtihani wa MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA katoboa kaanza interniship.

Kapiga intern kwa mwaka mmoja kisha kamaliza kisha kapigishwa pepa lingine la MCT katoboa.

Kasajiliwa na kutambulika kama MEDICAL DOCTOR na MCT.

Kijana huyu wa kitanzania aliyesoma kwa kujinyima na kujitesa tangu kidato cha kwanza leo hii anafanyishwa interview tena written interview sio prectical interview ili iweje?

Huyu kijana akikosa nafasi mnajua stress atakazopata mtaani na jamii inayomzunguka?

Hiyo michujo yote alopitia akipata ajira mnamlipa milioni moja na laki mbili ukitoa makato anabeba laki tisa bado mnampigisha interview ya nini sasa?

Hamuoni kama mnakatisha tamaa vijana waliopo shuleni na vyuoni?

Wadau
Marekani lazima ufanye paper zao ndio watambuwe udaktari wako achilia mbali interview.
 
Aisee

Yaani marks zao huko shuleni ndio wana deserve wanadamu wawape everything kwa lazima

Umekuja kwenye hospitali yangu,eti nisikuhoji sababu umepata A shule,who the fvck are you?

Unajua hospitali imetoka wapi hii?Do you actually know how much I sweated to get money and run this motherfvcker kiasi kwamba uje eti una vi-A vyako huko shuleni of which I do not care eti nisikuhoji?

Kwanza kazi sikupi,Haya kalime ukahojiwe na shamba basi!
Boss iko wazi uliishia la saba B tena ya chini ya mwembe😅
 
Back
Top Bottom