Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Sheria zipo kwa ajiri ya wasiokua na uwezo wa kuzivunja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbunge wa Kishapu alifungwa miaka mingapi vile nikumbushe?nenda jela wewe kwa niaba yake km umemwonea huruma, mnafki mkubwa sheria ni msumemo haiangalii hali ya mtu. Sheria haijatungwa kwa maskini wala tajiri. Km we unajijua ni maskini tii sheria. Ufanye uhalifu halafu ndio uachwe kisa maskini? We kweli ni kenge tena mnafki tu unatafuta umaarufu wa kilofa.
umlinde binadamu mwenye akili zake, funga hata miaka 100, pumbavu kabisa. Na ujue wanyama ktk himaya yao ni bora kuliko we kenge mtuUnajali wanyama pori kuliko mtu!?..ongeza ulinzi kwenye hizo mbuga siyo kulostisha watu masikini..miaka 22!!!
Hivi umekijua nilichoandika au umevurugwa na mvua?Kuna kitu tunakosea sana kuhusu wanyama pori. Raia hawana elimu ya kuishi nao pale wanapoingia mazingira yao au wanyama wanapokuja mazingira yao.
Nadhani tunahitaji wataalamu wanaowafahamu hawa wanyama vema ili raia waweze kuelekezwa namna ya kuishi nao na kuweza ku:co exist.
Mnyama kama tembo akija eneo la makazi ya watu basi amepata harufu ya chakula kama mahindi, viazi, mihogo na kadhalika. So raia wanatakiwa kujua yule ni mnyama kitendo xha kumletea shari au kutaka kumfukuza itamlazimu kujitetea na ndipo hapo madhara hutokea.
Nimeshaona video ya tembo wanaokwenda kwenye hoteli ya kitalii na wapishi huwa wanaandaa mazaga wanawawekea hapo pembeni maana unawalifumua paa la jiko na ndipo hapo chakula wanaweka so wakija wanakula wakiwa wamesimama kwa nje na kupenyeza mikonge yao kwa ndani ya chumba cha jiko.
Imeshakuwa mazoea na hao tembo huwa wanakuja hapo mara kwa mara. Aiseee ukiwa muoga huwezi kukaa hilo eneo maana unakuta bonge la tembo linachungulia juu ya paa linaingiza mkonga wake kupapasa msosi. Halafu wanakuja kimya kimya.
Tembo anaweza pita nyuma ya jengo na usijue kama wapo nyuma ya nyumba hapo sasa tokea huko nyuma bila mahesabu utashangaa umempiga kikumbo. Me wakisema sehemu fulani tembo huwa wanapita au kuja sana huwa sishauri mtu aende hayo maeneo kama ana umakini mdogo maana ukizingua wanapita na wewe na kukudedisha ni dakika chache tu.
Mtu kadhikwa na mibunduki lukuki lakini kesi ikapotea. Fukara anaonewaAlifungwa massa 14.
Naamini huyo mama angekua ndugu yako usingeandika hizi pumba. Kama ni Sheria iwabane na wale wanaosafirisha wanyama kwenda ughaibuni sio mama masikini asiye na nguvu hata ya kuua sunguraHatafungwa kifungo hicho. Ila lazima umma utangaziwe maamuzi ya mahakama. Huyu atakwenda kukaa mahabusu kama wiki tu kisha atatoka ili next time awe makini na wanyama pori
Sheria ni lazima ziwe kali ili kuwalinda wanyana pori sababu tukicheka na hawa raia wadogo wanaozunguka mbunga miaka 10 ijayo wakiwekeza maisha yao kwa hao wanyama hamtaamini namna namna watawatokomeza pia usisahau swala la magonjwa ya mlipuko kutokana na kula nyama ambazo hazijathibishwa ubora wake.
Kwa kifupi tusiwe wepesi sana wa kuleta hisia katika maswala ya kisheria. Huu mchezo wa kuleta hisia ndio chanzo cha rushwa na utendaji mbovu wa mamlaka za serikali sababu wanainchi ndio mstari wa mbele kuwatetea wakosaji sababu wanatia huruma wakitiwa mbaroni.
This is Tanganyika mkuu.Mtu kadhikwa na mibunduki lukuki lakini kesi ikapotea. Fukara anaonewa
Anzisha wewe huo Upinzani Madhubuti na Imara....!Ni kwa sababu hatuna upinzani madhubuti na ulio serious kabisa. Tatizo ni hilo!.
Kaeni karibu na majority ya watanzania muone Wana upeo dini kiasi gani,elimu mmewanyima,elimu ya sheria hamuwapi,mmeshindwa kuwaondolea umasikini,mmeshindwa hata kuwapa huduma za wanasheria Bure,mnawafunga tu!!..watanzania wengi wajinga,hawajui kituumlinde binadamu mwenye akili zake, funga hata miaka 100, pumbavu kabisa. Na ujue wanyama ktk himaya yao ni bora kuliko we kenge mtu
Umetahiriwa!!?..Kama bado katahiriwe,wenye magovi huwa mna tatizo la kufikiri,kichwa Cha chini kukiwasha kwa utoko Cha juu hakifikirimnafki tu wewe
Wewe mbona unabwabwaja sana kwani wew ndiye hakimu uliemuhukumu mubibi wa watu!? Hoja siyo msumeno au mukisu wa sheria, hoja ni kwa nin vyombo vya dola vinashughulika wa watu wenye makosa madogo kama hayo ya mubibi wa watu na kilo tisa(9) za nyama ya swala ambayo hata haifiki thamani ya milioni moja huku majambazi makubwa yanayoiibia nchi matrion na matirion na fedha kama yalivyotajwa na CAG yakiendelea kuvimba mtaani huku yakitembelea V8 na ulinzi wa hali ya juu ukisindikizwa na ving'ora.mnafki tu wewe
Waarabu wanawaswaga hao swala bila kuchukuliwa hatua yoyote!Mijizi ya CAG mnaiacha inadunda mtaani mnakuja kumfunga Mwanamke ambaye hata hakujua ni nyama ya nini, mwanamke ambaye hata huyo swala hasingeweza kumkamata, mwanamke ambaye pengine yeye na Familia yake wanalala chini, mlo mmoja, kaletewa nyama ya mbuzi auze kumbe ni ni swala, yeye ni mkemia mpaka ajue huyu ni Swala?
Miaka 22 kwa nyama yenye thaman ya laki tisa?
Kwamba kupitia hiyo nyama, angekuwa tajiri kama walivyo majizi yenu ya CAG?
Upumbavu, ufedhuli, ujinga, ukosefu wa Hekima na Busara aliouonesha huyu Hakimu unaadhihirisha aina ya Wanasheria uchwara tulionao hapa Nchini.
View attachment 2805999