King 999
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,872
- 8,374
Duh pole sanaAisee!!! hili jambo limenikuta jamaa!!! mwaka juzi nilimfungulia biashara ya samaki umla na rejareja hapa dsm,nikamlipia frem,freezer mbili,mashine ya kukatia nyama na cash,da!! si akakimbilia pasipojulikana na mwanagu wa mdogo w kiume,nabado akwa ananismbua nimtumie ela ya mtoto,nikamblock,,,,niliangukia kua mlevi ila kwa sasa naanza kumsahau!!!,,,,,,'jah bless'