Hahahaha mkuu huo ni uzito gani ambao atuushudii tunaposhiki maziko sehemu nyingine?
Au mfuniko unawekwa kutokana na uzito wa marehemu?
Acha kutudanganya watu na akili zetu hapo makaburini kinondoni ukipita leo utakuta watu wanazika pale lakini huwezi kuona katapilla ni watu wanafunika kwa mikono yao.
Huyo ndo kadoda yeye ana deal na typing error.
Hata mimi nilishangazwa sana. Wakati wa Nyerere mbona hatukuona mambo haya? Au ni toleo jipya? Katapila kufunika kaburi? Au kwasababu Komba alikuwa mnene wakaona kuwa mfuniko nao utakuwa mzito sana hivyo watumie katapila? Mbona jeneza lilibebwa na watu sembese mfuniko??!!View attachment 232420
Nimekaa na kutafakari kwa kina nimegundua ni dharau mbaya sana. Wote ni mashaidi na tumekuwa tukihudhuria maziko sehemu nyingi nchini. Lakini sijawahi kushuudia mfuniko wa kaburi unafunikwa na katapilla hiyo ni stail niliiona kwenye maziko ya Komba.
Narudia ile ni dharau pale kulikuwa na watu wengi tu waliokuwa na uwezo wa kunyanyua mfuniko ule na kufunika kaburi lile kwa heshima.
Mbona la Nyerere mfuniko ulitengenezwa kabla lakini haukunyanyuliwa na katapila?huwa wanafukia kwa mikono....then kaburi linajengewa zege pale pale baada ya kufukia,ni dhahiri hili la komba mfuniko ulijengwa kabla na unavyoonekana na mzito.
Mbona la Nyerere mfuniko ulitengenezwa kabla lakini haukunyanyuliwa na katapila?
Hata mimi nilishangazwa sana. Wakati wa Nyerere mbona hatukuona mambo haya? Au ni toleo jipya? Katapila kufunika kaburi? Au kwasababu Komba alikuwa mnene wakaona kuwa mfuniko nao utakuwa mzito sana hivyo watumie katapila? Mbona jeneza lilibebwa na watu sembese mfuniko??!!
Tafsiri yake aende asirudi tenaView attachment 232420
Nimekaa na kutafakari kwa kina nimegundua ni dharau mbaya sana. Wote ni mashaidi na tumekuwa tukihudhuria maziko sehemu nyingi nchini. Lakini sijawahi kushuudia mfuniko wa kaburi unafunikwa na katapilla hiyo ni stail niliiona kwenye maziko ya Komba.
Narudia ile ni dharau pale kulikuwa na watu wengi tu waliokuwa na uwezo wa kunyanyua mfuniko ule na kufunika kaburi lile kwa heshima.
View attachment 232420
Nimekaa na kutafakari kwa kina nimegundua ni dharau mbaya sana. Wote ni mashaidi na tumekuwa tukihudhuria maziko sehemu nyingi nchini. Lakini sijawahi kushuudia mfuniko wa kaburi unafunikwa na katapilla hiyo ni stail niliiona kwenye maziko ya Komba.
Narudia ile ni dharau pale kulikuwa na watu wengi tu waliokuwa na uwezo wa kunyanyua mfuniko ule na kufunika kaburi lile kwa heshima.
Hapo hakuna dharau, huo mfuniko utakuwa mzito sana. Kwanza kwa jinso mfuniko ulivyo ni ishara tosha ya heshima. Badala ya kijiko wangeweza kutafuta crane ambayo yawezekana haikupatikana.View attachment 232420
Nimekaa na kutafakari kwa kina nimegundua ni dharau mbaya sana. Wote ni mashaidi na tumekuwa tukihudhuria maziko sehemu nyingi nchini. Lakini sijawahi kushuudia mfuniko wa kaburi unafunikwa na katapilla hiyo ni stail niliiona kwenye maziko ya Komba.
Narudia ile ni dharau pale kulikuwa na watu wengi tu waliokuwa na uwezo wa kunyanyua mfuniko ule na kufunika kaburi lile kwa heshima.
View attachment 232420
Nimekaa na kutafakari kwa kina nimegundua ni dharau mbaya sana. Wote ni mashaidi na tumekuwa tukihudhuria maziko sehemu nyingi nchini. Lakini sijawahi kushuudia mfuniko wa kaburi unafunikwa na katapilla hiyo ni stail niliiona kwenye maziko ya Komba.
Narudia ile ni dharau pale kulikuwa na watu wengi tu waliokuwa na uwezo wa kunyanyua mfuniko ule na kufunika kaburi lile kwa heshima.