Kumi (10) Bora ya Mashabiki Maarufu, Vichaa na wenye mapenzi zaidi na timu zao Tanzania.

Kumi (10) Bora ya Mashabiki Maarufu, Vichaa na wenye mapenzi zaidi na timu zao Tanzania.

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
Mashabiki maarufu wa mpira Tanzania

10. GB 64
Huyu ni Shabiki maarufu wa Simba sc ambaye amekuwa gumzo sana siku za hivi karibuni hususan baada ya kupata mizengwe kutokana na kauli zake dhidi ya uongozi wa timu yake.

download (11).jpeg


9.Aggy Simba
Huyu mwanadada jasiri na shabiki lialia wa Simba sc ambaye siku za hivi karibuni amesimamishwa uanachama kutokana na kauli zake.

FcSmFZuWYAEo8UM.jpg


8. Akilimali Makame
Shabiki maarufu wa Yanga sc ambaye kila safari ya Yanga lazima utamuona.

images - 2024-06-25T123136.079.jpeg

images - 2024-06-25T122858.700.jpeg


7. Mzee wa Saluti
Shabiki maarufu wa Simba, maarufu kwa kupiga saluti pale goli linapofungwa
download (12).jpeg


6.Shetani Yanga
Shabiki maarufu wa Yanga maarufu kwa kujichora na kutoa kauli zenye utata

images - 2024-06-25T123254.430.jpeg


5.Mzee wa Kigelegele
Shabiki wa Yanga maarufu kwa kupiga vigelegele!

download (13).jpeg


4.Mzee wa Utopolo

Shabiki maarufu wa Yanga anajulikana kwa kuvaa rangi za njano na kijani, miwani tatu na kilemba cha njano.

images - 2024-06-25T123014.924.jpeg


3.Alhabibi Jafari maarufu kama 'Mzee wa Njiwa'

Huyu shabiki maarufu wa Yanga, japo huwa hatajwi sana katika vyombo vya habari lakini huwa hakosekani kabisa katika mechi za Yanga akiwa ameshikilia njiwa mweupe.

images - 2024-06-25T120848.444.jpeg


2.Mzee Mpili
Huyu ni shabiki maarufu wa Yanga, amejipatia umaarufu na amekuwa akitajwa sana kuhusika katika kamati za wazee wa Yanga.

download (14).jpeg


BONUS
Stivu lialia

Huyu shabiki maarufu wa Yanga aliyejipatia umaarufu miaka ya nyuma kwa kutoa machozi na kulia hadharani hususan pale timu yake inapopata matokeo mabaya.

download (10).jpeg
images - 2024-06-25T121144.275.jpeg


1. Ally Yanga (R.I.P)
Huyu alikuwa shabiki maarufu wa Yanga aliyejulikana sana mwa kuonekana katika kila mechi ya Yanga akiwa amejipaka masizi,miwani meusi na mavazi ya kufurahisha!

images - 2024-06-25T121054.525.jpeg

Hapa Ally Yanga akiwa na Kigelegele Yanga
SHABIKI WA YANGA NA NJIWA UWANJA WA JAMHURI PIX NO 3.JPG

download (15).jpeg


images - 2024-06-25T131544.613.jpeg


Nyongeza

Shabiki Kibegi
Kuna shabiki wa Yanga huwa hakosekani uwanjani katika mechi zote za Yanga na huwa anavaa kibegi muda wote (Jina silifahamu) Unaweza kumuona katika picha ya kwanza mwenye jezi nyeusi, na picha ya chini aliyepo kulia kabisa (mtu wa tano kutoka Ally Yanga)

images - 2024-06-25T122838.349.jpeg
images - 2024-06-25T115833.607.jpeg


Gody Yanga
⚫Mwalimu Yanga
 

Attachments

  • images - 2024-06-25T115833.607.jpeg
    images - 2024-06-25T115833.607.jpeg
    81.7 KB · Views: 4
  • images - 2024-06-25T131544.613.jpeg
    images - 2024-06-25T131544.613.jpeg
    59.8 KB · Views: 4
Mbona Wengi hujawataja... Kuna kina Kisugu,Kindoki,Mzaramo,Mwalimu Yanga, Pasi Milioni, Mwakitalima, Doctor Mo n.k
Wapo wengi lakini hao wengine sio mashabiki vichaa/lialia, ni maarufu lakini sio mashabiki wa kuonekana mara kwa mara uwanjani.
 
Wengine sio mashabiki lialia Bali ni waganga njaa, wengine wapo kwa ajili kuwa machawa wa viongozi na wanasafiri kwa kulipiwa na viongozi.
Wengine wapo kwa ajili ya kutaka wapate umaarufu mtandaoni.
 
Hapo asilimia kubwa uliowataja ni mashabiki wa yanga.... Japokua mi ni Simba lakini ukweli ni kwamba huyu Marehemu Ally Yanga aliipenda sana yanga na alikua maarufu sana. Tukiweka ushabiki pembeni huyu jamaa ana deserve namba Moja.
 
Mimi nauliza hawa wanajifadhili wenyewe kwenda kwenye hizo mechi?
Wanafanya shughuli gani, maana kila mkoa wao wapo, muda wote wapo safarini!
 
Mimi nauliza hawa wanajifadhili wenyewe kwenda kwenye hizo mechi?
Wanafanya shughuli gani, maana kila mkoa wao wapo, muda wote wapo safarini!
Wengi wanajifadhili wenyewe, unakuta kwenye maisha yake Yanga/Simba inachukua 60%. Mipango yao na shughuli zao zinajumuisha mpira kwa asilimia kubwa.
 
Mimi nauliza hawa wanajifadhili wenyewe kwenda kwenye hizo mechi?
Wanafanya shughuli gani, maana kila mkoa wao wapo, muda wote wapo safarini!
Kuna makampuni/maduka yanawadhamini,pale wanavyohojiwa na vyombo vya habari huwa wanachimekea kwa kuwataja wadhamini wao.
 
Steve lialia enzi hizo jamaa alikuwa na machungu sana na timu
 
Back
Top Bottom