Mhigomkami
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 1,105
- 765
Niliwahi kushuhudia boss wangu akitembelewa ofisini na meneja wa tawi la CRDB pamoja na wafanyakazi sita wakimwomba akope angalau 5 billions. Ana shule ya msingi na sekondari pamoja na kampuni ya ujenzi. Kwa haraka haraka ana nyumba zaidi ya 70 hapa Dsm bado Arusha, Dodoma na Moshi mjini. Nyie endeleeni kuweka hela UTT; na bondi mkidhania serikali ya tanzania ni kama ya serikali za Umoja wa ulaya.Kumiliki nyumba au ardhi haviwezi kukupa utajiri mkubwa, fuatana nami ujifunze experience yangu ya umiliki wa hizi mali
Mimi Mr Why nataka nishare experience yangu ya umiliki wa nyumba na ardhi
Nimemiliki nyumba na ardhi kwa muda mrefu lakini havikunipa fedha za kutosha
Mwanzo nilidhani kuwa na nyumba au ardhi ni utajiri lakini baada ya kumiliki mzunguko wa fedha ulikufa kabisa kwa maana kwamba baada ya kununua hizi assets fedha nyingi ziliishia kwenye ujenzi huku nyingine zikiishia kwenye ardhi nilimaliza ujenzi lakini sikubakiwa na kitu, mzunguko wa fedha ulikatika kabisa nikawa sawa na fukara
Nilijiuliza maswali mengi kwamba kabla ya kumiliki hizi assets hela ile nilikuwa nikiizungusha nikaona nimepatia maisha manake hela unaiona mkononi
Baada ya kununua assets hela ikakata fedha yote ikalala kwenye majengo na ardhi
Nilidhani majengo yangeniingizia fedha za wapangaji lakini fedha ilikua kidogo sana nikapiga hesabu ni lini majengo hayo yatanipa fedha sawa na niliyojengea nikagundua hamna kitu
Ardhi ile nikajiuliza je nikifanya kilimo itarudisha? Nikagundua hamna kitu
Nikajiuliza je nikiuza itarudisha ile fedha? Nikagundua hamna kitu
Niligundua ardhi inapanda kidogo kidogo pia nikagundua wanunuzi wa ardhi wengi wanakuwa na hela kidogo ambazo zinapelea kidogo katika zile ulizonunulia, sana sana wanalia kupunguziwa kwa mtu mwenye uhitaji wa hela ya haraka unaanguka
Nikajiuliza je nikichukulia mikopo benk italipa? Nikagundua hamna kitu fedha ambazo benk ingenipa ni sawa na lita moja ndani ya lita tano kwahiyo ni sawa na kufaidisha bank
Basi nikakwama sana kifedha ingawa watu walipokuwa wakiona assets zangu walidhani mimi ni tajiri kumbe hamna kitu
Nikachukua uamuzi mgumu sana wa kupiga bei assets zote na kutumia ile fedha katika mizunguko yangu
Ingawa niliogopa sana nikiwaza nimejiangusha lakini nilikaza roho sawa na paka
Mwisho nilipata fedha zenye thamani ya kumiliki mara mbili ya assets nilizokuwa nazo mwanzo kwasababu nilipozungusha fedha zile nilipata mara mbili ½ ni kwasababu ya kuwa na roho ya paka, ukiwa mwoga hii kafara hutaiweza
Mpaka sasa sioni kama assets inaweza kunipa hela kwa haraka wala sina mpango wa kumiliki assets kwasasa nimegundua assets zinalaza hela afadhali nimiliki hela kuliko assets kwasababu fedha nitazungusha navyotaka mimi
Nikagundua kuwa woga ni adui wa mafanikio ningekumbatia woga mpaka sasa ningekuwa na zile assets kidogo za mwanzo
Je umeshapitia hii experience yangu? Je ulichukua hatua gani
Badala ya kuwakashifu wanaoweka pesa utt na bond ni vyema ukaeleza kwa hoja zilizo na mashiko kwamba kwanini john atoe pesa zake utt/bond ajenge majumba na asubiriwe na crdb kukopeshwaNiliwahi kushuhudia boss wangu akitembelewa ofisini na meneja wa tawi la CRDB pamoja na wafanyakazi sita wakimwomba akope angalau 5 billions. Ana shule ya msingi na sekondari pamoja na kampuni ya ujenzi. Kwa haraka haraka ana nyumba zaidi ya 70 hapa Dsm bado Arusha, Dodoma na Moshi mjini. Nyie endeleeni kuweka hela UTT; na bondi mkidhania serikali ya tanzania ni kama ya serikali za Umoja wa ulaya.
Nikisoma story kama hz, huwa naziona za kufikirika tu, kwanza hazina ualisia, maana wasimuliaji hawajiweki wazi,Kumiliki nyumba au ardhi haviwezi kukupa utajiri mkubwa, fuatana nami ujifunze experience yangu ya umiliki wa hizi mali
Mimi Mr Why nataka nishare experience yangu ya umiliki wa nyumba na ardhi
Nimemiliki nyumba na ardhi kwa muda mrefu lakini havikunipa fedha za kutosha
Mwanzo nilidhani kuwa na nyumba au ardhi ni utajiri lakini baada ya kumiliki mzunguko wa fedha ulikufa kabisa kwa maana kwamba baada ya kununua hizi assets fedha nyingi ziliishia kwenye ujenzi huku nyingine zikiishia kwenye ardhi nilimaliza ujenzi lakini sikubakiwa na kitu, mzunguko wa fedha ulikatika kabisa nikawa sawa na fukara
Nilijiuliza maswali mengi kwamba kabla ya kumiliki hizi assets hela ile nilikuwa nikiizungusha nikaona nimepatia maisha manake hela unaiona mkononi
Baada ya kununua assets hela ikakata fedha yote ikalala kwenye majengo na ardhi
Nilidhani majengo yangeniingizia fedha za wapangaji lakini fedha ilikua kidogo sana nikapiga hesabu ni lini majengo hayo yatanipa fedha sawa na niliyojengea nikagundua hamna kitu
Ardhi ile nikajiuliza je nikifanya kilimo itarudisha? Nikagundua hamna kitu
Nikajiuliza je nikiuza itarudisha ile fedha? Nikagundua hamna kitu
Niligundua ardhi inapanda kidogo kidogo pia nikagundua wanunuzi wa ardhi wengi wanakuwa na hela kidogo ambazo zinapelea kidogo katika zile ulizonunulia, sana sana wanalia kupunguziwa kwa mtu mwenye uhitaji wa hela ya haraka unaanguka
Nikajiuliza je nikichukulia mikopo benk italipa? Nikagundua hamna kitu fedha ambazo benk ingenipa ni sawa na lita moja ndani ya lita tano kwahiyo ni sawa na kufaidisha bank
Basi nikakwama sana kifedha ingawa watu walipokuwa wakiona assets zangu walidhani mimi ni tajiri kumbe hamna kitu
Nikachukua uamuzi mgumu sana wa kupiga bei assets zote na kutumia ile fedha katika mizunguko yangu
Ingawa niliogopa sana nikiwaza nimejiangusha lakini nilikaza roho sawa na paka
Mwisho nilipata fedha zenye thamani ya kumiliki mara mbili ya assets nilizokuwa nazo mwanzo kwasababu nilipozungusha fedha zile nilipata mara mbili ½ ni kwasababu ya kuwa na roho ya paka, ukiwa mwoga hii kafara hutaiweza
Mpaka sasa sioni kama assets inaweza kunipa hela kwa haraka wala sina mpango wa kumiliki assets kwasasa nimegundua assets zinalaza hela afadhali nimiliki hela kuliko assets kwasababu fedha nitazungusha navyotaka mimi
Nikagundua kuwa woga ni adui wa mafanikio ningekumbatia woga mpaka sasa ningekuwa na zile assets kidogo za mwanzo
Je umeshapitia hii experience yangu? Je ulichukua hatua gani
Mkitaka ushauri zaidi niulizeni wajinga ndio waliwaoBadala ya kuwakashifu wanaoweka pesa utt na bond ni vyema ukaeleza kwa hoja zilizo na mashiko kwamba kwanini john atoe pesa zake utt/bond ajenge majumba na asubiriwe na crdb kukopeshwa
Wala sio story ndugu yangu kuwekeza majengo uwe na roho ya kusubiriNna kisoma story kama hz, hu
Nikisoma story kama hz, huwa naziona za kufikirika tu, kwanza hazina ualisia, maana wasimuliaji hawajiweki wazi,
Pili kuna matajiri wakubwa, walionufaika na , nyumba na ardhi,Donald Trump, William Ruto, unawezaje kusema ardhi sio investment, wakati akili kubwa zimewekeza huko?
Kuna familia za mkubwa mmoja, kule dar, zina miriki majumba, apartment za kifahari kibao, na hayo majumba, yamepangishwa kwa taasisi kubwa kubwa tu, balozi, UN,
Niki Jenga nyumba Leo kwa 100M, nikaipangisha kwa millions 6 kwa mwaka,itachukua miaka kama 20 kurudisha pesa, kwa, mie dingi wa miaka 37! May be nitakufa kabla pesa hazijarudi! Lakini kwa binti yangu wa miaka 12,huu mjengo kwake ni faidi kwa 100%
Uchwara sidhani kama ni rafiki kwangu siwezi kuwapa assets za 200m wanipe 100m wangenipa 180m nakuendelea sawaNikiwa mdogo nilikuwa na mawazonkama Yako mtoa mada. Niliamini kwenye biashara na niliona kuwekeza pesa kwenye nyumba ni kupoteza muda.
Ila ilifika mahali, nimepata biashara kubwa na Sina fedha, nilienda bank kuomba support. Ukiachilianmbali mzunguko ilikuwa vizuri, bado Wakataka dhamana. Sikuwa nayo.
Mwaka jana nimeingia kwenye ujenzi, ikatokea biashara kubwa. Jengo likawekwa dhamana. Bank hawakujifikiria mara mbili kunisupport.
Ila changamoto ni kwamba hawakupi mzigo zaidi ya thamani ya dhamana Yako. Nikaanza kuelewa kwamba, build as much houses as you can, utazitumia kama dhamana kupata pesa in a lump sum ukiwa na kazi kubwa ukiachana na kukusanya mia mbili mia mbili za Kodi.
Sasa unakuta nyumba ya kwanza Ina thamani ya Mil 100, unakazi ya Mil 200. Utaanza kuona umuhimu wa kuwa na nyumba mbili ili qualify kupata kiwango unachohitaji. Ila ipo siku utapata kazi ya Billion, utagundua uwezo wa kufanya unayo, ila bank hawawezi kukusupport kwa vile dhamana hairuhusu. Happy ndipo utaona umuhimu wa kuwa na nyumba hata 100 hapa mjini uziweke dhamana.
So ndugu yangu,....kama wewe ni mfanyabiashara, usiwekeze sana kwenye stock, Jenga. Siku ikihitajika pesa ya kuagiza stock ..nenda bank na hati wakupe pesa.
Bado una kashifu hujapevuka bado kiakili, mtu mzima mwenye akili timamu akiulizwa kitu anajibu kwa staha na hoja...hata mtu mweny akili timamu hawez kuja kukuuliza mana hata maelezo utakayoyatoa yatakua ya kukashifu.Mkitaka ushauri zaidi niulizeni wajinga ndio waliwao
The Eurobond scandal (KSh 215 billion) - Nims
The Eurobond scandal was exposed by the former prime minister Raila Odinga and later confirmed by the then Auditor General, Edward Ouko, who in 2016 claimednims.co.ke
Kwa matajiri sawa, ila kwa makapuku sio kitu cha kufanya ...Nikiwa mdogo nilikuwa na mawazonkama Yako mtoa mada. Niliamini kwenye biashara na niliona kuwekeza pesa kwenye nyumba ni kupoteza muda.
Ila ilifika mahali, nimepata biashara kubwa na Sina fedha, nilienda bank kuomba support. Ukiachilianmbali mzunguko ilikuwa vizuri, bado Wakataka dhamana. Sikuwa nayo.
Mwaka jana nimeingia kwenye ujenzi, ikatokea biashara kubwa. Jengo likawekwa dhamana. Bank hawakujifikiria mara mbili kunisupport.
Ila changamoto ni kwamba hawakupi mzigo zaidi ya thamani ya dhamana Yako. Nikaanza kuelewa kwamba, build as much houses as you can, utazitumia kama dhamana kupata pesa in a lump sum ukiwa na kazi kubwa ukiachana na kukusanya mia mbili mia mbili za Kodi.
Sasa unakuta nyumba ya kwanza Ina thamani ya Mil 100, unakazi ya Mil 200. Utaanza kuona umuhimu wa kuwa na nyumba mbili ili qualify kupata kiwango unachohitaji. Ila ipo siku utapata kazi ya Billion, utagundua uwezo wa kufanya unayo, ila bank hawawezi kukusupport kwa vile dhamana hairuhusu. Happy ndipo utaona umuhimu wa kuwa na nyumba hata 100 hapa mjini uziweke dhamana.
So ndugu yangu,....kama wewe ni mfanyabiashara, usiwekeze sana kwenye stock, Jenga. Siku ikihitajika pesa ya kuagiza stock ..nenda bank na hati wakupe pesa.
Ndiyo wewe uje ulete bond zaa nchi zaa kiafrika zilizomature na kutajirisha watu. Jenga nyumba nunua mashamba chukua mkopo anzisha biashara. Biashara ikifeli as long as una collateral kuna Banki nyingi zinanunua mikopo. Kuna bank ziko tayari kuilipa bank inayokudai na kuhamisha deni lako kuja Banki yao. Nyie endeleeni kujidanganya. Ushaona kuna matangazo ya Banki kuhusu kutoa mikopo ? Lakini kila kukicha kuna matangazo ya kijani bond, mara samia bond. Sasa nyie chagueni maana Kuna msemo kizuri chajiuza .........maliziaBado una kashifu hujapevuka bado kiakili, mtu mzima mwenye akili timamu akiulizwa kitu anajibu kwa staha na hoja...hata mtu mweny akili timamu hawez kuja kukuuliza mana hata maelezo utakayoyatoa yatakua ya kukashifu.
Kijiji cha mkoa gani uko aliko zaliwaNyama ya ng'ombe, ukitaka kuona hela yake fanya vijijini, mjini watu wajanja kila kitu hawapo tayari kukupa hela yao
Kijijini nilikozaliwa wauza bucha wana nyumba za kisasa
Mkopo wa bank ni msumari wa moto ndugu yanguNdiyo wewe uje ulete bond zaa nchi zaa kiafrika zilizomature na kutajirisha watu. Jenga nyumba nunua mashamba chukua mkopo anzisha biashara. Biashara ikifeli as long as una collateral kuna Banki nyingi zinanunua mikopo. Kuna bank ziko tayari kuilipa bank inayokudai na kuhamisha deni lako kuja Banki yao. Nyie endeleeni kujidanganya. Ushaona kuna matangazo ya Banki kuhusu kutoa mikopo ? Lakini kila kukicha kuna matangazo ya kijani bond, mara samia bond. Sasa nyie chagueni maana Kuna msemo kizuri chajiuza .........malizia
Wewe ndio umeongea cha maana kuna watu wana idea nzuri ya maana ila hawawezi kupata mtaji. Ila kuna watu wana assets anaweza kupewa mkobo hadi wa billioni mbili within two days. Kuhusu mikopo nimeshuhudia mambo mengi sana. Kuna wakati nilikuwa naona client anajenga hoteli amekopa banki na banki hio hio imeikopesha kampuni inayomjengea client. Kuna watu walianzisha biashara mpya kariakoo wakongwe wenye majumba wakachukua mkopo na kwende kuchukua mzigi mara kumi ya wao wakateka soko. Unadhani wangewekeza bondi wangeweza, Kaeni karibu na watu wa wizara ya atdhi iuna miradi kibao ya kuboresha unaweza ukajua wapi kutakuwa hot cale ndani ya miaka mitano ijayo. Kuna watu walinunua survey, sinza na maeneo ya karibu mwaka 1996 maana mipango ya kujenga mlimani city iliikuwa ndiyo inaanza. Vijana wanaogopa vitu vigumu lakini jua amua uteseke leo au uteseke uzeeni. Ukijibana na kununua sehemu ya potential ni rahisi kutoboa. Kule Mbeya kuna sehemu inaitwa Iwambi kuna jamaa zangu kibao walipawahi mapema sana. Ni kuishi na watu vizuri tu. Ipo mifano mingi sana kuanzia Goba, Mbweni hadi Kinyerezi. Sasa ni mwwendo wa kuamka na kutambua sehemu nyingine zinazochipukia. Namalizia kwa kusema Hakuna bishara unaweza kufanya bila ya kumiliki au kuitumia ardhi. Kama hiyo biashara ipo naomba je uilete hapa na unieleweshe.Nikiwa mdogo nilikuwa na mawazonkama Yako mtoa mada. Niliamini kwenye biashara na niliona kuwekeza pesa kwenye nyumba ni kupoteza muda.
Ila ilifika mahali, nimepata biashara kubwa na Sina fedha, nilienda bank kuomba support. Ukiachilianmbali mzunguko ilikuwa vizuri, bado Wakataka dhamana. Sikuwa nayo.
Mwaka jana nimeingia kwenye ujenzi, ikatokea biashara kubwa. Jengo likawekwa dhamana. Bank hawakujifikiria mara mbili kunisupport.
Ila changamoto ni kwamba hawakupi mzigo zaidi ya thamani ya dhamana Yako. Nikaanza kuelewa kwamba, build as much houses as you can, utazitumia kama dhamana kupata pesa in a lump sum ukiwa na kazi kubwa ukiachana na kukusanya mia mbili mia mbili za Kodi.
Sasa unakuta nyumba ya kwanza Ina thamani ya Mil 100, unakazi ya Mil 200. Utaanza kuona umuhimu wa kuwa na nyumba mbili ili qualify kupata kiwango unachohitaji. Ila ipo siku utapata kazi ya Billion, utagundua uwezo wa kufanya unayo, ila bank hawawezi kukusupport kwa vile dhamana hairuhusu. Happy ndipo utaona umuhimu wa kuwa na nyumba hata 100 hapa mjini uziweke dhamana.
So ndugu yangu,....kama wewe ni mfanyabiashara, usiwekeze sana kwenye stock, Jenga. Siku ikihitajika pesa ya kuagiza stock ..nenda bank na hati wakupe pesa.
Aisee kuna jamaa alikuwa anaitwa Tolu pale Survey hivi sasa ni marehemu. Huyu jamaa alikuwa na Bucha ya nyama kuna kipindi alikuwa anataka tufanye joint venture. Nilipitia mauzo yake huyu jamaa alikuwa anafikisha milioni 15 kwa mwezi. Ila huyu jamaa nyama yake ilikuwa Quality sana wanaomjua wanajua. Sijui biashara yake inaendeleaje. Biashara ya nyama ina faida sana inategemea na location uliyopo.Bucha au nyama gani? hapa dar kama unataka kujua hamana wateja wanyama njoo mwisho wa mwezi ujionee watimishi wanavo stock maharage ya mwezi mzima nyumbani nyama inaliwa mara moja kwa wiki, bucha zinakua bzy mwisho wa mwezi wiki ya kwanza tu dagaa maharage na mboga za majani ndo mboga za watu wengi mjini
Ndugu yangu mikopo ni misumari kama haujui jinsi ya kukopa. Mtu unapata tenda ya miliono 100 unataka ukope milioni mia ndio uifanyie kazi. Unatakiwa ukope maximum asilimia 40 ya mtaji wako wa biashara. Kama umepata tenda ya ujenzi unatakiwa ukope hela ya kukuwezesha kukamilisha scope ya ujenzi kwa required stage. Kama unategemea kulipwa baada ya kumaliza msingi au mobilization. Kopa kwa ajili ya mobilization ukishalipwa unalipa deni na kutumia hela iliyobakia kwa hatua inayofuata. Kama haitoshi unachukua tena mkopo this time utakuwa na higher Credit maana mkopo wa kwanza ulisharudisha. Hautakiwi kuogopa mikopo kama kweli business plan ayako imesimama kuna banki kibao zinanunua mikopo. Nimeshashuhudia zaidi ya mara kumi wafanyabiashara wakihamisha mikopo. Siwezi kutaja banki maana maafisa mikopo walikuwa wanatuambia tukaushe.Mkopo wa bank ni msumari wa moto ndugu yangu
Mambo si ndo hayo, ingekuwa ni kodi za jengo angepata wapi hiyo 15m watu wengi ni woga unawamaliza wanakimbilia assetsAisee kuna jamaa alikuwa anaitwa Tolu pale Survey hivi sasa ni marehemu. Huyu jamaa alikuwa na Bucha ya nyama kuna kipindi alikuwa anaztaka tufanye joint venture. Nilipiztia mauzo yake huyu jamaa alikuwa anafikisha milioni 15 kwa mwezi. Ila huyu jamaa nyama yake ilikuwa Quality sana wanaomjua wanajua. Sijui biashara yake inaendeleaje. Biashara ya nyama ina faida sana inategemea na location uliyopo.
💯Ndugu yangu mikopo ni misumari kama haujui jinsi ya kukopa. Mtu unapata tenda ya miliono 100 unataka ukope milioni mia ndio uifanyie kazi. Unatakiwa ukope maximum asilimia 40 ya mtaji wako wa biashara. Kama umepata tenda ya ujenzi unatakiwa ukope hela ya kukuwezesha kukamilisha scope ya ujenzi kwa required stage. Kama unategemea kulipwa baada ya kumaliza msingi au mobilization. Kopa kwa ajili ya mobilization ukishalipwa unalipa deni na kutumia hela iliyobakia kwa hatua inayofuata. Kama haitoshi unachukua tena mkopo this time utakuwa na higher Credit maana mkopo wa kwanza ulisharudisha. Hautakiwi kuogopa mikopo kama kweli business plan ayako imesimama kuna banki kibao zinanunua mikopo. Nimeshashuhudia zaidi ya mara kumi wafanyabiashara wakihamisha mikopo. Siwezi kutaja banki maana maafisa mikopo walikuwa wanatuambia tukaushe.