Kumkamata Aliyepiga picha watoto wakiwa chini ni kumuonea, zipo shule nyingi watoto wanakaa chini

Watanzania wengi hawazalishi na hawalipi Kodi za Moja kwa Moja (direct taxes),wengi wanachojua ni kuzaa tu!
Hata ije Serikali gani hizi facilities haziwezi kutosha mpaka hii equation ya uzazi na uzalishaji iwe solved na balanced!
 
Shule ya Msingi Muyombo Kata ya Lwamgasa Busanda Geita wanafunzi wakiwa wamekalia madawati ya kisasa kabisa

View attachment 2510173
Hivi Watanzania wanategemea hiki kizazi ambacho hawakishulikii kiwe na uwezo wa kushindana na dunia ya leo. Nchi haiwezi kuendelea kama hanufaishi kizazi kijacho na hapa hii inathibitisha these kids are being short changed
 
Kwa kosa ngani??
Utakuta mkandarasi wa hiyo shule amelipwa pesa nyingi anaweza kusema alipa ripu na madirisha aliweka na madawati yalishalipiwa lakini ni hewa ndio sababu wamkamata msema kweli
 
ukweli unauma...hamaki ya serikali yote ya wilaya inatia mashaka sana
 
 
Umevaa chup ilotoboka ila umeificha na gauni jipya.
Siku ukiifua itaonekana. Siku ukienda kwa baby wako ataiona
Dawa ni kununua nyingine ka huwezi ishone kupunguza aibu yako
 
Shule ya Msingi Muyombo Kata ya Lwamgasa Busanda Geita wanafunzi wakiwa wamekalia madawati ya kisasa kabisa

View attachment 2510173
Yaani tupigeni picha pote wanapokalia chini na tofali za tope na pia ishu ya vifaa vya zahanati huko kukoje.

Kuna watu wananunua gari la kutembelea utadhani Kama hawatakufa la 600M huku watu wankosa huduma muhimu Kama dawa ama watoto wetu wanakosa walimu wa masomo ya sayansi. Yaani watanzania Ni waoga Ila ngoja tozo na sindano zikiwa Kali nadhani kitaeleweka tu.

Saivi mwanza hapa machinga wameanza vurugu wanarusha mawe kwenye maduka ya watu.
Yaani wao wanadhani kuwa watu watakuwa kwenye maumivu wao wakiwa wanakula keki ya Taifa na urefu wa kamba yao.

Cheki huyu anadhani ndiye anayestahili kuila nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…