Kumkamata Aliyepiga picha watoto wakiwa chini ni kumuonea, zipo shule nyingi watoto wanakaa chini

Alafu utakuta mabosi wanaenda kukagua shule kama hizo wakiwa na magari ya thamani
Bongo nyosooo

Ova
 
Nyie mko busy kumsema marehemu!

Mavi matupu
kwasababu alinunua ndege bila kufuata sheria za manunuzi.
aliwaua, kupiga risasi na kutesa wapinzani wake
nani alimpiga risasi tundu lisu
 
Kwan ile miti zaid ya million mbili iliyokatwa kule kwenye mradi wa umeme imeenda wapi, maana kwa magigo yake wangechana mbao madawati yangeenea shule zote nchini Tanzania
 
Wanakaa chini tena?? Sasa michango yetu ya tozo?
 
KWA HIYO HATA MAGAZETI HAYATARUHUSIWA KUPIGA PICHA?
 
Aliepiga picha sii mzalendo in jamaa flan voice!!
 
Sio tu bongo hata N'gambo hakuna Uhuru wa habari.....
 
Hivi ule mgao wa trilioni za kupunguza ukali wa covid hazikufika huko wajameni?.
 
Hapo ukihoji sana utaambiwa kahoji waganga wa kienyeji au huna phd, hii tuliyonayo ni OG sio zile fake za kupewa. Nchi hii kama mgonjwa aliyeko ICU yani hana unafuu kwenye lolote kila kiungo kigonjwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…