Kumkamata Aliyepiga picha watoto wakiwa chini ni kumuonea, zipo shule nyingi watoto wanakaa chini

Jamaa aachiwe Mara moja


 
Me mwenyewe hapa muda huu nimekaa chini.
 
1977 nilitumia darasa kama hilo!
Mwongo mkubwa wewe! 1977 darasa moja lilikuwa na wanafunzi wasiozidi 45 na serkali ilihakikisha madawati, meza na vitu vya kukalia walimu vipo muda wote! Hiyo shule uliyosoma wewe hapo Kinondoni haikuwahi kuwa na upungufu wa madawati kwa mwaka huo. Tafuta uongo mwingine!
 
Shule ya msingi mianzini ,mburahati kata ya makurumla wilaya ubungo kuna baadhi ya madarasa hayana madawati ya kutosha na wanafunzi waliopo darasani ni wengi kuzidi namba ya madqwati wengine wanakaa chini kwa hiyo shule ambazo hazina madawati ni nyingi hata mufindi ambako zinatoka mbao kuna baadhi ya shule zina upungufu wa madawati
 
CHADEMA mlisema amekufa Magufuli haya hayakuwepo tena nchi imetulia

USSR
Tukisema Sukuma Gang nyie mataahira mnasema mnatukanwa, lakini kwa post hii na thread husika ni dhahiri nyie wote mna mtindio wa ubongo. Hamna uwezo wa kujibu hoja yoyote au sijui ni uvivu wa kusoma na kuelewa hoja iliyopo mezani mnakurupuka kuihusisha Chadema na mada ambayo haiwahusu.
 
Ingekua serikali ya awamu ya 5 ndio imemkamata huyo mpiga picha mayowe yangekua mengi Dunia ingejua.
Lakini awamu hii ya maridhiano ndio inafanya haya.
 
Trillion 4 pesa za madawati tumekopa, na bado watoto wanakaa chini, daah!!!!
 
Kwa maoni yangu watu wote au walimu wote ambao wanafundisha shule zote ambazo baadhi ya wanafunzi wanakaa chini ni busara sana na wao wakapiga picha na kutuwekea hapa ili jamii ione, na nafikiri ndio njia mojawapo sahihi pia ya kumsaidia mwalimu aliyejitoa mwanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…