Uchaguzi 2020 Kumkata Paul Makonda kwenye Kura za Maoni CCM, siyo maamuzi yenye akili


Tufanye kaiba Vyeti, mbona wenye vyeti halisi hawana wakifanyacho wanashindwa na Bashite?
 


Siasa huwa hazieleweki Mkuu
 
He! Tayari mmeanza kumchukia kiasi hicho? Hakika ccm ni kama mbwa mwitu, wanakula nyama pamoja lakini mlo ukiisha umebaki na damu mdomoni nawe unaliwa!
Nani kakwambia mi nipo CCM? Hebu cheki avatar uone mambo ninayoshughulika nayo.Na nafahamu hutayaelewa pia.
 
Makonda hawezi kunituma mimi.
So umejituma kumsafisha mtekaji ,mtu mwenye kauli chafu,mjivuni,mkandamjzaji wa wafanyabiashara anaetumia mgongo wa jina la mungu, mtu asie kuwa hata na ID ya ukwel,mtu alie mpiga makofi mzee warioba??try to be serious sio kila jambo linahitaji ushabiki...usilete siasa kwenye maisha ya watu.
 
kamati ya roho mbaya imeshapewa rungu na imeshaamriwa "hakuna yeyote aliyetumwa na rais"

konda anakatwa
Mtukufu aliwahadaa watanzania lakini anao watu wake aliowatuma mojawapo ni profesa Kabudi kule kilosa, mpango kule kigoma na wengineo wengi wakiwemo wazaliwa wa mwaka 1982 wa Arusha na Kigamboni, kudhihirisha hilo ni pale watakapokuwa wabunge ambapo lazima atawapa uwaziri bila chenga
 
ROBERT HERIEL tunajua kuwa kwa sasa kuna Kundi la Watu wa ' Mtandaoni ' mmeshalipwa ili Kumpamba Mitandaoni kwa nguvu zenu zote tu.
Ha ha ha kwa mara ya kwanza nimekuona upo fair sasa endelea hivi hivi tupate kuwajua wabaya wanaokwenda kuwekewa kinga za kutoshitakiwa baadae
 
Okay..kama unatambua, na hayo ndio mawazo yako naomba niyaheshimu..TZ ni nchi yetu sote..Kila raia ana haki ya kutoa na kuheshimu mawazo ya mwingine bila kuvunja Sheria za nchi..
 
Hivi ukiwa unaandika andika hivi kuna kipato chochote unachopata labda ndugu?
 
Inashangaza kwamba unampigia chapuo Makonda! Umeshapata uthibitisho wa uhalali wa elimu yake? Anajulikana kushindwa kumaliza masomo yake pale Ushirika Moshi kwa kuwa na suplementary nyingi ambazo inasemekana haku zi clear. Makonda ametaka kupitisha mizigo yake binafsi bila kulipa kodi bandarini, je huyu ndio shujaa wako? Eti Makonda (na kama hili ndilo jina lake halisi...) amefaulu kuwatisha watu! Kweli? Na hii nayo sifa ya kiongozi bora? Kuna mengi; namna alivyotaka kutatua changamoto za kifamilia kwa namna isiyokubalika kijamii, n.k. Hujui pia anahusika vipi kwenye underground affairs. Kwa kifupi ni mtu mnafiki na anauweza unafiki sana. Na mwisho wa yote, tayari Makonda ni international criminal, Marekani imeshamwekea red dot, hii ni sifa mbaya kabisa.
 
Muda utaongea
Kwa mujibu wa Le mutuz msiri wako mpaka Dakika hii huko Kigamboni mlipo tayari wewe Bashite upo top 3 kisha msubiri jina kurudi toka Dodoma ambapo ni mwenyekiti Ata kupitisha kwa nguvu zake binafsi lakini wajumbe wengine hawakutaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…