Kweli maslahi ya Nesi yanahitajika kuangaliwa upya, Waboreshewe.Wazee wa kugugo Diagnosis na kusoma prescription kwenye vitabu.
Kila Diagnosis ni UTI [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawa watu bana.
Nurses wanakomaa na Labour, RCH, CTC, Triage
Vituo visipokuwa na pharmacist wao ndio wanakaa kubabakee,[emoji1787]
Halafu kinatokea ki-CO kimoja na shule yake ya Tandabui kinaona mshahara hautoshi[emoji1787]
Inabidi mfumo wa academic best ufe tuwe na knowledge bestHao hao form 4 failures waliopata div.3 na 4 ndio unataka walipwe zaidi?
Si haki kabisa kuwapeleka watu wenye ufaulu mdogo kushughulika na usalama wa Afya zetu.Serikali komesheni huu upuuzi.
Hahahahahah we utakuwa unazungumzia wages mzee! Kuna wages na mshahara na hii tofauti yake ni kwenye ajira, kazi na kibarua!Mshahara siku zote huwa hautoshi...
Hahahahahah we utakuwa unazungumzia wages mzee! Kuna wages na mshahara na hii tofauti yake ni kwenye ajira, kazi na kibarua!
Ukiona unalipwa not less than 50K per day jua upo kwenye ajira mzee. Hapa kuna ambao wanalipwa kati ya laki 1 mpaka laki 3 kwenye taasisi hizi hizi za serikali ama NGO za kimataifa. Huwezi sema ati mshahara hautoshi wakati account yako inaingiziwa 7.5M kila mwezi!
Less than 30K jua upo kwenye kazi. Hawa ni vibarua waliochangamshwa kidogo na overtimes.
Less than 20K jua unaenda kibaruani. Hawa ndio wanakula wages sema zimekuwa extended kwa mwezi tu.
Kwa Msoto niliopitia ndani ya mwaka tu wa huo mshahara naweza nikawa nishakamilisha dreams zangu by far.Namaanisha mshahara kaka....hata hiyo 7.5M siku ukifikia kulipwa hiyo utaona haitoshi...
Sisi wanadamu tuna kawaida ya kuhama madaraja kulingana na tunavyoingiza...
Mahitaji yetu kadiri yanavyobadilika ndio hubadilisha matamanio ya kuongeza kipato zaidi na zaidi...
Kodi muhimu duniani kodi ukifanya kazi utakatwa tu kodiMimi naona ili watumishi wafurahie mishahara yao kitu kama kodi ya mshahara inayokatwa siona kama ina tija ,deni la bodi ya mikopo sawaa maana walitosemesha na litaisha ilaa kukata kodi kwenye mshahara sioni kama ni sawaa
2025 iingie kwenye ilani ya vyama tufute kodi ya mshahara
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Amo siku hizi sidhani kama ipoKasome AMO miaka 2 tu utapanda mshahara
MD 1480000. Nimecheka sana yaani Co hawa wanaoiba mitihani. Nao wanalalamika. Kama anaona anafanya kazi kubwa aache kazi. Au aongeze shule 5 years. [emoji23] [emoji23]Kwani kuna fofauti ndugu? MD ni 1,000,000/=. Hawezi hata kupanga Sinza.
Mfano utakuwa hauwahusu wapige kimya tuUmezungumzia Sinza. Watu waliopo mkuuungu Dodoma watapafahamu apo
Kwa Msoto niliopitia ndani ya mwaka tu wa huo mshahara naweza nikawa nishakamilisha dreams zangu by far.
Hahahahahah aisee ni ngumu sanaHakuna kitu kigumu kama CO kwenda MD. Ukipata ni bahati ya Mungu kakuangazia tu.
Na sasa hivi CO wamejaa mtaani kama nzige.Na wengine manalipwa mpaka Laki 2 kwa mwezi kwenye vijiwe.
Sure kabisaMshahara siku zote huwa hautoshi...
Nile mkataba kama huo si naingia bank tu navuta 500M chap namaliza michakato yangu yote ndani ya 2022 tu yani nahakikisha mjengo, ndinga na miradi kadhaa tayari imesimama.Hahaha!!!
Mungu akusaidie ufike huko kaka, halafu utakumbuka maneno yangu...
Mfano sasa hivi, unaweza jiambia nikipata huo mpunga labda ndani ya mwaka nikisave 4M hivi nitanunua kiwanja Goba au K'mboni...
Lakini ukishaanza pata mpunga, unaanza jiona hivi nikisave 5.5M hivi si naweza nikapata uwanja kwa wadosi wa Mbweni au maUnunio huko...