Kumpata Zuchu kwaajili ya Show ni Tsh Million ishirini kwa show moja! Je show zake zina thamani hii?

Kumpata Zuchu kwaajili ya Show ni Tsh Million ishirini kwa show moja! Je show zake zina thamani hii?

Wasalaam!

Wana jamvi habari njema ni kwamba sanaa yetu imezidi kuchanja mbunga na kwa sasa muziki unalipa sana tena sana pamoja na kuwepo kwa madalali qengi!

Zuchu ni msanii mpya ndani ya WCB lakini ukuwaji wake umekuwa wa kasi sana ukilinganisha na wasanii wenzie wakina Lava Lava na Queen Doreen ambao kwangu mimi naona wamekuwa kama wafanyakazi hewa!

Hivi karibuni baada ya kufanya show yake kubwa pale Mlimanicity meneja wake Salam ametangaza bei ambayo atakuwa anatozwa mtu au kampuni au watu wanao mtaka Zuchu a.k. Chuchu kwenye show kiasi cha Tsh Million 20 za kitanzania!

Hivyo ni kwa sasa ukimtaka Zuchu itakubidi utoe Million 20!

Lakini sisi tunashauri Zuchu aendelee kuboresha ubora wa show zake ili azidi kuwakonga mashabiki wasione wanaibiwa hela zao!uView attachment 1524100
20m kwa show mbona fedha ndogo sana? wanagawanaje hiyo pesa? Mameneja 6 , Diomondi ,WCB ,Dancers,Chuchu mwenyewe!!
 
Kwenye hiyo milion 20 Mgawanyo uko hivi


1. WCB Management ina mgao wake

2. Manager Wake ana mgao wake

3. Aliemuungia WCB ana mgao wake kwa kila show ( Kama ilivyo kwa Rayvany Kuna mgao wa Babu tale ndio alimuungia wcb kutokea tiptop connection.... Au kwa Mboso Kuna mgao wa Said fella maana ndio alimuungia WCB kutokea Yamoto Band)... Kwasasa sijajua Nani alimuungia zuchu WCB )


4. Kuna gharama za show ( Mavazi, usafiri , chakula na gharama za team nzima , hotel n.k)

6. Bado hujaweka gharama zingine Kama income tax ya serikali n.k


KINACHOBAKI NDIO ANAPEWA MSANII. HAPO wcb rich mavoko amewahi kupewa laki 8 baada ya kupiga show Mombasa.


Sasa Nyie mlioko Manzese au mikoani huko kazi kusifia hamjui lolote tunawaangalia tunaishia kusema iiiiiiiiiiiiiii Bhagooooosha
Duuh noma sana upige shoo ya mil 20 uishie kupewa laki nane!!?
bora ukalime viazi tu noma sana
hiyo ni exploitation ya hali ya juu....!!
ndio maana jamaa alisepa
 
Kama watu wanafanya biashara zao na wewe umakaa tu kukasirika huku jamiiforums kisa tu Ruby anaimba vizuri kuliko Zuchu mimi nakuonea huruma sana. Naona unajipa tabu tu kwa mambo yasiyokuhusu. Mimi mwenzako nimeanza likizo Ijumaa, basi tangu nilivyotoka ofisini mpaka sasa namimina tu. Mama Gaude kanuna kavimba mpaka kapasuka mi sina habari nakula bia tu
 
Duuh noma sana upige shoo ya mil 20 uishie kupewa laki nane!!?
bora ukalime viazi tu noma sana
hiyo ni exploitation ya hali ya juu....!!
ndio maana jamaa alisepa
Na hapo social media accounts zote Kama YouTube inakuwa ya Wasafi.

Yaani YouTube account ya Rayvany na vilivyomo ndani Ni vya WCB sio Rayvany. Hela zote zinazoingia YouTube zinaenda WCB headquarters ndio upewe wewe kilichobaki.


Rich mavoko baada ya kutoka WCB mpaka account yake ya YouTube imebaki WCB alianza upya YouTube na account mpya from zero na nyimbo zote alizotoa chini ya Wasafi zimebaki huko hapaswi kula pesa Tena na jasho yake.

Usione harmonize alivyojitoa ukadhani Ni masihala. Na ile gharama ya milion 500 aliyoambiwa atoe ilikuwa Ni ili aondoke na nyimbo zake pamoja na account Yake ya YouTube.


Sasa ukiona vitoto vinavyojishaua humu Jamii forum kuhusu WCB unabaki kucheka tu havijui lolote.
 
WCB kila siku watabaki kuwa juu sababu wanajua KUJIBRAND..
Angalia wasanii wa makundi mengine waliotoka kipindi kimoja na zuchu wana Hali gani?.
zuchu kafanya shoo kiingilio kidogo ni elfu 50.
walijiandaa

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
- Hata kama hiyo ndio thamani halisi ya zuchu kwa muda alioko kwenye game hakutakiwa kuwa rated katika thamani hiyo.

- Alitakiwa apewe nafasi ya kukua at reasonable steps.

- Swali ni kwamba "will she be able to live up to that price?"

- Wamempa dogo kazi ngumu ya kumantain hiyo thamani akati ata uzoefu bado hajaupata, maana akishuka thamani tu ndio mwanzo wa kuanza kukua kuelekea chini.
 
Bora nikaangalie karioke ya Ruby kuliko back play ya zuchu sipendi zile kauli za wasanii tunaimba wote pumbuv uimbe na nani kakwambia nani najua kuimba vp tutagawana hela msaani nifanye,nionesha nimekupunja kiingilio

Ruby funga kazi
 
Lini atakuwa?..
unajua kuwa msanii wa ulaya akitoa nyimbo 1TU.
AMEKUWA TAJIRI.
- Hata kama hiyo ndio thamani halisi ya zuchu kwa muda alioko kwenye game hakutakiwa kuwa rated katika thamani hiyo.

- Alitakiwa apewe nafasi ya kukua at reasonable steps.

- Swali ni kwamba "will she be able to live up to that price?"

- Wamempa dogo kazi ngumu ya kumantain hiyo thamani akati ata uzoefu bado hajaupata, maana akishuka thamani tu ndio mwanzo wa kuanza kukua kuelekea chini.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
nyie endeleeni kupiga kelele.
Muda si mrefu zuchu atamiliki nyumba yake.
wale mnaoamini kipaji tu cha mtu ndo kitampa maendeleo ENDELEENI KUJIDANGANYA..


Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Sean Kingston..
Mnataka mtu aimbe mpaka azeeke ndo aje kuwa na maisha mazuri?.
haya mambo wcb wameyakataa.
Mziki ni pesa sio KUSIFIWA TU UNAINBA VIZURI ALAFU MFUKONI HAUNA KITU.
Kwa mfano msanii gani ambaye amekuwa tajiri kwa hiyo nyimbo moja?

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom