Freddienda
JF-Expert Member
- Mar 10, 2018
- 269
- 270
Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.
Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.
By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.
Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Kuna hasara gani kusafisha hii hali chafu ya hewa kuliko kupiga kelele humu ndani?? kwa nn hili jambo limechukua sura ya kisiasa wakati ukaguzi umefanyika na wataalamu?? kwa nn wataalamu wasijitokeze na kuja na fact??Uko sahihi Mkuu. By the way sasa hiviwameamua kusemea 1.5 trillion kwa sababu mbowe kapiga 24 bln kwa miaka miwili na wanaongea sana ili kuficha uovu huu. Zitto kala hela ya chama hadi kakimbia kupeleka ripoti ya mahesabu kwa CAG. Na pia kashirikiana na halmashauri yake kupiga hela hadi wamepata hati chafu. Na yeye anajificha kwenye 1.5 ili asionekane. Kuna mambulula amewapata ila kwa sisi werevu hamtupati ng'oooo. Hakuna wanasiasa Tanzania ila kuna waendesha Saccos tu na wapiga dili.
watanzania wameshawashtukia na kuanza kuwachokaUpinzani unakufa kwa kusimama kwenye hoja za uongo...
Kumbe makosa yanayohusu jinai ya ufisadi adhabu yake ni kujiuzulu kwa serikali ya CCM?Alijiuzulu ....
Kama hamuwezi kurudisha hizo hela 1.5 tri!!!basi tuonyesheni nyaraka za matumizi yake.Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.
Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.
By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.
Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Acha ujinga. Ufisadi is a criminal offence..swali langu ni kwamba ufisadi wake ulikoma au ulitoweka baada ya kujiuzulu? Kwmaba kujiuzulu kunafuta kosa la jinai? Kwa kuwa uelewa wako ni mdogo ni hivi: waziri mkuu jingalao, akiua halafu akajiuzulu uwaziri mkuumambo yanaisha?Mahakama inaingilia bunge?
Tatizo nyie ni product ya shule za kata mnachukua muda kuelewa.
Hawa jamaa wanaishi dunia ya loosers...watakufa na heart attacks...mara waje na ukabila,mara nyaraka za maaskofu,mara vyeti vya makonda...kiki zote za msimu zinaisha.Unawashwa washwa na nini wewe..
Naona nondo zake zimekumaliza pwaaaaa
Nimenotisi upo bizi sana kunitagi.. shoo huna mke.. njoo nikutafutie..
Uchunguzi ulifanyika na fisadi akaonekana na adhabu akaipataAcha ujinga. Ufisadi is a criminal offence..swali langu ni kwamba ufisadi wake ulikoma au ulitoweka baada ya kujiuzulu? Kwmaba kujiuzulu kunafuta kosa la jinai? Kwa kuwa uelewa wako ni mdogo ni hivi: waziri mkuu jingalao, akiua halafu akajiuzulu uwaziri mkuumambo yanaisha?
Kumbe uvccm bado mpo?? Sasa mnamtetea mkwapuzi dooh, shame on your face.Hawa jamaa wanaishi dunia ya loosers...watakufa na heart attacks...mara waje na ukabila,mara nyaraka za maaskofu,mara vyeti vya makonda...kiki zote za msimu zinaisha.
Uvccm bana, kwa hili hamtamwepusha katu, what we want is our 1.5 trillionUchunguzi ulifanyika na fisadi akaonekana na adhabu akaipata
Pole, CAG amekuwa kibaraka, mhuni na fisadi very funnyHili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.
Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.
By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.
Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Kidogo ww fahamu zimeanza kukurudiaMku sisi ccm ndio walalamikiwa kwa hiyo muhusika anatakiwa aje na majibu ambayo raia wanayasubiria kuendelea kuyaatamia ni maradhi yasiyo na ufumbuzi
Wakumbushe labda wamesahau mafisadi papaFisadi mkuu yupo Chadema ...na ufisadi wake ulithibitishwa na Bunge
Mwenzao Mzee Mwanakijiji amepigwa ganzi baada ya ripoti ya CAG kutoka. Haandiki chochote wala ha-comment chochote. Kafulila na Polepole wanapuyanga nyikani, haieleweki wanatetea nini! So sad.
Fact!Fisadi mkuu yupo Chadema ...na ufisadi wake ulithibitishwa na Bunge
mafisadi wapi hao unaowapa huu ujumbe kama singasinga na regemarila wapi ndani sijui wakina nani wengine hao......au CAG nae ni fisadiHili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.
Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.
By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.
Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Hivi Jingalao nikuulize kaswali kadogo tu, wenzio waliopigwa ganzi wameanza kupata fahamu wanarejea kundini nafikiri unawafahamu hivi wewe utapona lini au jina linaumba tabia?Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.
Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.
By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.
Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.