Kumsingizia Rais Magufuli ufisadi haiwezi kumzuia kupambana na mafisadi

Kumsingizia Rais Magufuli ufisadi haiwezi kumzuia kupambana na mafisadi

Yaani ajikamate mwenyewe! Jiwe ndo fisadi papa sasa afanyeje tena?
Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.

Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.

By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.

Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
 
Uko sahihi Mkuu. By the way sasa hiviwameamua kusemea 1.5 trillion kwa sababu mbowe kapiga 24 bln kwa miaka miwili na wanaongea sana ili kuficha uovu huu. Zitto kala hela ya chama hadi kakimbia kupeleka ripoti ya mahesabu kwa CAG. Na pia kashirikiana na halmashauri yake kupiga hela hadi wamepata hati chafu. Na yeye anajificha kwenye 1.5 ili asionekane. Kuna mambulula amewapata ila kwa sisi werevu hamtupati ng'oooo. Hakuna wanasiasa Tanzania ila kuna waendesha Saccos tu na wapiga dili.
Kuna hasara gani kusafisha hii hali chafu ya hewa kuliko kupiga kelele humu ndani?? kwa nn hili jambo limechukua sura ya kisiasa wakati ukaguzi umefanyika na wataalamu?? kwa nn wataalamu wasijitokeze na kuja na fact??
 
Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.

Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.

By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.

Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Kama hamuwezi kurudisha hizo hela 1.5 tri!!!basi tuonyesheni nyaraka za matumizi yake.
 
Mahakama inaingilia bunge?
Tatizo nyie ni product ya shule za kata mnachukua muda kuelewa.
Acha ujinga. Ufisadi is a criminal offence..swali langu ni kwamba ufisadi wake ulikoma au ulitoweka baada ya kujiuzulu? Kwmaba kujiuzulu kunafuta kosa la jinai? Kwa kuwa uelewa wako ni mdogo ni hivi: waziri mkuu jingalao, akiua halafu akajiuzulu uwaziri mkuumambo yanaisha?
 
Unawashwa washwa na nini wewe..

Naona nondo zake zimekumaliza pwaaaaa

Nimenotisi upo bizi sana kunitagi.. shoo huna mke.. njoo nikutafutie..
Hawa jamaa wanaishi dunia ya loosers...watakufa na heart attacks...mara waje na ukabila,mara nyaraka za maaskofu,mara vyeti vya makonda...kiki zote za msimu zinaisha.
 
Acha ujinga. Ufisadi is a criminal offence..swali langu ni kwamba ufisadi wake ulikoma au ulitoweka baada ya kujiuzulu? Kwmaba kujiuzulu kunafuta kosa la jinai? Kwa kuwa uelewa wako ni mdogo ni hivi: waziri mkuu jingalao, akiua halafu akajiuzulu uwaziri mkuumambo yanaisha?
Uchunguzi ulifanyika na fisadi akaonekana na adhabu akaipata
 
Hawa jamaa wanaishi dunia ya loosers...watakufa na heart attacks...mara waje na ukabila,mara nyaraka za maaskofu,mara vyeti vya makonda...kiki zote za msimu zinaisha.
Kumbe uvccm bado mpo?? Sasa mnamtetea mkwapuzi dooh, shame on your face.
Mlitamani pia CAG awe kada wa ccm km ilivo NEC, TISS, POLICE, BUNGE na makorokochoni kote eeeh.
 
Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.

Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.

By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.

Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Pole, CAG amekuwa kibaraka, mhuni na fisadi very funny
 
Mwenzao Mzee Mwanakijiji amepigwa ganzi baada ya ripoti ya CAG kutoka. Haandiki chochote wala ha-comment chochote. Kafulila na Polepole wanapuyanga nyikani, haieleweki wanatetea nini! So sad.


Kinyume na wengine, sichangii kwa sababu watu wengine wanafikiria napaswa kuchangia. Hakuna lolote lililoko kwenye ripoti ya CAG ambalo ni jipya na la kushtua... tatizo langu mimi katika mjadala mzima huu ni moja tu.
 
Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.

Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.

By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.

Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
mafisadi wapi hao unaowapa huu ujumbe kama singasinga na regemarila wapi ndani sijui wakina nani wengine hao......au CAG nae ni fisadi
 
Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.

Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.

By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.

Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Hivi Jingalao nikuulize kaswali kadogo tu, wenzio waliopigwa ganzi wameanza kupata fahamu wanarejea kundini nafikiri unawafahamu hivi wewe utapona lini au jina linaumba tabia?
 
Back
Top Bottom