Kumsingizia Rais Magufuli ufisadi haiwezi kumzuia kupambana na mafisadi

Kumsingizia Rais Magufuli ufisadi haiwezi kumzuia kupambana na mafisadi

Ila 1.5trl nyingi mno, ebu waseme tu, kukosea namba kwa hela hiyo ni hapana, wajibu imeenda wapi?!
 
Inauma sana, watu wale wale wanaendelea kukwapua mabilioni na sasa matrilioni ya fedha na wala hatuna ujanja wa kuwapeleka popote! Uchaguzi ukifika yatapigwa mabango na matisheti ya bure kwa maskini nchi nzima, pilau zitamwagwa na wasanii watagawiwa mahela wawatukuze watawala kama wamehuka vile, mie naamini tutakutana na hizi hela 2020 tukijaaliwa kuwepo, hapo mahela yatamwagwa kununua wabunge, madiwani, wanasiasa wenye nguvu wa upinzani nk..tusubiri tutashuhudia
 
Mimi chama changu ufipa damu damu. Ninampongeza Mbowe kutafuna billioni saba mbele ya macho yangu. Hayo ya trilioni 1.5 mtajuana wenyewe huko.
Hujielewii wew... Sasa hela za chadema zinakuhusua nin wew kuliko hela za taifa???
 
Philipe nyusi kawekwa kitimoto, sasa na wewe magufuli, jiwe mkuu wa Tanzania, kubali ombi la salim kikeke akufanyie hojaji fupi tu ya dk 15, kama hutaanza kupiga kampeni na kutoa matamko hovyo hovyo..
 
jingalao hao wahuni unao wajua ww ni pamoja na huyu CAG?
 
Fisadi haachi asili hakuna anayemsingizia huyu kubwa la majizi

upload_2017-6-13_14-5-10-jpeg.749598
 
we endelea kutetea ujinga. wenzenu wameshaweka kibindoni 1500 bilioni. namshangaa sana mtanzania wa kawaida anayetetea huu uovu. ilihali alambi hata mia siwashangai kina polepole kutetea maana wanalipana miposho ili kutetea huo wizi. kumbukeni hata escrow ilianza hivohivi
 
Makarai yoote tumekusanyika hapa ufipa leo kumpongeza Mbowe kutia kibindoni bilioni sabaa. Tunajaribu kuangaza macho kwingine. Duh.
haa haaa mkuu makarai yako mengi. mengine yanatetea wizi ulofanyika lumumba kwa kukopesha wanachama feki. wengine wanatetea mkopo feki uliokopeshwa ufipa. mbaya zaidi wengine wanatetea mpunga uliochotwa na mtetezi wa wanyonge kule feri 1.5 trilioni. mbaya zaidi haya makarai hayalambi hata senti moja. nimeamini wajinga ndo waliwao.
 
Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.

Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.

By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.

Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.

Hivi nyie watu nani kawaloga jamani??! Hakuna mtu anaemsingizia raisi kuwa ni fisadi wewe mama! Tunachouliza, ni kwa nini yeye na serikali yake wameshindwa kutolea maelezo matumizi ya trillion 1.5, ambayo CAG kaainisha kwenye report yake!!

Hili povu mnalokuja nalo kumtetea, jiulizeni mnaitakia nini nchi yetu?? Ni upumbavu uliokithiri kumtetea fisadi namba moja bila hoja yoyote ya utetezi! Serikali ilipewa siku 21 za kutolea maelezo matumizi ya hiyo pesa ila mmeshindwa! Raisi na serikali yenu mbovu mtatisha kwa ufisadi, believe me or not! Mnaficha kila kitu, na hamtaki watu wajue kinachoendelea. Mmejitoa kwenye mpango wa Open Govt Partnership (OGP) ili muweze kupiga hela bila mtu yoyote kujua! Ni upumbavu kumtetea raisi katika hili, lakini pia kwa style hii ufisadi utakuwa juu kuliko awamu zote zilizopita na hatoweza kushinda vita ya ufisadi hata kidogo. Aendelee kuimba kuwa ni raisi wa wanyonge huku anawamaliza kisirisiri. Mwambieni yeye ndo mnyonge, na watz wanaelewa na kuona kila kitu!!
 
Uko sahihi Mkuu. By the way sasa hiviwameamua kusemea 1.5 trillion kwa sababu mbowe kapiga 24 bln kwa miaka miwili na wanaongea sana ili kuficha uovu huu. Zitto kala hela ya chama hadi kakimbia kupeleka ripoti ya mahesabu kwa CAG. Na pia kashirikiana na halmashauri yake kupiga hela hadi wamepata hati chafu. Na yeye anajificha kwenye 1.5 ili asionekane. Kuna mambulula amewapata ila kwa sisi werevu hamtupati ng'oooo. Hakuna wanasiasa Tanzania ila kuna waendesha Saccos tu na wapiga dili.

Haya unayosema hayawezi kuhalalisha upotevu wa trillion 1.5 mama! Kama Mbowe na Zitto wametumia vibaya pesa za ruzuku sheria ifuate mkondo wake na basi wawajibishwe, lakni sio kuwazungumzia as if ndo uhalali wa ubadhirifu wa T 1.5!! toeni maelezo ya matumizi ya hiyo pesa, kuvuja mapovu hakusaidii kitu nyie wapuuzi!!
 
Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.

Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.

By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.

Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Ndio maana ukaitwa jinga lao haya wahi 7000
 
Hela mnakusanya ninyi,mapato na matumizi ni mtu mmoja ndio anapanga Ripoti imetoka inasema mapato na matumizi hayapo sahihi kuna muda mlitangaza 2.2 trillion hewa TRA hazionekani na hizi 1.5 mbona hazieleweki zimeenda wapi kwenye makusanyo ya mapato zinasoma...hapo anaesingiziwa ufisadi nani? Tatizo mkemia anadhani yupo maabara peke yake anachanganya sampo aje na utafiti fedha zinataka kanuni na zipo kwenye manunuzi na ukusanyaji ukipotea kidogo tuu unaingiza hasara Taifa...hata hawajui limit ya kukopa deni la ndani wao wanakopa tuu mpaka kuzidi kiwango...
 
Back
Top Bottom