Kumsingizia Rais Magufuli ufisadi haiwezi kumzuia kupambana na mafisadi

Kumsingizia Rais Magufuli ufisadi haiwezi kumzuia kupambana na mafisadi

Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.

Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.

By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.

Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Kawadanganje maccm wenzako !
images.jpg
 
Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.

Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.

By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.

Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Mkuu hujaelewa hakuna aliyesingiziwa hapa! Labda tukupe mfano:
Wapo watoto wako na kaka yao! umewaacha wafanye kazi ya kuvuna shamban mazao mbalimbali lkn bdae ulivorud ukaamua tu kuuliza .

"jamani hv yale mafenesi 15 yameenda wap???????" Watoto na kaka yao wote wanajua kuwa kwel mafenesi yalikuw 15.
Sasa ww hapo kama muuliza swali unategemea jibu gan?
Na kosa lipo wap kuulizia zao uliloliacha shamban na limevunwa lakn halionekan pale.!!
Muuliza swal anatakiw ajibiwe kuw pengne tuliamua kuuza ili tupate kusafirisha mazao haya mengne kuja kuyatunza hpa.
Au tuliamua kuyauza mafenesi tukapewa turubai ili kufunika mazao yasiharibiwe na mvua.
Au tuliamua kuyala maana tulipata njaa Sana hvyo tukaona tujenge nguvu kwa kula mafenesi 15 tukandelee kuvuna mazao mengne which is right! Lakn sasa kuuza kuhisi kuonewa, kusingiziwa au kuhujumiwa ni dhahiri hauwezi kutoa jibu bdala yake utawapa wauliza maswali wajipe majb mujaarab.
Yan there is no "Janjajanja" than Majibu.
 
ila tuwe siriaz hiyo trilioni moja point tano iko wapi? CAG ameshindwa kuambiwa ilipo mpaka ahoji mbele ya umma namna hii?
 
Fisadi mkuu yupo Chadema ...na ufisadi wake ulithibitishwa na Bunge
Halafu baada ya kuthibitishwa na Bunge ikawaje? Serikali ya CCM huwa inachukua hatua gani kwa fisadi aliyethibitishwa na Bunge?
 
Kama Chadema wamepiga pesa wanachadema watadai chao vivo hivo kwa ccm.

Ila 1.5Trilioni hii ni ya watanzania wote wenye vyama na wasio na vyama na lazima tudai.
Aisee mwambieni anko jambazi we need our money
Kwa akili yako ile iliyosemwa kupotea ndani ya Chadema unadhani sio fedha ya Serikali?
 
Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.

Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.

By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.

Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Wewe ndo unatetea ufisadi, eleza 1.5 trillion ziko wapi na mtunza hazina lifisadi likuu na limsanii la kupambana na ufisadi ndo aliyekuwa nazo
 
Sijui kwa nini waTz hawana kumbukumbu wakati ripoti ya ukaguzi wa bajeti 2014/15 CAG alibaini wizi wa mabilioni ya shilingi kwenye wizara ya ujenzi aliyokuwa akiiongoza na ilizuiliwa kujadiliwa kwa kuwa aliteuliwa mgombea urais. Jingalao kama ninalosema ni uongo kanusha niweke ripoti ubaoni
Hakuna Siku Ripoti ya CAG itaacha kuibua mapungufu ya matumizi ya fedha
 
nimesma mara tatu sijaelewa kabisa. Ina maana na ofisi ya AG nayo inatumika kisiasa siku hizi au AG katoa taarifa ya uongo au hakuna na maana kama tulivyoielewa wengi wetu?
AG?
 
Mleta mada natambua unafanya haya ili walau mkono uende kinywani na watoto wapishane maliwatoni kwa mtiririko unaofaa,pambana,buku saba kwa siku sio ndogo usawa huu.
Sijawwhi kukaa upande wa wadaku ....toka nimeingia JF na haitatokea nikakaa upande huo.ndio maana hoja zangu na msimamo wangu unakuwa tofauti sana....
 
jingalao hao wahuni unao wajua ww ni pamoja na huyu CAG?
CAG katoa ripoti yake ya kitaalamu ila vibaraka wanataka kutuaminisha Magufuli kachukua 1.5 Trilioni..as if ripoti ya namna hii hii haijawahi kutolewa siku za nyuma.
 
Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.

Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.

By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.

Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Unajua Bro..Jitahidi Sana kutumia akili Kuliko Ujinga Haya Tuambie Fisadi Gan papa Ambae mpka sasa Kafilisiwa au Ypo mahakaman..Maana Kina chenge,Anna Tibaijuka bado wanadunda Tu..Cha Kufanya Jibu Hoja Hizo 1.5 trilion Zimekwenda wap Maana Serekali Ilipewa Siku 21 na CAG kutoa maelezo ya kina Na ushahid Hzio hela Zimetumikaje Na kwa Ruhusa Ya nani Na Ikashindwa..Na CAG inapofunga Mjadala na Kuwakilisha Report Yake Bungeni Hiyo Inamaanisha mjadala ulifungwa na serekal ilishindwa Kuwadhibitishia matuzi ya hizo pesa na Zipo wap..Sasa unachokifanya ww na Mawaziri ni porojo Tu na Kupotosha Umaaa Maana mda walipewa na wakashindwa kujieleza kwa Upotevu wa 1.5 ziko wap
 
Ni kama Tanzania vs Algeria.... mnahangaika kuwakaba akina Riyad Mahrez na Islam Slimani wasiwafunge halafu magoli mnajifunga ninyi wenyewe kupitia wachezaji wenu akina Kapombe..... bora muianzed kukabana wenyewe msijifunge kabla hamjawakaba wapinzani

Hawa mafisadi mnaosema anapambana nao miaka yote wapokwenye chama chake na mpaka leo ccm inawanachama mafisadi kamna prof. muhongo, Tibaijuka, andrew chenge, willium ngeleja na wenguine wengi...... kaba kwanza hawa walio kwenye timu yako wanaojifunga kabla hujakaba wapinzani
 
chuma cha mjerumani

Mkuu kumbuka ruler ina ukubwa wa cm 30, sasa hiyo noti ya 15cm maana yake ni nusu ya ruler, je ni not ya tz au nchi gani?
Ccm ni mkoloni kama wakoloni tangulizi,
 
Kwenye hiyo 1.5 naomba nipewe 0.005 tu itanikwamua matatizo yangu mengi sana
 
Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.

Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.

By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.

Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Mkuu jingalao, hawa wamebanwa mbavu, ni sawa na bondia aliyewekwa kwenye kamba akipokea makonde mazito.

Vita ya kupambana na mabeberu na maslahi yao humu nchini sio ndogo, inahitaji kujitoa kwani adui anao vibaraka wengi tu.
 
Back
Top Bottom