Kawadanganje maccm wenzako !Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.
Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.
By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.
Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Mkuu hujaelewa hakuna aliyesingiziwa hapa! Labda tukupe mfano:Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.
Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.
By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.
Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Halafu baada ya kuthibitishwa na Bunge ikawaje? Serikali ya CCM huwa inachukua hatua gani kwa fisadi aliyethibitishwa na Bunge?Fisadi mkuu yupo Chadema ...na ufisadi wake ulithibitishwa na Bunge
Kwa akili yako ile iliyosemwa kupotea ndani ya Chadema unadhani sio fedha ya Serikali?Kama Chadema wamepiga pesa wanachadema watadai chao vivo hivo kwa ccm.
Ila 1.5Trilioni hii ni ya watanzania wote wenye vyama na wasio na vyama na lazima tudai.
Aisee mwambieni anko jambazi we need our money
Wewe ndo unatetea ufisadi, eleza 1.5 trillion ziko wapi na mtunza hazina lifisadi likuu na limsanii la kupambana na ufisadi ndo aliyekuwa nazoHili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.
Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.
By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.
Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Hakuna Siku Ripoti ya CAG itaacha kuibua mapungufu ya matumizi ya fedhaSijui kwa nini waTz hawana kumbukumbu wakati ripoti ya ukaguzi wa bajeti 2014/15 CAG alibaini wizi wa mabilioni ya shilingi kwenye wizara ya ujenzi aliyokuwa akiiongoza na ilizuiliwa kujadiliwa kwa kuwa aliteuliwa mgombea urais. Jingalao kama ninalosema ni uongo kanusha niweke ripoti ubaoni
Sijawwhi kukaa upande wa wadaku ....toka nimeingia JF na haitatokea nikakaa upande huo.ndio maana hoja zangu na msimamo wangu unakuwa tofauti sana....Mleta mada natambua unafanya haya ili walau mkono uende kinywani na watoto wapishane maliwatoni kwa mtiririko unaofaa,pambana,buku saba kwa siku sio ndogo usawa huu.
Alofisadi billion 200 ukimlinganisha na uyu malaika wa ccm aloiba trillion 1.5,Fisadi mkuu yupo Chadema ...na ufisadi wake ulithibitishwa na Bunge
Unajua Bro..Jitahidi Sana kutumia akili Kuliko Ujinga Haya Tuambie Fisadi Gan papa Ambae mpka sasa Kafilisiwa au Ypo mahakaman..Maana Kina chenge,Anna Tibaijuka bado wanadunda Tu..Cha Kufanya Jibu Hoja Hizo 1.5 trilion Zimekwenda wap Maana Serekali Ilipewa Siku 21 na CAG kutoa maelezo ya kina Na ushahid Hzio hela Zimetumikaje Na kwa Ruhusa Ya nani Na Ikashindwa..Na CAG inapofunga Mjadala na Kuwakilisha Report Yake Bungeni Hiyo Inamaanisha mjadala ulifungwa na serekal ilishindwa Kuwadhibitishia matuzi ya hizo pesa na Zipo wap..Sasa unachokifanya ww na Mawaziri ni porojo Tu na Kupotosha Umaaa Maana mda walipewa na wakashindwa kujieleza kwa Upotevu wa 1.5 ziko wapHili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.
Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.
By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.
Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.
Kwa hiyo na hii 1.5 kapiga yeye au CAG ni muongo? Hebu dada-vua tumjue adui yetuFisadi mkuu yupo Chadema ...na ufisadi wake ulithibitishwa na Bunge
Mkuu jingalao, hawa wamebanwa mbavu, ni sawa na bondia aliyewekwa kwenye kamba akipokea makonde mazito.Hili ni somo na tamko kwa vibaraka wa mafisadi waliozoea kuwazushia viongozi wa Serikali kuwa ni mafisadi ili wapate hela na kukaa kimya.
Style hii ya kihuni ni lazima ikomeshwe na wahusika wanyooshwe.
By the way mafisadi hawawezi kuiba tena na anayebisha ajaribu.
Hizi mbwembwe za kujidai kuna ufusadi wa trilioni 1.5 zitapita na mafisadi wataendelea kunyooshwa vilivyo.