Kumtambua Rais Samia kama Mama wa Taifa ni kujenga familia (nchi) imara

Kumtambua Rais Samia kama Mama wa Taifa ni kujenga familia (nchi) imara

Hivi huu upuuzi uliishia wapi?
Jee na yule askofu wetu aliyekuja na wazo hilo hadharani anajisikiaje mtumishi kuona maono yake yamepuuzika kwa kiwango hiki?
Watu wanatoaga mawazo kama hayo huwa hawanaga aibu hata kidogo.

Reference.; Ndugai,Ally Kesy pale mjengoni kutaka kumlazimisha Jiwe aongezewe muda wa kutawala.
 
Nimefarijika sana kuona kile nilichokuwa natamani kifanywe muda mrefu sasa kinakwenda kufanywa na kikiwa kimesemwa na viongozi wa kiroho na kiimani, ni ishara jambo hilo ni la kiimani zaidi.

Ni muda mrefu nilikuwa nawaza Kwa mazuri anayofanya Rais Samia ni vyema atambuliwe rasmi kama Mama wa Taifa. Tangu alipoingia madarakani ametenda kama Mama anavyotakiwa kufanya Kwa familia na hapa familia ni nchi yetu.

Nikizungumza kwa mifano, mama ni mtu wa karibu sana kwa watoto na hapa ndio wazo la kumtambua Rais Samia kama Mama wa Taifa liliponijia baada ya ishara hii. Rais Samia amekuwa karibu sana na vijana ambao ni kama watoto kwenye familia. Rais Samia ndiye kiongozi aliyeteua vijana wengi uongozini na pia anatoa ajira nyingi na kuwawezesha vijana wengi kiuchumi kwenye maeneo mbalimbali, yaani kajitoa sana Kwa ajili ya wanawe( vijana). Kwetu vijana tunajisikia fahari kubwa Rais Samia kutambuliwa kama Mama wa Taifa.

Baada ya Rais Samia kutambuliwa kama Mama wa Taifa sasa ni dhahiri familia hii(Tanzania) itakuwa imepata muunganiko wa kiroho wenye nguvu zaidi.

Mama wa Taifa ni heshima kubwa katika kutambua mchango mkubwa alionao Rais Samia katika ujenzi wa nchi yetu kama kiongozi wa kwanza mwanamke na shujaa wa uchumi na maendeleo.
NJAA NAONA IMEKUPANDA KICHWANI
 
Nimefarijika sana kuona kile nilichokuwa natamani kifanywe muda mrefu sasa kinakwenda kufanywa na kikiwa kimesemwa na viongozi wa kiroho na kiimani, ni ishara jambo hilo ni la kiimani zaidi.

Ni muda mrefu nilikuwa nawaza Kwa mazuri anayofanya Rais Samia ni vyema atambuliwe rasmi kama Mama wa Taifa. Tangu alipoingia madarakani ametenda kama Mama anavyotakiwa kufanya Kwa familia na hapa familia ni nchi yetu.

Nikizungumza kwa mifano, mama ni mtu wa karibu sana kwa watoto na hapa ndio wazo la kumtambua Rais Samia kama Mama wa Taifa liliponijia baada ya ishara hii. Rais Samia amekuwa karibu sana na vijana ambao ni kama watoto kwenye familia. Rais Samia ndiye kiongozi aliyeteua vijana wengi uongozini na pia anatoa ajira nyingi na kuwawezesha vijana wengi kiuchumi kwenye maeneo mbalimbali, yaani kajitoa sana Kwa ajili ya wanawe( vijana). Kwetu vijana tunajisikia fahari kubwa Rais Samia kutambuliwa kama Mama wa Taifa.

Baada ya Rais Samia kutambuliwa kama Mama wa Taifa sasa ni dhahiri familia hii(Tanzania) itakuwa imepata muunganiko wa kiroho wenye nguvu zaidi.

Mama wa Taifa ni heshima kubwa katika kutambua mchango mkubwa alionao Rais Samia katika ujenzi wa nchi yetu kama kiongozi wa kwanza mwanamke na shujaa wa uchumi na maendeleo.
CCM imechoka sana
FB_IMG_1702254129851.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimefarijika sana kuona kile nilichokuwa natamani kifanywe muda mrefu sasa kinakwenda kufanywa na kikiwa kimesemwa na viongozi wa kiroho na kiimani, ni ishara jambo hilo ni la kiimani zaidi.

Ni muda mrefu nilikuwa nawaza Kwa mazuri anayofanya Rais Samia ni vyema atambuliwe rasmi kama Mama wa Taifa. Tangu alipoingia madarakani ametenda kama Mama anavyotakiwa kufanya Kwa familia na hapa familia ni nchi yetu.

Nikizungumza kwa mifano, mama ni mtu wa karibu sana kwa watoto na hapa ndio wazo la kumtambua Rais Samia kama Mama wa Taifa liliponijia baada ya ishara hii. Rais Samia amekuwa karibu sana na vijana ambao ni kama watoto kwenye familia. Rais Samia ndiye kiongozi aliyeteua vijana wengi uongozini na pia anatoa ajira nyingi na kuwawezesha vijana wengi kiuchumi kwenye maeneo mbalimbali, yaani kajitoa sana Kwa ajili ya wanawe( vijana). Kwetu vijana tunajisikia fahari kubwa Rais Samia kutambuliwa kama Mama wa Taifa.

Baada ya Rais Samia kutambuliwa kama Mama wa Taifa sasa ni dhahiri familia hii(Tanzania) itakuwa imepata muunganiko wa kiroho wenye nguvu zaidi.

Mama wa Taifa ni heshima kubwa katika kutambua mchango mkubwa alionao Rais Samia katika ujenzi wa nchi yetu kama kiongozi wa kwanza mwanamke na shujaa wa uchumi na maendeleo.
OOOOO kUMBE ,Mbona Magufuli hamkutambua kama Baba ya Taifa ikimtoa Nyerere mwenye nafasi yake kwa taifa hili
 
Chawa mna kazi kubwa sana
Wanakazi kweli kweli! Wanakoelekea watataanza kumuita mungu!
Maana kama sifa wamempa sana, wengine hata mama zao hawajawahi kuwasifia lakini mama wa wenzoa hawalali.
 
Back
Top Bottom