Washauri wenyewe akina Erythrocyte na Retired unategemea niniAisee kumtetea huyu mmiliki wa CHADEMA ni kazi ngumu sana. Haina tofauti na kuwatetea single maza na polisi.
Igizo lake alilofanya leo lina makosa mengi sana ya kiufundi kiasi kwamba wapinzani wake wamepata nafasi ya kumdhihaki.
Nawatupia lawama timu yake yote kwa kushindwa kuweka jambo la leo lionekane lenye uhalisia. Hii clip inayosambaa ndo imekuwa chumvi kwenye kidonda.
TLS kule Kuna kitu alifanya au kubuni!Toka lini makamu akawa na nguvu kuliko mwenyekiti? muda umefika sasa kuwa mwenyekiti ili mipango yake ikafanye kazi kwenye chama, wakati wa Lissu ni sasa
Ww mzee, Umeelewa mada? Au kisa ww n fans wa mbowe Bc unamtetea?Hivi kwani kuna mahali ameomba kutetewa?
Ningekuwa wewe ningenyamazaHivi kwani kuna mahali ameomba kutetewa?
Kule wapi? Lissu yupo Chadema sasa ni wakati wa kuwa top leader ili mawazo yake yakafanye chama kurudi kwenye makali yake , sasa hivi Chadema imekuwa ziiiiiiiiiTLS kule Kuna kitu alifanya au kubuni!
Aliwahi kuwa Rais wa TLS,aliweza kufanya nini Cha maana kuisaidia TLS?Kule wapi? Lissu yupo Chadema sasa ni wakati wa kuwa top leader ili mawazo yake yakafanye chama kurudi kwenye makali yake , sasa hivi Chadema imekuwa ziiiiiiiii
Yn mtu akishakuwa shabiki wa jambo fulani Bc lazima awe kama taahira hivi ili kuweza kutetea hadi kwenye maovuNingekuwa wewe ningenyamaza
Sasa yeye ndio mwenye serikali ? yeye kazi yake ni kusemea wapiga kura wake ila wenye fedha ni serikali sio Lissu, amesha sema sana kama serikali haitaki kuleta maji unataka Lissu afanyaje? acha kutoa lawama za serikali kwa LissuIkungi Hadi Leo hakuna maji safi na salama,hakuna Barabara!
Alikuwa mbunge kule!
Alifanya mengi ikiwemo kuzuia serikali kuifanya TLS kuwa chombo chao cha kuficha maovu yaoAliwahi kuwa Rais wa TLS,aliweza kufanya nini Cha maana kuisaidia TLS?
Ongezea na maturubai 😂Yaani Mbowe anafanya watu ni watoto, uvamiwe na wapenzi wako wakute hadi viti vya kukaa nyumbani kwako?!
Lissu hajielewi tangu apigwe risasi!Sasa yeye ndio mwenye serikali ? yeye kazi yake ni kusemea wapiga kura wake ila wenye fedha ni serikali sio Lissu, amesha sema sana kama serikali haitaki kuleta maji unataka Lissu afanyaje? acha kutoa lawama za serikali kwa Lissu
Lissu kanyaga twende, chama hakiwezi kwenda hivi kila siku, chama kimekuwa kama TLP buanaLisu kuwa mwenyekiti wa chadema Taifa,ni SAWA na kukiua chama.
Serikali unayoisemea juzi imewapa TLS gari la dhamani ya +300 million.Alifanya mengi ikiwemo kuzuia serikali kuifanya TLS kuwa chombo chao cha kuficha maovu yao
Duh hata wewe umesha ingia kwenye mtego wa mbowe?Hivi kwani kuna mahali ameomba kutetewa?
Ila kuwa rais wa nchi ilikuwa sawa?Lisu kuwa mwenyekiti wa chadema Taifa,ni SAWA na kukiua chama.