alphonce.NET
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 1,703
- 6,046
Only foolish men can practice thisNawashauri wanaume wenzangu tuwaombe wake zetu msamaha hata kama wao ndio wamekosa. Ikibidi mfulie nguo zote na uoshe vyombo mbele ya jamii kama mmepanga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Only foolish men can practice thisNawashauri wanaume wenzangu tuwaombe wake zetu msamaha hata kama wao ndio wamekosa. Ikibidi mfulie nguo zote na uoshe vyombo mbele ya jamii kama mmepanga.
Upo na nani hapo ulipo mama.? Hahah asili ya mwanamke wala usijiskie vibayaNawapigaje picha watu jaman.... ameshaoga mda huu nadhan watakuwa wamepumzika... (ila me mmbea )
Peke angu kwan vipiUpo na nani hapo ulipo?
Ha ha ha .....tufanye wikend bas[emoji4]Ukitaka undugu urudi adhabu ndo hyo...utajua hujui...
Aah safi, naweza kuku join! Maana tulio single tumenyanyasika sana toka jana😅Peke angu kwan vipi
Kuna Uzi nauandika khs heka heka za valentine ya Jana[emoji4]Na nyie mpunguze kelele mnafanya kama vile dunia inaisha Leo bwanaa
Kuwa single mbona poa sanaa..Aah safi, naweza kuku join! Maana tulio single tumenyanyasika sana toka jana😅
Basi natangaza kuahirisha na kuuweka huu undugu pending hadi pale conditions zitakapotimizwaHa ha ha .....tufanye wikend bas[emoji4]
Ni poa ila sio poa, kuwa single inakera sometimesKuwa single mbona poa sanaa..
Kutamu sana kuwa singleNi poa ila sio poa, kuwa single inakera sometimes
Uzi ulete tuu ntasoma km mtu bakii😒Kuna Uzi nauandika khs heka heka za valentine ya Jana[emoji4]
Ha ha ha.....sio Kama binamu Tena[emoji4]Uzi ulete tuu ntasoma km mtu bakii[emoji19]
Ha ha ha .....ilo litakua gubu Sasa[emoji4]Basi natangaza kuahirisha na kuuweka huu undugu pending hadi pale conditions zitakapotimizwa
Koooorrrtt
Gubu la binamHa ha ha .....ilo litakua gubu Sasa[emoji4]
Ningekuwa binam usingenichomeshaHa ha ha.....sio Kama binamu Tena[emoji4]
Nlkua fyatu Sana jana, akili zote zilishamia KICHWA Cha chini[emoji4]Ningekuwa binam usingenichomesha
Ndo utajua hujuiNlkua fyatu Sana jana, akili zote zilishamia KICHWA Cha chini[emoji4]
Nsamehe bhana, iyo Jana yenyewe at ningekutafta ningeishia kukuboa TU maana akili Zilikua fyatu tayar[emoji4]Ndo utajua hujui
Msamaha ulishatangazwa mbona wewe ndo unauchelewesha... timiza condition undugu urudi...Nsamehe bhana, iyo Jana yenyewe at ningekutafta ningeishia kukuboa TU maana akili Zilikua fyatu tayar[emoji4]
Kesho jion I promise [emoji4][emoji120]Msamaha ulishatangazwa mbona wewe ndo unauchelewesha... timiza condition undugu urudi...
Kwani week end ni mbali sana?
Ujue aliyeshiba hamjui mwenye njaa... unajua ni kiasi gan ile ishu ni ya muhimu ila umeamua kunichomesha mahindi tangu sijui lini ilee.... sawa uko busy...umekuwa Mungu? [emoji56][emoji56] kwani nataka kuongea na raisi bwanaaaa
( [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huu undugu ukiendelea kwa povu hili ntajua kweli ile ego yako imepungua )
Ndo ujue upande mwingine wa binamu yako.. nimekumind..