Kumuomba mwanamke msamaha sio kosa hata kama hujamkosea

Kumuomba mwanamke msamaha sio kosa hata kama hujamkosea

Woman Love Wanume wakaksi kichizi yani very hardcore , wakorofi korofi siunajua tena unpredictable men hatuzoeleki hatuingiliki kizembe, Kama ni msamaha kamuombe mama yako atapokea na kukubarikia.
Hapo umenena
 
Nawashauri wanaume wenzangu tuwaombe wake zetu msamaha hata kama wao ndio wamekosa. Ikibidi mfulie nguo zote na uoshe vyombo mbele ya jamii kama mmepanga.
Duh! Si bure huenda limbwata lako linataka kampani na kwa wanaume wengine, hilo ni lako tu jinasue ama litii maisha yaende, hapa duniani mda ni mchache.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] dunia inaanguka huku
 
[emoji23][emoji23][emoji23] dunia inaanguka huku
Women are most dangerous to a man who sees them as innocent and harmless

When a man is not deluded enough to think this he can not only outmaneuver her but outclass her at her own game

Lot of this delusion is result of social brainwashing

Our ancestors weren't this stupid

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nsamehe bhana, iyo Jana yenyewe at ningekutafta ningeishia kukuboa TU maana akili Zilikua fyatu tayar[emoji4]
Mzee kale kastory kame payback😅 naona booty calls unazipiga nyundo tu! Mpe mtt kitu roho inapenda
 
Ha ha ha ha.......
UMENIKUMBUSHA usiku wa kuamkia leo Niko na Mchepuko wangu hotel, mhudum mKaka hivi wa makamo eti kanifata kunigongea nimwambie mtu wangu afanye kistaarabu apunguze kelele.

Aisee nilimjibu shit sana jamaa mpk akaniomba msamaha mwnyw
Yaani ndugu yetu unalala hukohuko? mchepuko kukunogeaa!
 
Back
Top Bottom