Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Umekuwa mwenda zake..eti sitakuangushaKesho jion I promise [emoji4][emoji120]
SITOKUANGUSHA KABISA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekuwa mwenda zake..eti sitakuangushaKesho jion I promise [emoji4][emoji120]
SITOKUANGUSHA KABISA
Hapo umenenaWoman Love Wanume wakaksi kichizi yani very hardcore , wakorofi korofi siunajua tena unpredictable men hatuzoeleki hatuingiliki kizembe, Kama ni msamaha kamuombe mama yako atapokea na kukubarikia.
Duh! Si bure huenda limbwata lako linataka kampani na kwa wanaume wengine, hilo ni lako tu jinasue ama litii maisha yaende, hapa duniani mda ni mchache.Nawashauri wanaume wenzangu tuwaombe wake zetu msamaha hata kama wao ndio wamekosa. Ikibidi mfulie nguo zote na uoshe vyombo mbele ya jamii kama mmepanga.
Women are most dangerous to a man who sees them as innocent and harmless[emoji23][emoji23][emoji23] dunia inaanguka huku
SiweziNawashauri wanaume wenzangu tuwaombe wake zetu msamaha hata kama wao ndio wamekosa. Ikibidi mfulie nguo zote na uoshe vyombo mbele ya jamii kama mmepanga.
Huo utamu ni kuwa free agent tu😅 una freak out na watu tofauti! Unakuwa huna mtu wako permanent its risky!Kutamu sana kuwa single
Mzee kale kastory kame payback😅 naona booty calls unazipiga nyundo tu! Mpe mtt kitu roho inapendaNsamehe bhana, iyo Jana yenyewe at ningekutafta ningeishia kukuboa TU maana akili Zilikua fyatu tayar[emoji4]
Unakowaza uko ata siko kabisa[emoji4]Mzee kale kastory kame payback[emoji28] naona booty calls unazipiga nyundo tu! Mpe mtt kitu roho inapenda
Mmh![emoji848]Hiyo muhimu Sana kwa kweli. itapendeza
Sawa bana boss kubwa. Huenda mie siwezi kusoma na ku interpret vyema kinachoandikwa humu😅Unakowaza uko ata siko kabisa[emoji4]
Ha ha ha.....,Sio kweliSawa bana boss kubwa. Huenda mie siwezi kusoma na ku interpret vyema kinachoandikwa humu[emoji28]
Kwamba we na Nakadori sio ma cousin wa kimjini mjini😅Ha ha ha.....,Sio kweli
Yaani Umei-interpret ndivyo sivyo mkuu[emoji4]
Ha ha ha....Kwamba we na Nakadori sio ma cousin wa kimjini mjini[emoji28]
Hahahahah utaelewa tu.., usimchomeshe tena mahindi mtoto huyoHa ha ha....
Uchokozi sasa huo[emoji4]
hao macousin wa kimjini mjini ndo wanakuaje hao[emoji848]
Yaani ndugu yetu unalala hukohuko? mchepuko kukunogeaa!Ha ha ha ha.......
UMENIKUMBUSHA usiku wa kuamkia leo Niko na Mchepuko wangu hotel, mhudum mKaka hivi wa makamo eti kanifata kunigongea nimwambie mtu wangu afanye kistaarabu apunguze kelele.
Aisee nilimjibu shit sana jamaa mpk akaniomba msamaha mwnyw
sikulala,Yaani ndugu yetu unalala hukohuko? mchepuko kukunogeaa!