Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Mbaya zaidi, Njia iendayo upotevuni ni pana...na wengi wanaifuata.Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa Hosea 4 :6. Hiyo service ya 1 on 1 ni utapeli Mtupu. Hakuna nabii au mtume wa uongo asiyelipisha watu kwenye kuombea hata kwenye simu tu atakwambia utume hela ndio akuombee. Kanisa limevami na mbwa mwitu wakali wenye kuvaa ngozi za kondoo.
Tapeli Kuhani Mussa kama matapeli wengine shenzi kabisa.Ukifika pale Temboni unataka kumuona Kuhani Mussa Richard, kuna dau kama ilivyo kwa manabii wengine ila jamaa kaongeza kitu kinaitwa FAST TRACK. Hiyo ukitoa haina foleni, ile unamaliza kuhesabu pesa tu huyu hapa anakufanyia maombi.
Ila msisahau kubeba pesa za kununulia vifaa vya kiroho ambayo pia vina grade zake. Kuna vya matokeo ya papo hapo, na vile vya gradually Yaani mdogo mdogo.
Anayeuza udongo kijiko cha chai buku, akimwaga Fuso au mende si anatajirika. Wajinga wengi sana.Hata shetani si tapeli kama hawa wanaojiita Manabii, walimu na makuhani..
Inasikitisha mtu anauziwa chumvi, udongo, maji ya ya visima, mafuta ya sundrop kwa kuambiwa yametoka Israel 🦍
NDIO,tena kwa herufi kubwa kabisa.Ujinga kumuona Kuhani?
Kwa hiyo huyo Jamaa ni Mlawi?Safi kabisa, mlawi atakula madhabauni
Alipakwa mafuta na nani?Kwenye madhabahu ya Ngome ya Yesu kwa Kuhani Musa ndipo ndipo nilipomjua YESU aliyehai...
Mpaka sasa nina nguvu za Rohoni sababu ya madhabahu ya hiyo...
Mungu azidi kumbariki Kuhani Musa
Bwana YESU atukuzwe
Mpigie debe.Najua hizo lakin2 ni sadaka , kwaajili ya ujenzi wa kanisa ambalo linajengwa..
Mi nimesali kwa Kuhani Musa ila sijawahi ingia ofisini kwake...
Nilikuwa naenda ibadani Tena kwa ku beep ila nimekua kiroho sababu ya mahubiri yake juu ya Yesu Kristo...
🤣🤣Ndio maana niliacha kusali mimi ah yanini ujinga huo.
AMINA.Hiyo imeisha hiyo.MUNGU si kigeugeu.
Hawezi kupingana na neno lake.
Kama kuna mtu anawatoza pesa kwa njia yoyote ile ili awape vifaa vya kiroho huyo ni wakala wa Ibilisi haijalishi watu wanapona au la.
My father ni mganga nguli mpaka vichaa wanapona kwahiyo uponyaji sio kigezo kusema fulani ana MUNGU.
Muda mwingine muache kuenenda kwa hisia .
View attachment 2815751
Swali ni kwanini viuzwe.Hakuna cha haulazimishwi wala nini.Ninachojua kuwa ni sadaka...
Alafu haviuzwi Wala hulazikishwi sababu Kuna ambayo yanatolewa free ndani ya ibada
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi nilipelekwa kwa nabii .Naambiwa matatizo yangu yamesababishwa na Sada kuniibia manii yangu.Ikabidi nikubali nikubali tu ili nisiwauzi walionipeleka.Sijawahi kuwa na mpenzi anaitwa Sada.Dawa michumvi,mimafuta na udongo wa madhabau.
Yaani Chumvi anagawa bure?Hakuna pesa yoyote ukitaka kumuona Kuhani Musa
Usitapeliwe Sandali Ali wala usidanganyike
Hakuna fast track wala pesa ya vifaa vya kiroho maana kila ibada vinagawiwa buree labda utake vya ziada
SHABAranks🤣Najua hizo lakin2 ni sadaka , kwaajili ya ujenzi wa kanisa ambalo linajengwa..
Mi nimesali kwa Kuhani Musa ila sijawahi ingia ofisini kwake...
Nilikuwa naenda ibadani Tena kwa ku beep ila nimekua kiroho sababu ya mahubiri yake juu ya Yesu Kristo...
Hata Ulaya na Marekani yapo. Kuna spiritual shops na wachungaji wa hivyo. Ila wanalipa kodi ya bidhaa zao. Na watu wananunua. Acha watu wafanye wanayoyaona yanafaa ilimradi hawajavunja sheria.Binadamu hasa kutoka mataifa haya wana upungufu wa akili mwilini
Hawa wajinga wanaibiwa mchana kweupe . Ni heri uibiwe na teja kuliko hawa wanaotumia kifo cha Yesu kuibia wenzao
Biblia na misahafu inauzwa sembuse maji na mafuta.Hata ukinunua bibilia?
Namaanisha kuwa hawa wauni wanaibia watu mchana kweupe wakisingizia kuwa wanamhubiri/tangaza Yesu ambaye aliwakataza wasitoze watu pesa.Hapa sijaelewa nini ulimaanisha mkuu
Ulimkamata yupi anafanya uzinzi?Namaanisha kuwa hawa wauni wanaibia watu mchana kweupe wakisingizia kuwa wanamhubiri/tangaza Yesu ambaye aliwakataza wasitoze watu pesa.
Unfortunately utapeli wao uko wazi hawamuhubiri Yesu maana wangekuwa wanamtangaza Yesu kwanza wangeacha uzinzi pili wangeacha kutoza watu pesa kwa mgongo wa vifaa vya kiroho.
Shenzi kabisa