Kumuona Kuhani Mussa wa Kimara kwa haraka ni Tshs Laki 2

H
Hayo yatakuwa ni mapepo ya utambuzi ukadhani ni nguvu ya Roho Mtakatifu 🤔
 
Kabla ya kumpinga Nabii acha hisia na maneno ya watu acha mazoea na kukariri..
Manabii wa kweli wapo na wa uongo wapo.

Jukumu ni lako kuomba mwalimu Roho Mtakatifu akujulishe na atakujulisha kuwa Nabii ni wa kweli ama sio wa kweli...
 
Imeandikwa,
Njooni kwangu ninyi nyote mliolomewa na Mizigo, nami nitawapumzisha......

Pole sana wanadamu mnaoteseka na kuhangaika kutafuta suluhu za matatizo, mahangaiko ahueni za kiroho na kimwili kwa ghazarama zinazowadidimiza zaidi kijamii na kiuchumi...
Poleni sana.....

Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Wapendwa, miongoni mwa tatizo linaloitesa jamii hii ya kikrusto, sio maarifa. Ni uelewa na ufahamu duni juu ya masuala ya kiroho...

Ukielewa Roho na kweli, hutalipishwa gharama kununua huduma za kiroho.

Nawaombea kwa Mungu awajaalie ufahamu na uelewa wa kutosha juu ya Roho Mtakatifu na wawe tayari kuskia sauti ya wito wa Mungu katikati nafsi zao, kabla ya kwenda kuitika wito wa mwanadamu.
 
Wajinga ndio waliwao .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…