n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa Hosea 4 :6. Hiyo service ya 1 on 1 ni utapeli Mtupu. Hakuna nabii au mtume wa uongo asiyelipisha watu kwenye kuombea hata kwenye simu tu atakwambia utume hela ndio akuombee. Kanisa limevami na mbwa mwitu wakali wenye kuvaa ngozi za kondoo.Aiseee!
Yaani kumuona akufanyie maombi unalipia?
Yesu alisema umepewa bure toa bure
Math10:8
Kinyume na hapo,siyo maagizo ya Kristo..
Kama si ya Kristo basi ni maagizo toka sehemu nyingine ila siyo kwa Mungu.
Huyu mtu humjui vizuri, mpaka awatoe kafara ndio akili zitawajia. Serikali ilifanya vizuri kumtimua Baba yake wa kiroho aliyejiita mzee wa Yesu. Yule ni occultic grand Master kabisa kule Congo.Siku zote nasema habari za Kuhani Musa
Huyu mtu humjui vizuri, mpaka awatoe kafara ndio akili zitawajia. Serikali ilifanya vizuri kumtimua Baba yake wa kiroho aliyejiita mzee wa Yesu. Yule ni occultic grand Master kabisa kule Congo.Siku zote nasema habari za Kuhani Musa
Mkuu mimi nimeshawahi kwenda kwa hawa manabii pamoja na kwa waganga. Yanayosemwa yote ni kweli. Kwangu mimi bora niende Sumbawanga kwa mganga kuliko hawa manabii ushuzi akiwemo huyu Kuhani mpuuzi Musa.Sasa una mdharau mtu kisa imani yake? Kila mtu kuna kitu ana kiamini kwa aina yake!
Halafu jf bhna ukiingia kichwa kichwa unaweza fikiri hawasali,hawaendi kwa manabii ,hawaendi kwa mitume,hawatoi michango ya harusi na hawapendi mambo ya dini hahahah!
Humu akili za kuambiwa changanya na zako…kuna chumvi nyingi zinazidishwa kwenye matukio….! Ukisoma coments za humu unaweza jiuliza hawa waumini manabii huwa wanawapata wapi? Na hawa waganga huwa wanapata wateja wapi? Kumbe ni hawa hawa wanaopinga sana ndio waumini wao!
😂😂😂😂😂😂
Ushaungwa kwenye cult, hapo huchomoki tena. Kuna madhabahu sio za kwenda kama una akili sawasawa unless hujui nguvu za hizo vilinge.Ndio ninatumia kwa jina la YESU...
Maana kama huna Imani havikusaidii
Huu mstari ndio fimbo yao ya kuchapia maamuma wa kiroho 😂😁😀😀😂😁😀. Huo mstari unajua maana yake, au copy copy?My people are destroyed by the lack of knowledge Hosea 4 '6.Neno la Mungu linasema;
Waaminini Manabii mtafanikiwa, niaminini mimi mtathibitika
Wewe tayari ushakuwa initiated kwenye cult ya huyo mganga jiandae kuwa mbuzi wa kafara. Eti asimchafue dady what a nonsense. Huyo Kuhani Musa ni occultic grandmaster sawa na Baba yake wa kiroho aliyejiita mzee wa Yesu.MAMAD KUNA AKUHANI WALIONDOLEWA MAJUZI WALIKUWA WANAFANYA UDALALI KUPITIA JINA LA BABA NA HATA WALIOBAKI WALIONYWA KANISANI..SASA ASIMCHAFUE DADY KWA UPUUZI WA WACHACHE KAMA AMEPIGWA AENDE POLISI NA SIO KUMCHAFUA KUHAN WANGU
Mwafrika yeyote kama ni Muislam au Mkristu ana matatizo ya kiakili tu, utafuatiliaje dini za watu bila kujuwa ukweli?Ukifika pale Temboni unataka kumuona Kuhani Mussa Richard, kuna dau kama ilivyo kwa manabii wengine ila jamaa kaongeza kitu kinaitwa FAST TRACK. Hiyo ukitoa haina foleni, ile unamaliza kuhesabu pesa tu huyu hapa anakufanyia maombi.
Ila msisahau kubeba pesa za kununulia vifaa vya kiroho ambayo pia vina grade zake. Kuna vya matokeo ya papo hapo, na vile vya gradually Yaani mdogo mdogo.
mdau, ni nani huyo?Kuhani Mussa Richard
Aiseeee ..bora wewe umesema umeshawai kwenda ! Shida ni wengine kusema hawajawai gusa uko kote…….Mkuu mimi nimeshawahi kwenda kwa hawa manabii pamoja na kwa waganga. Yanayosemwa yote ni kweli. Kwangu mimi bora niende Sumbawanga kwa mganga kuliko hawa manabii ushuzi akiwemo huyu Kuhani mpuuzi Musa.
Mganga gani akutibu kwa laki 2Ni bora ukajiunge kwa mganga ukaloge biashara zako
Michanganyo Sasa hioNdio ninatumia kwa jina la YESU...
Maana kama huna Imani havikusaidii
Ni kweli kumuona private ni mpaka ulipie pesa?Kwenye madhabahu ya Ngome ya Yesu kwa Kuhani Musa ndipo ndipo nilipomjua YESU aliyehai...
Mpaka sasa nina nguvu za Rohoni sababu ya madhabahu ya hiyo...
Mungu azidi kumbariki Kuhani Musa
Bwana YESU atukuzwe
Si angalau huyo!Ukifika pale Temboni unataka kumuona Kuhani Mussa Richard, kuna dau kama ilivyo kwa manabii wengine ila jamaa kaongeza kitu kinaitwa FAST TRACK. Hiyo ukitoa haina foleni, ile unamaliza kuhesabu pesa tu huyu hapa anakufanyia maombi.
Ila msisahau kubeba pesa za kununulia vifaa vya kiroho ambayo pia vina grade zake. Kuna vya matokeo ya papo hapo, na vile vya gradually Yaani mdogo mdogo.
Watu badala ya kutafuta kumuona Yesu kwa maombi yako mwenyewe, unataka kumuona binadamu mwenzio. ambaye kwenye tv unamuona.Ukifika pale Temboni unataka kumuona Kuhani Mussa Richard, kuna dau kama ilivyo kwa manabii wengine ila jamaa kaongeza kitu kinaitwa FAST TRACK. Hiyo ukitoa haina foleni, ile unamaliza kuhesabu pesa tu huyu hapa anakufanyia maombi.
Ila msisahau kubeba pesa za kununulia vifaa vya kiroho ambayo pia vina grade zake. Kuna vya matokeo ya papo hapo, na vile vya gradually Yaani mdogo mdogo.