Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AhahahadaHakuna pesa yoyote ukitaka kumuona Kuhani Musa
Usitapeliwe Sandali Ali wala usidanganyike
Hakuna fast track wala pesa ya vifaa vya kiroho maana kila ibada vinagawiwa buree labda utake vya ziada
HaswaWakati fulani nikiwa mdhambi nilienda kwa mganga asubuhi. Nikamkuta kachoka hadi nikamuuliza inakuwaje asbh kama umechoka? Akajibu kuwa usiku mzima alikuwa akiwashughulikia wachungaji ambao ni wateja wake. Huyo Kuhani Musa ni mganga wa kienyeji kama ilivyo waganga wengine. Kuna rafiki yangu wa kike nilisoma nae primary nimetokea kumdharau sana baada ya kuanza kuwa mfuasi wa Kuhani Musa.
Ngoja kwanza unamjuaje Yesu? Sema baba yako alikuwa na imani sana.Haswa
Mimi nimezaliwa na kukua katika familia ya kiganga. Tena ni waganga konki.
Mdingi anaweza kusoma Dua mpaka mti unakauka within 30 minutes.
Mpaka viongozi wa makanisa wenye Imani haba huenda kwake.
Sasa ninamjua Yesu na hawa matapeli nawajua.
Na ukitoa ndogo unaishia kwa machawa wakeUkifika pale Temboni unataka kumuona Kuhani Mussa Richard, kuna dau kama ilivyo kwa manabii wengine ila jamaa kaongeza kitu kinaitwa FAST TRACK. Hiyo ukitoa haina foleni, ile unamaliza kuhesabu pesa tu huyu hapa anakufanyia maombi.
Ila msisahau kubeba pesa za kununulia vifaa vya kiroho ambayo pia vina grade zake. Kuna vya matokeo ya papo hapo, na vile vya gradually Yaani mdogo mdogo.
Mimi ni Mkristo, ni pentecostal man, nimejaa roho Mtakatifu, ninanena kwa lugha, nina karama kadhaa pamoja na ya Kupambanua roho.Wewe sio wa kuamini maana una chuki na ukristo….i japo kuna ukweli
Yesu ukitoa pesa mbuzi utawekewa mikono na machawa wake . Na hao machawa wana level zakeNa ukitoa ndogo unaishia kwa machawa wake
Ninachojua kuwa ni sadaka...
Alafu haviuzwi Wala hulazikishwi sababu Kuna ambayo yanatolewa free ndani ya ibada
Kumbe imepunguzwa?Shukuru kapunguza alianza Kwa laki 3
Ninachojua kuwa ni sadaka...
Alafu haviuzwi Wala hulazikishwi sababu Kuna ambayo yanatolewa free ndani ya ibada
Mwana hebu nipe info za mzee wa YesuWewe tayari ushakuwa initiated kwenye cult ya huyo mganga jiandae kuwa mbuzi wa kafara. Eti asimchafue dady what a nonsense. Huyo Kuhani Musa ni occultic grandmaster sawa na Baba yake wa kiroho aliyejiita mzee wa Yesu.
Kwamba ukienda na mke million na ukienda mpweke laki 5?Si angalau huyo!
Yupo mengine wa Moro single 0.5M, family 1M
Hapo ukienda na laki mbili yako wasaidizi wake hawakuchekei... unarudi hivihivi
Mtoto wa yakobo
Hakuna aliyewazuia ila tunasema wana matatizo ya akili kwa kiwango kikubwa.Hata Ulaya na Marekani yapo. Kuna spiritual shops na wachungaji wa hivyo. Ila wanalipa kodi ya bidhaa zao. Na watu wananunua. Acha watu wafanye wanayoyaona yanafaa ilimradi hawajavunja sheria.
Ndo hivyo wajinga ndio waliwao..na siku ya jumapili ukipita pale nje temboni kuna watu kibao wako na bahasha wanagawa huruhusiwi uende kanisan kwake bila kuwa na bahasha uweke hela yaani pale bahasha kwanza ndio kiapumbele.Yesu ukitoa pesa mbuzi utawekewa mikono na machawa wake . Na hao machawa wana level zake
Hata 50 tunatibu wewe njooMganga gani akutibu kwa laki 2
Ni tapeli anayevaa suti yuko kimara.mdau, ni nani huyo?
Duh kumbe ndio maanaKwenye madhabahu ya Ngome ya Yesu kwa Kuhani Musa ndipo ndipo nilipomjua YESU aliyehai...
Mpaka sasa nina nguvu za Rohoni sababu ya madhabahu ya hiyo...
Mungu azidi kumbariki Kuhani Musa
Bwana YESU atukuzwe
Kuna mama mmoja kafilisi duka Chanika kisa kadi ya partnership ya kuchangia ujenzi hapo kwa Kuhani.
Kadi ile kubwa mpaka million kumi.
Kwani taarifa za hawa matapeli kuwazini waumini wao ili kuongeza mvuto wa kishetani mnadhani hatuzipati?Ulimkamata yupi anafanya uzinzi?