Maarifa ya kwenda kukopa kwa mangi[emoji30]
Naona hamtaki kuingia kwenye target ya mleta mada, poteza poteza style[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Maarifa ya kujiongeza kucheza vikoba
vizuri sana, tupe uzoefu katika mazuri na changamoto uzionazo ndani ya ndoa ili nasi tujifunze!Ndio nimeshaolewa mkuu
umenena ukweli tupuKuna zile tunazochomoaga bhanaa kwenye matumizi!!! Kuna kubanwa pia kwa mwanaume ila sio kila siku aseme fanya maarifa!!!!
Sawa mkuuvizuri sana, tupe uzoefu katika mazuri na changamoto uzionazo ndani ya ndoa ili nasi tujifunze!
Na ndo maana nikasema ilo jambo halitakiwi kua mara kwa mara yan ikitokea ni kwamba uwe na sababu za kumwambia ivo otherwise isiwe kisingizio cha wewe kuchepukKwanini usiende kukopa ww!!! Mwanamke akakope kwa mwanaume siku akimla ulalame tusivyo waaminifu nyie nyie wakati mwingine dharau mnajitengenezea
OkNa ndo maana nikasema ilo jambo halitakiwi kua mara kwa mara yan ikitokea ni kwamba uwe na sababu za kumwambia ivo otherwise isiwe kisingizio cha wewe kuchepuk
Du hiyo nzuriiiKUNA KITU KIMOJA NILIKIPENDA SANA
Kuna jamaa kila siku akiondoka nyumbn haachi au anaacha kiduchu, soo inabidi mke akakope. Mwenye duka anajua kabsa yule mwanamke hana kazi, ila mme wake anapata pesa nyingi tu ila zinaishia kwenye pombe, akamwambia yule mwanamke yani wewe ukiishiwa njoo tu dukan ukope chochote wala usimwambie Huyo mmeo mana atakukataza. Mwanamke akakopa kama miez mitatu ivi , yule mama mwenye duka akaenda nyumbani kudai chake, Mme akasema Mimi sijawah kukopa n mmke wangu. Msambaa wa kitanga akafunga kanga kiunoni akamchachamalia akamwambia mm najua wewe ndo kichwa cha familia huataki tunapelekana ndani, jamaa alilala sero akatoka kwa mashart sana, asaiv akiwa anaondoka anauliza mke wangu Leo sh ngapi inahitajika. Anatupia mzigo mezani na nyumban anarud mapema kama tetea.
Sikuzote sisi ni watu wa kufanya maarifa, wewe unafikiria ile menu ya utumbo na mchicha au nyama na kabechi tunafanya kwa kupenda? Ni ili mboga iwe nyingi watoto washibe.Ndiyo "afanye maarifa" hii ni kauli ya kiungwana sana toka kwa baba wa familia.
Kauli hii inampa hamasa mama ajiongeze kidogo kwa siku hiyo katika jukumu la kuihudumia familia kama vile jinsi afanyavyo baba.
Kauli hii haimaanishi kwamba mama uende kinyume na misingi ya ndoa wala kutomheshimu mmeo, bali ni kama kupewa ruhusa ya uhusika mkuu wa kung'amua ni namna gani mama utafanya makarateka na kuumiza kichwa familia ile.
Kinacho takiwa hapo mama ni kuvaa uhusika wa usingle mother, yaani una pretend as if mumeo hayupo au katoweka duniani ghafla so unapambana kukabiliana na hiyo hali na mwisho wa siku watoto wanakula.
Solution kuu ni kwamba tunapo wapa hela za manunuzi ya mahitaji nyumbani, muwe na desturi ya kutumia kiasi nyingine una save kama dharura kwa baadae.
Pia unaweza kumfuata jirani mwanamke mwenzio mkafanya butter trade.
Unampa mchele yeye anakupa mkaa ama kibaba cha maharage na mjali wa mafuta.
Nafikiri nimekupa jibu mujaarab kabisa bibie Sky Eclat.
Una hasira kwasababu ya Uzi wako wa Jana ulifutwa mkuu ama? Ungechangia bila kunitaja isingetosha?? Sina stress mimi nimechangia km wadau wengine, labda km wewe una stress na mimi mkuu, poleAna mgodi unaotembea ndio maana.Kapeace una matatizo,una hasira na wanaume,kama kuna matatizo na mwanaume wako go sort yourself out,don't bring your stresses on Jf.
Mwanaume asiyejua kuwajibika kwa ajili ya familia yake sielewi nimuweke kundi gani wanakera wanakera mpaka basi yaani unatamani hata umtemee makohozi, yaani mume wa ivo putuuuuu
Ulisababisha uzi wangu kufutwa jana najua!lakini kila kitu unachangia kwa hasira kama hii dunia ni yako.Nimekutaja ili unijibu.Sina Stress zozote ila jaribu kuchangia kawaida wewe unawachukia wanaume,kwa akili yangu ndogo huna mume,hujawahi kuolewa na hata boyfriend wako kama unaye humuamini.Punguza chuki kwa mbegu zilizokutengeneza.Una hasira kwasababu ya Uzi wako wa Jana ulifutwa mkuu ama? Ungechangia bila kunitaja isingetosha?? Sina stress mimi nimechangia km wadau wengine, labda km wewe una stress na mimi mkuu, pole
Sina chuki na wanaume wewe tu ndo hujanielewa, halafu ni heri km comments zangu zinakuvuruga usiziquote kabisa, pita tu kimya kimya,Ulisababisha uzi wangu kufutwa jana najua!lakini kila kitu unachangia kwa hasira kama hii dunia ni yako.Nimekutaja ili unijibu.Sina Stress zozote ila jaribu kuchangia kawaida wewe unawachukia wanaume,kwa akili yangu ndogo huna mume,hujawahi kuolewa na hata boyfriend wako kama unaye hunuamini.Punguza chuki kwa mbegu zilizokutengeneza.
Hiyo comment mbn IPO kawaida mkuu nyie tu hamjaielewa, Sina chuki na me kabisa hata kutendwa hamjanitenda kufikia hatua ya kuwachukia nawavumilia sana tuUnaonekana una makovu mengi sana ya majeraha ya kutendwa na Wanaume uliowahi kuwa na katika Mahusiano yako kwani umeandika Kihisia mno. Pole sana Dada na mtuvumilie tu Sisi Wanaume.
Mwanangu hili swali lako sijalipendakapeace ushaolewa?
hujalipenda kwani nmekuuliza wewe!Mwanangu hili swali lako sijalipenda
cc kapeace
sio kesi mkuu. peace and love.......hujalipenda kwani nmekuuliza wewe!