Kuna agenda gani ya Upinzani kumshambulia Hayati Magufuli?

Kuna agenda gani ya Upinzani kumshambulia Hayati Magufuli?

Hata kama haiwasaidii wewe unaumia kitu gani ? Kama unalipenda lile jambazi liuwaji kanywe dawa ya panya ukalisifu kuzimu
Mnaoumia ni nyinyi mnaomsema mimi niumie ili iweje? kwa mtu ambaye alishakufa
 
Wameshatembezewa bahasha wewe unadhani vile vikao walivyofanya vilikuwa na ajenda gani?

Huyu mama kashatiwa sumu na yeye sasa anamponda magufuri kama mbaya wake.
 
Habari wakuu,

Nimekuwa nikifatilia mikutano ya Upinzani kiukweli kuna kitu nimekiona na kinanishangaza na sijui ni mimi tu nimeona Hili au na wenzangu mmeona.

Wapinzani wamejikita kwenye kumshambulia marehemu sasa nimejiuliza inaaama Wapinzani wanashindana kisiasa na Magufuli?

Kuna nini nyuma ya Hili? Lakini hao hao Wapinzani wakibwagwa kwenye uchaguzi na CCM ya Mama samia watalalamika wameibiwa kura.
Jiwe hashambuliwi kwani ameshakufa bali yeye na watu wake(wasiojulikana) ndiyo walikuwa wakishambulia watu wakati wa utawala wake.
Watu hawawezi kuacha kutema nyongo kwa madhila aliyowasababishia, wanufaika wa udhalimu wake pamoja na waliokuwa chawa wake in one way or another ndiyo wamechochea moto zaidi kwani walikuja na cheap threats za kwamba mwanasiasa yoyote atakayemsema vibaya ndiyo itakuwa downfall yake hivyo wasithubutu sasa watu wanamsema na hakuna kinachowatokea as a result mnaanza kulialia kufungua threads za kulalamika.
Jiwe anavuna alichopanda na ni vizuri watu wakazidi kumnanga japo kesajifia huko ili kila kiongozi awe aware kwamba atakuwa anakumbukwa kwa matendo yake, si kwamba hakuwa na mazuri la hasha bali ukatili wake ulikithiri. Haijawahi kutoke TZ kuwa na rais katili wa kiwango kile tokea nchi ipate uhuru.
 
Jiwe hashambuliwi kwani ameshakufa bali yeye na watu wake(wasiojulikana) ndiyo walikuwa wakishambulia watu wakati wa utawala wake.
Watu hawawezi kuacha kutema nyongo kwa madhila aliyowasababishia, wanufaika wa udhalimu wake pamoja na waliokuwa chawa wake in one way or another ndiyo wamechochea moto zaidi kwani walikuja na cheap threats za kwamba mwanasiasa yoyote atakayemsema vibaya ndiyo itakuwa downfall yake hivyo wasithubutu sasa watu wanamsema na hakuna kinachowatokea as a result mnaanza kulialia kufungua threads za kulalamika.
Jiwe anavuna alichopanda na ni vizuri watu wakazidi kumnanga japo kesajifia huko ili kila kiongozi awe aware kwamba atakuwa anakumbukwa kwa matendo yake, si kwamba hakuwa na mazuri la hasha bali ukatili wake ulikithiri. Haijawahi kutoke TZ kuwa na rais katili wa kiwango kile tokea nchi ipate uhuru.
Kwahiyo hivyo ndio inawasaidia Upinzani kuchukua nchi?
 
Na kwa nini mnakuja kumsifia humu jf na amekufa?
Sema shida yako kuu unadhani kila mtu humu ni mshabiki wa vyama au mtu wengine tupo hapa kwaajili hoja sio kufanya uchawa
 
Sema shida yako kuu unadhani kila mtu humu ni mshabiki wa vyama au mtu wengine tupo hapa kwaajili hoja sio kufanya uchawa
Na kwa nini mnakuja kumsifia humu jf na amekufa?
 
Stupid of you! Magufuli alikuwa MUUAJI, lazima ashambuliwe kama Hitler anavyoshambuliwa! Where is Azory, Bensaanane, MKIRU thousands of people are no where to be seen, Cococ beach sandarus of dead bodies, acha ujinga shetani mkubwa kama Jiwe wewe
Hizo Coco Beach sandarus mbona bado zipo mpaka awamu hii pendwa?
 
Habari wakuu,

Nimekuwa nikifatilia mikutano ya Upinzani kiukweli kuna kitu nimekiona na kinanishangaza na sijui ni mimi tu nimeona Hili au na wenzangu mmeona.

Wapinzani wamejikita kwenye kumshambulia marehemu sasa nimejiuliza inaaama Wapinzani wanashindana kisiasa na Magufuli?

Kuna nini nyuma ya Hili? Lakini hao hao Wapinzani wakibwagwa kwenye uchaguzi na CCM ya Mama samia watalalamika wameibiwa kura.
Usiwe mjinga wewe! Kwani wakoloni kwa nini wanashambuliwa Afrika hii hadi leo wakati tuna zaidi ya miaka 60 ya uhuru?

Magufuli anashambuliwa kwa sababu ya ushenzi na ushetani wake alioufanya kwa miaka 5 ya udikteta wake?

Elewa hivyo na ufyate mkia!
 
Kwahiyo Mlimtanguliza Magufuli Mkajua Mtaficha Wizi Wenu Mliofanya Kipindi Chake Cha Uongozi.
 
Back
Top Bottom