Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Kwahiyo unaona raha ukiwa shori wakati mwingine chief..!?lol😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo ID mara chache naitumia. Na ina avatar nzuri sana. Kumbe ni njemba flani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo unaona raha ukiwa shori wakati mwingine chief..!?lol😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo ID mara chache naitumia. Na ina avatar nzuri sana. Kumbe ni njemba flani.
Unafanya biashara....???Yeah mbona mimi ninao wengi tu hapa JF. Sema hawajuani.
Hallelujah.Mimi nilipata mke humu na tulifunga ndoa na sasa tunafamilia kubwa ya watoto wawili wazuri wa kiume.
Na ni mke mwema.
Mke mwema au mume mwema anapatikana popote haijalishi ni jf au fb au insta , kanisani, disco, tamashani ,ila ni wewe na MUNGU wako, ukikaa sawasawa na MUNGU wako atakupa wa kufanana na wewe toka popote pale atakapo kuwepo.
Jiondolee mipaka.
Hapana kati ya hao wengi naendelea na usaili atakae fuzu ndio namuoa.
Nikuongeze kwenye list yangu ya usaili baby?Hallelujah.
Ngoja nianzishe uzi sasa hivi.comment kama hizi zinatia nguvu
Ndio wapoHusika na kichwa cha habari hapo juu
Kuna waliowahi kukutana humu na kuwa wapenzi ukweli ukweli?
Kila la kheri.....Hapana kati ya hao wengi naendelea na usaili atakae fuzu ndio namuoa.
Sawa nakuunga mkonoHallelujah.
Ngoja nianzishe uzi sasa hivi.comment kama hizi zinatia nguvu
Uzi wa nini lakini? Si unipe digits tuHallelujah.
Ngoja nianzishe uzi sasa hivi.comment kama hizi zinatia nguvu
Aisee...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo ID mara chache naitumia. Na ina avatar nzuri sana. Kumbe ni njemba flani.
Wew utakua na homoni za kike....Nahisi wapo, nina ID yangu ya kike kuna PM nyingi za wanaume humu na namba zao za simu wa etuma ila nawazungusha. Kama kweli ningekuwa dem ningewakubali walao wawili.
Hiyo ID ina Followers, wakati hii ni ya kitambo sina follower hata mmoja.
[emoji28][emoji28][emoji28]Nahisi wapo, nina ID yangu ya kike kuna PM nyingi za wanaume humu na namba zao za simu wa etuma ila nawazungusha. Kama kweli ningekuwa dem ningewakubali walao wawili.
Hiyo ID ina Followers, wakati hii ni ya kitambo sina follower hata mmoja.
Mimi sijui niwakutanishe tu[emoji2098]Hallelujah.
Ngoja nianzishe uzi sasa hivi.comment kama hizi zinatia nguvu
Hapana endelea na timu yako ya mpira babaNikuongeze kwenye list yangu ya usaili baby?
Na nani unikutanishe?
Very suniSawa nakuunga mkono
Nataka nifanye usahili..ushindani uwe mkubwaUzi wa nini lakini? Si unipe digits tu
[emoji85]Na nani unikutanishe?