The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Mkuu, miradi haiishi na haitawahi Isha. Kinachotumiwa ni kufanya kulingana na uwezo wetu. Mikopo hataweza kumaliza umaskini wetu..... Especially kama uwezo wa kulipa utakuwa compromised.Miradi yote Hii hapa inahitaji pesa tena hapa nimekupa summary mdogo sana ya maelfu ya miradi inayoendelea na inayoenda kuanzishwa mwaka huu👇
View attachment 2299554View attachment 2299555View attachment 2299556View attachment 2299557View attachment 2299558View attachment 2299559View attachment 2299560View attachment 2299561View attachment 2299562View attachment 2299563View attachment 2299564View attachment 2299565
Mkuu v8 kwani wameanza kununua leoWewe hesabu ma V8 mkuu wala usiumize sana kichwa.
Hakuna mishhara mkuu!Nikajiuliza je zinakwenda kulipa mishahara ,posho na mafuta magari ya serikali nimeona bado tumekusanya pesa Nyingi.
Je Upo tayari kutekeleza huu ushauri hapa ?👇Mkuu, miradi haiishi na haitawahi Isha. Kinachotumiwa ni kufanya kulingana na uwezo wetu. Mikopo hataweza kumaliza umaskini wetu..... Especially kama uwezo wa kulipa utakuwa compromised.
Pinda?🤣🤣🤣Dhu.... Hiyo katuni mbona imefanana na Waziri flani mstaafu.... Au ni macho yangu tu.
Wewe una macho mazuri....!!Pinda?🤣🤣🤣
Masoud kama masoud
mimi nna kama miezi mitatu sijapewa risiti labda sinunui sana auNikienda dukani kununua kitu kikubwa nadai risiti ila nikinunue pipi sidai risiti mm.
Ulipoambiwa kura za Lissu zimeibiwa ukafikiri kaibiwa Lissa ukakaambali lafu utegemea kila kitu kiende sawaHabari JF,
Mimi kama mtanzania wa hali ya chini nimekuwa nikifuatilia namna wananchi tunavyolipa kodi na Tozo mbali mbali lakini kuna mikopo mikubwa sana tumechukua ndani ya kipindi kifupi.
Kila nikijaribu kufuatilia pesa hizi zinatumika wapi sipati majibu sahihi, wengine wanasema JPM aliacha Nchi haina pesa kabisa hivyo zinapelekwa kwenye miradi, ukiwauliza mbona mpaka anaondoka miradi ilikuwa inaendelea vizuri? Wanakosa majibu.
Baadhi wanasema zinakwenda kwenye mirafi mipya, ukiwauliza ni miradi ipi hiyo mikubwa ya trilions of money wanakosa Jibu.
Nikajiuliza je zinakwenda kulipa mishahara ,posho na mafuta magari ya serikali nimeona bado tumekusanya pesa Nyingi.
Swali kwa wale wanaojua pesa hizi zinakwenda wapi atoe jibu tafadhari ,ili nikatwe kodi/tozo nikiwa na Amani.
Asante KWA taarifaZinaenda huku 👇View attachment 2299512View attachment 2299513View attachment 2299514View attachment 2299515View attachment 2299516View attachment 2299517View attachment 2299518View attachment 2299519View attachment 2299520View attachment 2299521View attachment 2299522View attachment 2299523View attachment 2299524View attachment 2299525View attachment 2299526View attachment 2299527View attachment 2299528View attachment 2299529View attachment 2299530View attachment 2299531View attachment 2299532View attachment 2299533View attachment 2299534View attachment 2299535View attachment 2299536View attachment 2299537View attachment 2299538
Hivi na zile zilizokua zinaporwa Kwa watu kupitia ofisi ya DPP zilienda wapi?Habari JF,
Mimi kama mtanzania wa hali ya chini nimekuwa nikifuatilia namna wananchi tunavyolipa kodi na Tozo mbali mbali lakini kuna mikopo mikubwa sana tumechukua ndani ya kipindi kifupi.
Kila nikijaribu kufuatilia pesa hizi zinatumika wapi sipati majibu sahihi, wengine wanasema JPM aliacha Nchi haina pesa kabisa hivyo zinapelekwa kwenye miradi, ukiwauliza mbona mpaka anaondoka miradi ilikuwa inaendelea vizuri? Wanakosa majibu.
Baadhi wanasema zinakwenda kwenye mirafi mipya, ukiwauliza ni miradi ipi hiyo mikubwa ya trilions of money wanakosa Jibu.
Nikajiuliza je zinakwenda kulipa mishahara ,posho na mafuta magari ya serikali nimeona bado tumekusanya pesa Nyingi.
Swali kwa wale wanaojua pesa hizi zinakwenda wapi atoe jibu tafadhari ,ili nikatwe kodi/tozo nikiwa na Amani.
Hajui kitu huyo ni bendera fuata upepoHela zooote hizo zikikusanywa Hazitoshi hata budget yetu kujitegemea wenyewe, tuna tegemea wafadhili watuongezee
Nchi ina watu zaidi ya milioni 60, milioni 2 tu ndo walipakodi, hizo hela unazoona ni nyingi Hazitoshi hata kidogo.
Tra wanakusanya Around Trilioni 1, kwa mwaka ni kama Trilioni 18, Hapo Kuna Trilioni 6 mishahara na Trilioni 7 deni la Taifa, hapo Tayari umekaribia kumaliza hela yote
Bado Kuna Miradi ya Matrilioni ya Hela karibia 20 na matumizi mengine yasiyo Mishahara ya Serikali Takriban Trilioni 4.
Kasome budget yako mambo yote yameelezewa
Hiyo ni Kwa uchache miradi ipo mingi sanambona naona miradi ya Milions na bilions unajua mpaka ssa zishkusanya trilions ngapi ,hiyo uliyotuma haijafika 1tr
Ukimpa data anachukia yeye shida yake anataka kusikia kuwa serikali imefeli Ili amtukuze marehemu wakeMiradi yote Hii hapa inahitaji pesa tena hapa nimekupa summary mdogo sana ya maelfu ya miradi inayoendelea na inayoenda kuanzishwa mwaka huu[emoji116]
View attachment 2299554View attachment 2299555View attachment 2299556View attachment 2299557View attachment 2299558View attachment 2299559View attachment 2299560View attachment 2299561View attachment 2299562View attachment 2299563View attachment 2299564View attachment 2299565
Ni sh ngapi zinakusanywa tuwekee data hapa, halafu si Kuna taarifa ya C. A. G umeipitia?mkuu pesa zinazokusanya kupitia hivyo vyanzo ni nyingi sana ujue
Tupe wewe data walipa Kodi waliosajiliwa TRA na wana tin number ni wangapi? Tupe takwimu sahihiSiyo kweli labda useme wenye TIN number. Kodi karibia kila mtu hulipia labda mfumo ndo haujakaa sawa. Kwenye bidhaa wanalipia, betting huko ndo usiseme kila siku wanalipia, mafuta ukinunua wanalipia kodi tayari. Unasemaje ni mil.2 ndo walipa kodi?
Kwanza una tin number? Kwa sababu nyie mnaolialia hapa utakuta ndio wanyonyaji wakubwaBasi hii nchi haiko systematically. Mwenye kituo kila mwezi analipa kodi fixed amount au ina vary kulingana na mauzo? Kama ina vary lazma umhesabie mtumiaji kuwa nae analipa ndo maana bei inakuja ikihusisha na kodi humo humo na mlipaji ni huyo mlaji.
Unajipa kazi hatakaa akueleweSo what Next? Bakhresa sio Tajiri sababu umetoa hela yako kununua Bidhaa yake?
Huyo alietoa hela Kubeti chanzo alichotumia kupata hela Amelipa Kodi? Ukifikiria kwa muono huo ndio utaelewa kwanini walipa kodi ni milioni 2.