Kuna asilimia ngapi za mwanamke kucheat ikiwa anaridhishwa ipasavyo kitandani?

Kuna asilimia ngapi za mwanamke kucheat ikiwa anaridhishwa ipasavyo kitandani?

Nataka kusema, mwanamke anawekwaje na me zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja, babe mbona mnatuumiza sana hisia🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
Babe hayo mambo ya kawaida tu, achana nayo.

Kuna mtu anakutafuta.
 
Hili ni swali ambalo wanaume tumekuwa tunalitafutia majibu kutoka kwa wanawake. Mfano, kwa mwanamke ukiwa kwenye relation na mtu ambaye anakuridhisha sana kitandani, ni sababu ipi inaweze kupelekea uka cheat mbali na wewe kuridhishwa kimapenzi?

Nikiweka other factors constant, mfano kama mpenzi wako pia amekuwa na uwezo wa kutatua changamoto zako za kifedha japo sio zote (mwanaume mwenye uchumi wa kawaida kukuhudumia shida zako walau kwa asilimia 55)

Mtu wa namna hiyo, kuna asilimia ngapi za wewe kuweza kumcheat na sababu inakuwa ni nini haswa?

Nawasilisha
Very simple question..jibu ni asilimia 100
 
Kuepuka hilo, pendelea zaidi majina ya baby, honey nk. Usitumie jina la mtu.

Niliona wakisema hivyo humu jf🤣🤣🤣
Mwandamizi ameongea sasa🤣🤣 hivi vitu vinaenda na experience ujue. Au ulisikia tu babe?
 
Faiza hakuna mwanaume anayecheat, kucheat ni term inawahusu wanawake tu
Kiislam zinaa ni ya wote, akiifanya mwanamme ni zinaa , akiifanya mwanamke ni zinaa.

Mnajaribu kuondoa ukali kwa kujidai kuita "cheating", cheating ni kudanganya.

Sema kumtuhumu zinaa ni mpaka muwe wanne na mmeshuhudia kwa kiapo, isije kuwa fitina zenu tu. Au akubali mwenyewe kuwa amefanya zinaa.
 
Back
Top Bottom