Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Teh teh teh teh teeeeeeh!Do
Don't cheat on him, hata kama yeye hajatulia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh teh teh teeeeeeh!Do
Don't cheat on him, hata kama yeye hajatulia.
Hatimaye 🤣🤣🤣Teh teh teh teh teeeeeeh!
Babe unataka kusemaje?Hatimaye 🤣🤣🤣
Kila mtu afanye kinschompa furahaDo
Don't cheat on him, hata kama yeye hajatulia.
Nataka kusema, mwanamke anawekwaje na me zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja, babe mbona mnatuumiza sana hisia🤣Babe unataka kusemaje?
Atasema unakunywa maziwa mtindi 😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌Babe unataka kusemaje?
Usiwe na me wawili at per mkuu...Kila mtu afanye kinschompa furaha
🤣🤣🤣🤣🤣Nataka kusema, mwanamke anawekwaje na me zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja, babe mbona mnatuumiza sana hisia🤣
Yapi tena!!!Atasema unakunywa maziwa mtindi 😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌
Nani huyo, mtaje majina yake.🤣🤣🤣🤣🤣
Babe hayo mambo ya kawaida tu, achana nayo.
Kuna mtu anakutafuta.
Very simple question..jibu ni asilimia 100Hili ni swali ambalo wanaume tumekuwa tunalitafutia majibu kutoka kwa wanawake. Mfano, kwa mwanamke ukiwa kwenye relation na mtu ambaye anakuridhisha sana kitandani, ni sababu ipi inaweze kupelekea uka cheat mbali na wewe kuridhishwa kimapenzi?
Nikiweka other factors constant, mfano kama mpenzi wako pia amekuwa na uwezo wa kutatua changamoto zako za kifedha japo sio zote (mwanaume mwenye uchumi wa kawaida kukuhudumia shida zako walau kwa asilimia 55)
Mtu wa namna hiyo, kuna asilimia ngapi za wewe kuweza kumcheat na sababu inakuwa ni nini haswa?
Nawasilisha
Kwa nn jaman....kama uliyenaye anakuona wanna tafuta ambaye anakuona wa thamani kwake.....distance over disrespect dearUsiwe na me wawili at per mkuu...
Huogopi kutaja majina sio wakati mnawekana?Kwa nn jaman....kama uliyenaye anakuona wanna tafuta ambaye anakuona wa thamani kwake.....distance over disrespect dear
Itafahamika hukohuko!!!Huogopi kutaja majina sio wakati mnawekana?
Kuepuka hilo, pendelea zaidi majina ya baby, honey nk. Usitumie jina la mtu.Huogopi kutaja majina sio wakati mnawekana?
Mwandamizi ameongea sasa🤣🤣 hivi vitu vinaenda na experience ujue. Au ulisikia tu babe?Kuepuka hilo, pendelea zaidi majina ya baby, honey nk. Usitumie jina la mtu.
Niliona wakisema hivyo humu jf🤣🤣🤣
Kiislam zinaa ni ya wote, akiifanya mwanamme ni zinaa , akiifanya mwanamke ni zinaa.Faiza hakuna mwanaume anayecheat, kucheat ni term inawahusu wanawake tu
Aisee 😂Atacheat tu hata kuifata 0.0000134% uliyoibakiza wewe