Kuna baadhi ya WanaJF wana majina ya ajabu na ya kufikirisha sana

Bw Kenge mambo vp [emoji1787][emoji1787], why kenge lkn mkuu??[emoji1]

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
 
mkuu, mbona id yangu ya kinyonge sana haikupaswa kuwa kwenye iyo list 😅
 
Umeongea kwa uchungu 😌 Ila una point
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…